Mwamposa, ni vyema ukarekebisha baadhi ya vitu ambavyo ni kero kwa waumini wako na jamii kwa ujumla

Huna akili kabis

Huna akili kabisa ya kujitambuwa, mtu mwenye akili hawezi kwenda kwa matapeli hao
nenda kwa ajili ya kufanya uchunguzi kama mimi nilivoenda nikanasa....afu mkuu sio ajabu wewe kwa mwamposa huendi lakini kwa mganga au unaenda, na kama hujawahi kwenda popote kushughulikia matatizo yako basi hayajakukuta mkuu, may be we ni mtoto wa kishua hujawahi pitia shida so kaa na mzazi wako akupe mbinu alizopitia mpaka akafikia mafanikio. ukija kupata shida utaskiliza kila ushauri mbaya/mzuri kwa lengo tu la kutatua changamoto zako
 
Naamini katika uwezo wa Mungu lakini sio kupitia Mwamposa. Namuona ni nabii wa uongo asiyekemea dhambi wala kuwa na fadila yoyote ya kikristo. Kwanini watu bado wanamwamini hata baada ya kuona kuwa ni mpiga sadaka?!
Sijafundishwa kumhukumu mungu pasipo kujiridhisha, afu kwa mambo ya kimungu sinaga masiara kabisa...waga namuachia mungu nashika kile anachokifundisha ambacho hakifundishi sitomjudge na akifundisha nje biblia soul alarm inagongaa
 
Sijafundishwa kumhukumu mungu pasipo kujiridhisha, afu kwa mambo ya kimungu sinaga masiara kabisa...waga namuachia mungu nashika kile anachokifundisha ambacho hakifundishi sitomjudge na akifundisha nje biblia soul alarm inagongaa
Mkristo kweli unamwamini mtu alisababisha vifo vya watu 20 kule Moshi katika kukanyaga mafuta ya upako na baada ya mwezi mmoja akatunukiwa shahada ya Phd kutoka chuo cha huko Nigeria!! Akina Geo Davie wanafanya mashindano ya u miss kanisani mnawaamini kweli?!

Sikiliza anachosema mtu wenu hapa kuhusu wenzake. Ombeni hekima ya Mungu.

file:///var/mobile/Library/SMS/Attachments/85/05/B9E9E771-3C60-4DE2-8EB0-BD296E605D6E/8847b96a-39d4-47c7-b83f-d97c1d114027.MP4
 
Mtumishi wa mungu ni vyema kuzingatia jamii na waumini wanataka nini katika maisha yao, yafuatayo ni kero nilizozibaini mimi kama miongon mwa waumini wake....

1. Ibada ndefu/ mpaka usiku inayopelekea usafiri kuwa wa shida, kumbuka waumini wengi wanategemea usafiri wa uma afu wanakaa mbali afu wana watoto na pengine hupelekea kukabwa usiku kwa waenda kwa miguu.

2.Kutokukemea dhambi, mimi ni mhudhuriaje mkubwa wa ibada kwa Mwamposa lakini skumbuk ni lini kakemea dhambi, ingawaje watu wanaenda pale wa kila aina, makahaba, malaya, wezi, mashoga n.k. Lakini mtumishi anadeal sana na kutoa baraka na upako pasipo kuhubiri amani,upendo,na maadili mema ukizingatia kuhusu jinamizi hili la ushoga, mtumishi ongelea ata hili tu kwa ufupi kanisa la mwamposa limekuwa kichaka cha watenda maovu, wanafurahia kutoongelewa. labda anahofia waumini kukimbia kanisa!?

3. Sadaka ni nyingi mmezipa majina mengi afu mnatoa baraka/upako kulingana na kipato cha mtu...yaan wewe mwenye elfu 5 unatofautishiwa baraka na yule mwenye kutoa elfu 50. Jambo hili linawafanya walio na kipato cha chini kujihisi wanyonge au kujihisi kupungukiwa na kitu..jambo hili binafsi linanikera na mnawapa adui zenu nafasi ya kupondea huduma hii.

4.Ukali(kufokewa).. mtumishi amekosa kauli ya kuwarekebisha watenda kazi wake pale wanapokosea amekuwa akiwadhalilisha kwa kuwafokea mbele za watu na mbele ya kamera kama mtumishi unapaswa kuwa mtaratibu kukemea kwa hekima kwa kutambua wengine ni watu wazima wana familia zao...utasikia toa hyu apa wekeni mtu sahihi pale...walinzi,washika maiki, camera man, wanafanya kazi kwa hofu kubwa sanaaa..waondolee hofu wafanyakazi wako!

