Mtume Boniface Mwamposa wa kanisa la Arise and Shine amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kumwezesha kujenga kanisa lake eneo la Kawe Dar es Salaam, huku akimpongeza kwa kuendeleza miradi ya maendeleo iliyoachwa na Hayati Rais John Magufuli.
Mtume Boniface Mwamposa wa kanisa la Arise and Shine amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kumwezesha kujenga kanisa lake eneo la Kawe Dar es Salaam, huku akimpongeza kwa kuendeleza miradi ya maendeleo iliyoachwa na Hayati Rais John Magufuli.
Hapana dogo,
Mtumishi wa Mungu wa kweli lazima awe na uthubutu wa kukemea maovu katika jamii kama uonevu, ufisadi, wizi wa uchaguzi, utekaji, ulawiti, mauaji, nk, bila kujali nyadhifa za wahusika wanaofanya hayo
Hapana dogo,
Mtumishi wa Mungu wa kweli lazima awe na uthubutu wa kukemea maovu katika jamii kama uonevu, ufisadi, wizi wa uchaguzi, utekaji, ulawiti, mauaji, nk, bila kujali nyadhifa za wahusika wanaofanya hayo
In fact,
kwamfano gwajiboi,
ni vizur angeacha kwanza ufuska na waamini wake, akaacha kujirekodi video za uzinzi na kuambukiza waamini wake ukimwi akatubu.
hapo hata anaweza kua na heshma ya kuitwa kiongozi wa dini π