Mwamposa Live | Special Thread

Mwamposa Live | Special Thread

Wanaouza madawa pharmacy mbona wanalipa kodi? Ninyi mnaouza mafuta kutibu kichwa na wao wanaouza aspirin mnatofauti gani???

Kila biashara halali inayofanyika nchini inalenga kumsaidia mwananchi ila zote zinalipiwa kodi.

Haijalishi hayo mafuta yanatibu au hayatibu, Ila kwakuwa anafanya baishara ya kuuza maji na mafuta alipe kodi. Kama sivyo agawe bure.
Kwahiyo issue ni Mwamposa tu au hata kanisa katoliki wanauza rozari walipe kodi?
 
Wanaouza madawa pharmacy mbona wanalipa kodi? Ninyi mnaouza mafuta kutibu kichwa na wao wanaouza aspirin mnatofauti gani???

Kila biashara halali inayofanyika nchini inalenga kumsaidia mwananchi ila zote zinalipiwa kodi.

Haijalishi hayo mafuta yanatibu au hayatibu, Ila kwakuwa anafanya baishara ya kuuza maji na mafuta alipe kodi. Kama sivyo agawe bure.
This is Spiritual
 
Kwahiyo issue ni Mwamposa tu au hata kanisa katoliki wanauza rozari walipe kodi?
Wote walipe kodi, wengi wanafanya biashara kwa kichaka cha dini.

Tunakoelekea sasa wachungaji watahamishia maduka yao kanisani, watauza chumvi, sabuni, mchele, unga, mafuta, na vinginevyo kwa mgongo wa huduma.
 
This is Spiritual
Pesa inatafuta nini kwenye mambo ya kiroho???? Acheni kusindikiza watu kwenye Utajiri kwa mgongo wa huduma za kijanja janja.

Tunakoelekea maduka yatahamia kanisani, wachungaji watauza mchele, unga, sabuni, mafuta n.k kwa mgongo wa dini.

Serikali iingilie kati mapema kama makanisa yameamua kuuza bidhaa yalipe kodi, hizo habari za kutibu watajua muuzaji na mnunuaji ila serikali ichukue kodi.
 
"Ukiitwa kufanya Kazi ya Mungu, unakua na uwezo wa kusolve case zote" Mtume Mwamposa

Yasiyowezekana kwà wanadamu, kwà Mungu yanawezekana

Sema AYAYAYA
 
"KUFUNGULIWA SIO BAHATI BALI NI IMANI" Mtume Boniface Mwamposa
 
Back
Top Bottom