kuberwa
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 574
- 131
vizuri sana babu.
nasubiri na wewe Husninyo! lol
vizuri sana babu.
Jamani labda mi nimechelewa kutoa mchango wangu mana leo ndo nachungulia kwenye JF kwenye hii pge ya love. niko Magu
Mi hizo nywele tu..lov it!hongera mummy,.mtangulize Mungu katika kila jambo,.mpende,mheshimu mumeo!.
Ndugu wanajamvi kama tusikitikavyo tukiondokewa na mwenzetu basi tusherekee pale mwana JF anapopata ubavu. Mwana JF mmoja aitwaye Kuberwa anatarajia kuolewa mapema mwaka huu so siku ya Arusi anataka support kutoka kwa JF members walau walioko karibu..........sasa sisi tulioko huku Kagera........masaka..........kampala.........mwanza. Tukutane tumpe support huyu great thinker hadi mumewe ajue kabisaaaa kuwa hajaoa kilaza. Kuberwa mwenyewe avatar yake hii hapa. Wanaotaka ageuke watamuona live. Nimepewa jukumu hili kama mwanakamati. Siku ya send off yake Kutakuwa na zawadi kutoka kwa JF members.
Kuberwa
Actually, we're in the same situation, but different sex! I do it on 11/02. I'm more than bussy thats y I'm late to post my coments though I saw the thread on its first day. Congrats, all the best. I hope things will be alright. Cheers!
nasukuru Mestod, ubarikiwe na karibu bukobaHongera.
Mkuu Kuberwa, hongera sana. NitakuPM
Kaka nu ukumbi maaalum "ombitikililwa" abantu mbaija kutela emibano watoto wa watu. Olateile omubano?
Omubishansha abamu enjoka tokuzitiina si?Kama kawaida nobanyamika abishansha