Huyo jamaa ni economist hajihusishi na uchawi yeye hufundisha tuKwa nini unamtowa Mwakasege?
Kwahiyo issue ni Mwamposa tu au hata kanisa katoliki wanauza rozari walipe kodi?Wanaouza madawa pharmacy mbona wanalipa kodi? Ninyi mnaouza mafuta kutibu kichwa na wao wanaouza aspirin mnatofauti gani???
Kila biashara halali inayofanyika nchini inalenga kumsaidia mwananchi ila zote zinalipiwa kodi.
Haijalishi hayo mafuta yanatibu au hayatibu, Ila kwakuwa anafanya baishara ya kuuza maji na mafuta alipe kodi. Kama sivyo agawe bure.
Inawezekana hujui unachosimamia.Huyo jamaa ni economist hajihusishi na uchawi yeye hufundisha tu
IBADA YA MAOMBI NA MAOMBEZIKwa nini unamtowa Mwakasege?
This is SpiritualWanaouza madawa pharmacy mbona wanalipa kodi? Ninyi mnaouza mafuta kutibu kichwa na wao wanaouza aspirin mnatofauti gani???
Kila biashara halali inayofanyika nchini inalenga kumsaidia mwananchi ila zote zinalipiwa kodi.
Haijalishi hayo mafuta yanatibu au hayatibu, Ila kwakuwa anafanya baishara ya kuuza maji na mafuta alipe kodi. Kama sivyo agawe bure.
Wote walipe kodi, wengi wanafanya biashara kwa kichaka cha dini.Kwahiyo issue ni Mwamposa tu au hata kanisa katoliki wanauza rozari walipe kodi?
Sema AYAYAYAKwahiyo issue ni Mwamposa tu au hata kanisa katoliki wanauza rozari walipe kodi?
Pesa inatafuta nini kwenye mambo ya kiroho???? Acheni kusindikiza watu kwenye Utajiri kwa mgongo wa huduma za kijanja janja.This is Spiritual
Acha kutupa jiwe gizani, namuelewa sana shemeji ChristopherInawezekana hujui unachosimamia.
Kwa nini iwe dhambi kwa wanaomuelewa Mwamposa?Acha kutupa jiwe gizani, namuelewa sana shemeji Christopher
Rudia maneno haya sema chioonii ya leooo...mbengoo... ztafongokaaa




Na wewe kwanini ukomae na bulldozer?Kwa nini iwe dhambi kwa wanaomuelewa Mwamposa?
Kisa Mwakasege ni Shemeji yako?





Emmanuel