Ni hayo tu niliyobaini mimi..naomba yeyote mwenye uwezo wa kufikisha haya ayafikishe kwa namna yyte ilee.... lakini pamojaa na hayo nimepokea muujiza kupitia ibada yake mungu ambariki na ajirekebishe ili huduma iwe rafik kwa wengi! Ahsanten na samahani kwa uandishi mbovu..
Mimi hii sababu ya kwanza ibada kuwa ndefu mpaka usiku ndo mtihani mkubwa kwangu ndio maana sikai mpaka mwisho maana najua nikitoka usiku au jioni sana daladala zitakuwa changamoto kuzipata
 
Mtumishi wa mungu ni vyema kuzingatia jamii na waumini wanataka nini katika maisha yao, yafuatayo ni kero nilizozibaini mimi kama miongon mwa waumini wake....

1. Ibada ndefu/ mpaka usiku inayopelekea usafiri kuwa wa shida, kumbuka waumini wengi wanategemea usafiri wa uma afu wanakaa mbali afu wana watoto na pengine hupelekea kukabwa usiku kwa waenda kwa miguu.

2.Kutokukemea dhambi, mimi ni mhudhuriaje mkubwa wa ibada kwa Mwamposa lakini skumbuk ni lini kakemea dhambi, ingawaje watu wanaenda pale wa kila aina, makahaba, malaya, wezi, mashoga n.k. Lakini mtumishi anadeal sana na kutoa baraka na upako pasipo kuhubiri amani,upendo,na maadili mema ukizingatia kuhusu jinamizi hili la ushoga, mtumishi ongelea ata hili tu kwa ufupi kanisa la mwamposa limekuwa kichaka cha watenda maovu, wanafurahia kutoongelewa. labda anahofia waumini kukimbia kanisa!?

3. Sadaka ni nyingi mmezipa majina mengi afu mnatoa baraka/upako kulingana na kipato cha mtu...yaan wewe mwenye elfu 5 unatofautishiwa baraka na yule mwenye kutoa elfu 50. Jambo hili linawafanya walio na kipato cha chini kujihisi wanyonge au kujihisi kupungukiwa na kitu..jambo hili binafsi linanikera na mnawapa adui zenu nafasi ya kupondea huduma hii.

4.Ukali(kufokewa).. mtumishi amekosa kauli ya kuwarekebisha watenda kazi wake pale wanapokosea amekuwa akiwadhalilisha kwa kuwafokea mbele za watu na mbele ya kamera kama mtumishi unapaswa kuwa mtaratibu kukemea kwa hekima kwa kutambua wengine ni watu wazima wana familia zao...utasikia toa hyu apa wekeni mtu sahihi pale...walinzi,washika maiki, camera man, wanafanya kazi kwa hofu kubwa sanaaa..waondolee hofu wafanyakazi wako!

Ni hayo tu niliyobaini mimi..naomba yeyote mwenye uwezo wa kufikisha haya ayafikishe kwa namna yyte ilee.... lakini pamojaa na hayo nimepokea muujiza kupitia ibada yake mungu ambariki na ajirekebishe ili huduma iwe rafik kwa wengi! Ahsanten na samahani kwa uandishi mbovu..
Hongera kwa mawazo mazuri.
 
