mjumbe wa bwana
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 5,282
- 6,162
Ukitaka akina mama wakushushe kwenye gari ongelea mwamposa vibaya cjui aliwalisha nn
UPAKOUkitaka akina mama wakushushe kwenye gari ongelea mwamposa vibaya cjui aliwalisha nn
masikini wanatuma na ya kutolea kudadadeki ...!Pesa!!!! Anazifaidi yeye na mke wake!! Wajinga wanaendelea na shida zao mtaani!!
Ndio. Kwani Yesu wakati anafundisha alikuwa anakusanya hizo fedha ili awe tajiri?!!Una uhakika na habari hizi?
Naona kama unachanganya mafailiNdio. Kwani Yesu wakati anafundisha alikuwa anakusanya hizo fedha ili awe tajiri?!!
Mwambie awe makini sahivi akitoa kafara ya kifala Kama ile ya Moshi ataliwa kichwa maana mteteze wake hayupoUPAKO
Poa. Ila nakushauri utumie pesa zako vizuri kwa manufaa yako na familia yako!Naona kama unachanganya mafaili
Usiache kujiungamanisha mida ya saa tatu usiku...atakua live tena....UKOMBOZI WA FAMILIAMwambie awe makini sahivi akitoa kafara ya kifala Kama ile ya Moshi ataliwa kichwa maana mteteze wake hayupo View attachment 2549347
Life is a mysteryPoa. Ila nakushauri utumie pesa zako vizuri kwa manufaa yako na familia yako!
Iiingie kutoka wapi mkuu?Nasubiri kuinua simu miamala iingie
Watu ni wengi sana Ndugu,...ni zaidi ya unavyodhaniHivi ni kweli jamaa huwa anauza maji lile gari kubwa linaisha?
Huo ni mtizamo wakoKwanini mnafanya huduma ya kiroho iwe biashara?
Huo ni mtizamo wako
Yeye Kazi yake ni kuiboost imani YAKO.....period!Kama unafahamiana na mwamposa mshauri aache kutumia mahangaiko ya watu kuvuna hata kidogo walichonacho
Atumie Bible kuponya roho za watu na sio kuumiza