Mwamtafuta Mchungaji? Ni Mimi...


SAFI,

Wakati wa kupigania Uhuru wa nchi za kusini mwa afriaca nadhani kulikuwa na wazalendo na wawajibikaji kwa manufaaa ya taifa letu, na baaada ya awamu ya kwanza kutoweka kwisha habari yao sijui waliingiliwa na mdudu gani?

Nadhani kuna madudu humo ndani "TISS" na kulindana kwa maovu yao ili yasije toka nje, Nchi hii jamani sio ya wote ni ya watu wachache mkae mkijua hilo.

Pili na uhakika ndani ya TISS kuna mparaganyiko mkubwa sana na hakuna mawasiliano mazuri kuna walio nunuliwa na hilo kundi la watu wachache na kuliongoza taifa na wale wasio nunulika na hawana nguvu wao wamo tu wame piga kimya huku wakiomba dua kwa Mungu mambo yalipuke na ndio watatuambia ni fulani na fulani waliokuwa mstari wa mbele kulipeleka taifa jinsi watakavyo.

Juzi nilikuwa na check USA White House Organization Chat yao duuuuuh security i mean swala la usalama kwao ni kitu cha msingi na kina kipaumbele kwa mfano taasisi kama DOJ inashirikiana vyema na DOD na DHS sasa hapa kwetu duuuh sijui hata kama izo taasisi zipo? na kama zipo basi ni za kisiri sana na zafanya kazi kwa matakwa ya kundi fulani la watu wachache.

tatu mkitaka nchi isonge mbele hapa ni lile wazo la Majimbo na ndipo hapo mtaona uongozi bora na uwajibikaji na ufanisi wa hizi taaasisi wawakirishi kutoka majimboni wakikutana kwa vikao maalumu watu hawatotaka mchezo bwana watakuwa wametumwa toka majimboni mwao na viongozi wengi watakuwa responsible kwa majimbo yao kwani wanajua wakichemsha tu there out.

Kwa uongozi huu wa ujumla kuwa waziri na watumishi wengine mwafanya kazi kwa pamoja ni kukanganyana tu hapa
 

Jamani mi sijakuelewa, wewe ni mchungaji wa nini? Kondoo (the real kondoo), au mchungaji wa kondoo (Bible kondoo)? Please nielimishe kwanza maana sikuelewi......
 
Unakua kama humjui Shy bana... yaani ndo anakupa taabu ya kuandika yote haya?


Counter Info. And you know it very well unless otherwise you don't mean what you write.....and if it is encrypted...just cycle it....do not smart set.

And in this line of writing I do not know Shy......enh! whats up?
 
Bwa ha ha ha ..Hata mimi nilitaka kusema hivohivo ila nikaamua kum-sare.

Mhmh!!!!Sheikh tupe data.........what makes you ignore Shy's sentiments. At least a detailed one sentence, self explanatory b'se you read not to be a fun of word pools. Au niku-Sare???????? Au utetezi ulioweka kwenye signature unakulinda.......kwa kustahili au?

Lete data tupime uzito........
 
Hongera mchungaji,
wale walio wako wakujua nawe wawajua walio wako,
amina
 

Jamaa ni mwanasarakasi wetu hapa JF.

[ame]http://www.youtube.com/watch?v=c6qk1AFH9Y4[/ame]
 
TISS? My foot! What the hell is that? Ni kama Leyland au Bedford ya mwaka 47 itembeayo leo barabarani.
 
Tanzania imeingia katika Millenia mpya ambapo mabadiliko si ya Kiiuchumi pekee, bali hata ya kijamii na kisiasa. Lakini TISS bado wako kule kule kwa mwaka 1947!
 
Nilikuwa kama siamini macho yangu kwa kile nilichikuwa nakisoma. Pole sana Mchungaji, inaonekana hawa jamaa wa TISS wamekukera kupita maelezo. Ni vizuri kutoa dukuduku lako kama ulivyofanya. Nakubaliana nawe kabisaaaa...
 
Nasikia kuna muswada wauanzishwaji wa Balaza la Usalama wa Taifa. Huenda Balaza hilo litafanya mabadiliko ktk chombo hicho muhimu sana kwa maendeleo ya nchi. Wakati mwingine kuwashauri nini cha kufanya ni muhimu sana, na hasa kama watasikia na kuutumia vizuri ushauri huo
 
Mtu mwovu daima hukimbia kivuli chake, ndo maana wanakutafuta! Tutawafuata na kuwatangaza hadi kwenye paa za nyumba zao!
Keep it up!
 
It is about time Preacher! Hivi hilo kanisa lako linaitwaje vile maana naona liko tayari kupokea waumini wengi wa dini ya Uzalendo! Amen brother!
Kanisa lake linaitwa Tanzania na watu wa Tanzania. wote wanaotaka kukutafuta ni watu waoga sana maana huwa unasema ukweli kabisa. Mchungaji ni wa Kondoo sasa wanakutafutia nini?? Utaonana nao Mbinguni na sio Hapa kaa huko huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…