Kipindi flani ndo Malisa anaingia ingia mwanza tuliwahi kumpeleka sista angu mmoja mimi na bi mkubwa.
Tumefika pale akaanza kuombewa mixa kufunikwa na vitambaa vyekundu, nkaanza kuona hapa usangoma huu.
Nkamshtua bi mkubwa ambae pia kanisa kwake hua n kwa manati na yeye akaniambia hapa ishakua jau.
Imefika mchana akamwambia sisteri, panda gari tukatafte chakula.
Ile tumeanza kuondoka nashangaa wale watumishi sijui wahudumu wanakuja kwa kasi wanakimbia kutufuata (kipindi hiyo kanisa lake lilikua mabondeni kule juu).
Mmh, nkawaza isije kua tumepita na sadaka.
Bi mdash akasimama wakafika wametweta jasho linatoka, akawauliza nini ngori?
Wakasema haifai kuondoka mda ule, bado kuna maprocess..
Bi mkubwa akawaka akawaambia nyie hamna akili, mnataka watu wafe na njaa? Sisi tunaenda kula kwanza af turudi tuendelee na sebene lenu.
Wakakosa pozi, ikabd wakubali tusepe.
Nkamuuliza bi mkubwa, umetoa sadaka?
Akaniambia sadaka ya nini pale wakat unaona mapicha picha mob?
Tukasepa moja kwa moja na sijawahi kurudi kwenye haya makanisa ya ufufuo sijui ufunuo.
All in all hawa jamaa wako kifedha zaidi so all their tactics sio kukomboa watu, bali ni kupiga noti as much as possible. Kila mtu akae chonjo..
Mmekosea sana.na mam Ako mzazi hapazwi kuwa msela Kia's Cha mama Ako namshanga sna haendi kanisani Wala hatoi sadaka ,fungu la kumi ,malimbuko,shukrani za pekee yukoyuko tu

Ni hatari San kwa mzazi wa Aina hyo
 
Ila kuna wafanyakazi wengi wanaolipwa mishahara walinzi wahudumu usafi mashushushu na wa kawaida na chakula kinapikwa wanakula wafanyakazi wote na wagonjwa n.k mimi si muumini wa pale ila kuna kazi nyingi zinazofanyika pale
Uko sahih Sana wameajiriwa wengi Sana ambapo serkali wameshindwa kuwaajiri
 
Naamini katika uwezo wa Mungu lakini sio kupitia Mwamposa. Namuona ni nabii wa uongo asiyekemea dhambi wala kuwa na fadila yoyote ya kikristo. Kwanini watu bado wanamwamini hata baada ya kuona kuwa ni mpiga sadaka?!
Tutaamuamini vzr tu
 
nenda kwa ajili ya kufanya uchunguzi kama mimi nilivoenda nikanasa....afu mkuu sio ajabu wewe kwa mwamposa huendi lakini kwa mganga au unaenda, na kama hujawahi kwenda popote kushughulikia matatizo yako basi hayajakukuta mkuu, may be we ni mtoto wa kishua hujawahi pitia shida so kaa na mzazi wako akupe mbinu alizopitia mpaka akafikia mafanikio. ukija kupata shida utaskiliza kila ushauri mbaya/mzuri kwa lengo tu la kutatua changamoto zako
Bora umemueleza ukweli mtupu
 
Wajinga ndio waliwao.

Unaweza jiombea mwenyewe, Huitaji binadamu yeyote yule haijalishi ni mtakatifu kiasi gani, Akuombee. Hao ni matapeli wa kidini.

You can pray for yourself.You don't need any person no matter how holy he is, to pray for you.Pray for yourself, Religion is a scam.

When all people shall be wise in divine terms Those False prophets and Bogus religious preachers who feed on the ignorance of multitude will go hungry.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Kama ni mtumishi WA kweli WA Mungu maombi Yao huwa yako effective maana Wamewekwa kama makuhani
 
Haya mambo haya. Nina binti mkubwa anasoma chuo fulani sasa siku moja walienda Mafinga na marafiki zake wawili. Jumapili moja wakasema waende kanisani wakaenda kanisa moja la nabii fulani hapo Mafinga.

Yule nabii akawaita mbele na kuanza kuwauliza. Nani ni mkubwa kati yenu. Wakatajana pale eti Nabii akaanza kuwatabiria kuwa huyu Mdogo wenu ndio amependwa na mizimu ya kwenu wakati sio ndio ni marafiki na wote wana wazazi tofauti.

Ikabidi wacheke kwani nabii anadanganya. Nabii akaanza kusema haya yanayocheka ni mapepo waliyonayo na sio wao. Huku Nyuma waamini wakaanza kuwaombea na kukemea Mapepo. Nabii akawawekea mkono na kuwaombea huku anawatuma waandike, wakakaza hawajaanguka ila Yule Mdogo akambana kwa nguvu kichwani na kumsukuma kwa kuwa alikuwa na viatu virefu akaanguka.

Rti alipoanguka Nabii akasema, Mizimu imemuachia so watoe sadaka ya Fungu la Kumi pamoja na zaka. Hahaaaaaaa, baada ya ibada kuisha wakaondoka bila kutoa hiyo sadaka. Jamaa sasa wana upuuzi mwingi sana.
 
Back
Top Bottom