LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 19,900
- 37,696
Upendo unapimwa kwa kutoa. Mwanaume aliye kamilika kuanzia mwili na akili hawezi kuwa katika mahusiano na mwanamke bila kuwa anampa chochote. Wazo lako kwenye wimbo wako mpya halifai kukaa kichwani mwako wala kichwani wala kichwani kwa mwanaume yoyote rijali wa mwili na akili....
Mwanamke hajaumbwa kupenda. Mwanamke ameumbwa kutii upendo. Hata kwenye bible, Mungu amemwambia mwanaume " Mpende mke wako". Na mwanamke ameambiwa " Mtii mume wako ". So mwanamke anacho kifanya ni kutii upendo wa mume wake. Na upendo unapimwa kwa KUTOA. Hata Mwenyezi Mungu aliupenda ulimwengu ndio maana akamtoa mwanaye wa kipekee kwa ajili ya wanadamu.
SO ACHA KUPOTOSHA WATU.
Naliona anguko lako katika muziki wa Bongo Fleva. Historia inaonyesha Kila msanii aliye jaribu kuimba wimbo unao wadhalilisha wanawake ama wenye maudhui yasiyo wapendeza wanawake alikufa kimuziki..
Mifano Hai:
1. Dudubaya .................... Napenda manundu sipendi vijipu.
2. Noorah......................Hawa mademu sijui vipi.
Mifano ipo mingi sana.
Mwanaume anae jitambua katika wimbo wake wa mapenzi, anatakiwa kutumia maneno kama " I WILL GIVE YOU EVERYTHING YOU WANT"." I WILL TAKE CARE OF YOU" nakadhalika..
KUHONGA SIO VIBAYA
nemo dat quod non habet " No one gives what he dont have" or who dont have cant give..
Badala ya kuwafundisha vijana ubahili wa kutokuhonga, wafundishe watafute hela za kutosha ili wakae vizuri na wanawake zao.
Kuhonga sio vibaya. Acheni tuendelee kuhonga... Usimuhonge mwanamke ahalafu unaishi nae vipi? acheni kutufundisha ujinga. Mwisho wa siku, utaenda kwa mganga akupe dawa umpumbaze mkeo asiwe anakuomba hela ya matumizi nyumbani...
Nyimbo kama hizi ndo zinachangia kuenea kwa maambukizi ya ukimwi. we demu wako haumuhongi kwa kugeza wimbo wa mwanafa..watoto wa mjini, wanamhonga, wanakupigia wanakuachia na ngoma...
Mwanamke hajaumbwa kupenda. Mwanamke ameumbwa kutii upendo. Hata kwenye bible, Mungu amemwambia mwanaume " Mpende mke wako". Na mwanamke ameambiwa " Mtii mume wako ". So mwanamke anacho kifanya ni kutii upendo wa mume wake. Na upendo unapimwa kwa KUTOA. Hata Mwenyezi Mungu aliupenda ulimwengu ndio maana akamtoa mwanaye wa kipekee kwa ajili ya wanadamu.
SO ACHA KUPOTOSHA WATU.
Naliona anguko lako katika muziki wa Bongo Fleva. Historia inaonyesha Kila msanii aliye jaribu kuimba wimbo unao wadhalilisha wanawake ama wenye maudhui yasiyo wapendeza wanawake alikufa kimuziki..
Mifano Hai:
1. Dudubaya .................... Napenda manundu sipendi vijipu.
2. Noorah......................Hawa mademu sijui vipi.
Mifano ipo mingi sana.
Mwanaume anae jitambua katika wimbo wake wa mapenzi, anatakiwa kutumia maneno kama " I WILL GIVE YOU EVERYTHING YOU WANT"." I WILL TAKE CARE OF YOU" nakadhalika..
KUHONGA SIO VIBAYA
nemo dat quod non habet " No one gives what he dont have" or who dont have cant give..
Badala ya kuwafundisha vijana ubahili wa kutokuhonga, wafundishe watafute hela za kutosha ili wakae vizuri na wanawake zao.
Kuhonga sio vibaya. Acheni tuendelee kuhonga... Usimuhonge mwanamke ahalafu unaishi nae vipi? acheni kutufundisha ujinga. Mwisho wa siku, utaenda kwa mganga akupe dawa umpumbaze mkeo asiwe anakuomba hela ya matumizi nyumbani...
Nyimbo kama hizi ndo zinachangia kuenea kwa maambukizi ya ukimwi. we demu wako haumuhongi kwa kugeza wimbo wa mwanafa..watoto wa mjini, wanamhonga, wanakupigia wanakuachia na ngoma...