Mwamposa: Namshukuru Rais Samia

Elias Msuya

Senior Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
175
Reaction score
681
Mtume Boniface Mwamposa wa kanisa la Arise and Shine amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kumwezesha kujenga kanisa lake eneo la Kawe Dar es Salaam, huku akimpongeza kwa kuendeleza miradi ya maendeleo iliyoachwa na Hayati Rais John Magufuli.

Soma pia: RC Chalamila asema Rais Samia ameruhusu kanisa la Mwamposa kuwepo Kawe

Ameyasema hayo katika mahojiano na mwanahabari Salama Jabir katika kanisa hilo.
Video:
Your browser is not able to display this video.

Soma
 
angalau huyu unaweza kumuita kiongozi wa dini πŸ’
 
Hapana dogo,
Mtumishi wa Mungu wa kweli lazima awe na uthubutu wa kukemea maovu katika jamii kama uonevu, ufisadi, wizi wa uchaguzi, utekaji, ulawiti, mauaji, nk, bila kujali nyadhifa za wahusika wanaofanya hayo
In fact,
kwamfano gwajiboi,
ni vizur angeacha kwanza ufuska na waamini wake, akaacha kujirekodi video za uzinzi na kuambukiza waamini wake ukimwi akatubu.

hapo hata anaweza kua na heshma ya kuitwa kiongozi wa dini πŸ’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…