Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,231
- 113,609
Rev Kishoka,
ulivyoweka Rubisi umenikumbusha mbali sana....kuna kisiwa flani hivi ziwa victoria kinaitwa Kome!! story ndefu, lakini huko ndio kuna mambo ya rubisi, genzemu na muramba kwa saaaaana......mambo ya Mzee Mhuyoba na Kapatiko!!!
lakini huchelewi kupata "taenia spp" kwa kunywa kinywaji hicho! so, polepole ndugu yangu na hivyo vinywaji vya kukamuliwa kwa miguu yenye "machacha."
Wewe inabidi uchukue darasa la jinsi ya kujielezea maana huwa hueleweki hata kidogo!!!!