MzeeKipusa
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 2,705
- 4,971
- Thread starter
- #21
Hii ni Huduma mpendwa. Na kuhusu Mafuta , yapo kila Mkoa.Mwambie afungue maduka ya kuuza mafuta mikoani kuna wajinga wengi huku atapiga pesa, iwe biashara rasmi na alipe kodi sio anauza mafuta kwa mgongo wa dini.
Kwà hapo Dodoma, nenda mpaka kituo cha Martin Luther King,....shuka hapo...waulize boda waliopo hapo kituoni...kwà Mwamposa ni wapi? Watakupeleka.
Utapata Mafuta, maji, gazeti, karatasi ya maombi 12...
Karibu sana.


