April26
JF-Expert Member
- Jul 14, 2020
- 1,405
- 2,162
Mpe jibu mkuu ili aone kamq ni kidogo aongeze mtaji.Sasa Ndugu hata ukijua itakusaidia nini?
Mpe jibu mkuu ili aone kamq ni kidogo aongeze mtaji.Sasa Ndugu hata ukijua itakusaidia nini?
Wewe si unaishi KAWE? kwanini usiende hapo mara Moja? Au fungulia Tv , Arise and ShineSina bando niwezeshe mtumishi.
Acha mikwara mbuzi wewe, hizo madhabahu za kichawi wanaenda wenye akili kama zako na wachawi wenzieSiku ukikanyaga madhabauni kwà Mwamposa kutoa ushuhuda usiache kukisema hiki ulichokisema....
Kwamba wakati ulipokua Thomaso...ulidiriki kusema huwezi kufanya ujinga wa kujipatia Mafuta na Maji...
Kiufupi , watu ni wengi sana wanaofika pale.Mpe jibu mkuu ili aone kamq ni kidogo aongeze mtaji.
Umejuaje naishi kawe ?Wewe si unaishi KAWE? kwanini usiende hapo mara Moja? Au fungulia Tv , Arise and Shine



Alipe kodiSasa Ndugu hata ukijua itakusaidia nini?
GPSUmejuaje naishi kawe ?![]()
TRA hawaruhusuAlipe kodi
Inakudanganya, yaani Arusha ikwambie ni kawe nikajuwa mafuta au maji.
Wataruhusu tu, haiwezekani mtu mwenye mtaji wa laki tano alipe kodi, yeye anayeuza maji na mafuta mamilioni ya pesa asilipe kodiTRA hawaruhusu
ReligionWataruhusu tu, haiwezekani mtu mwenye mtaji wa laki tano alipe kodi, yeye anayeuza maji na mafuta mamilioni ya pesa asilipe kodi
Hatuwezi kuruhusu wizi kwa kichaka cha diniReligion
GENTAMYCINEYule poyoyo Gentamasimavi akiona hivi uharo unambana.
Hivi unajua ni watu wangapi wamefaidika na huduma?Hatuwezi kuruhusu wizi kwa kichaka cha dini
Hivi Mwamposa ana matawi mikoani??Nawasalimu kwa Jina lipitayo majina yote la Bwana Wetu Yesu Kristo wa Nazareth!
Thread hii ni maalumu kabisa kwà ajili ya kuwapasha watu habari kwà kinachokua kinaendelea kwenye Huduma ya Mtume Boniface Mwamposa via Redio, Social networks or Via Arise and Shine TV
Karibuni sana.
Arise?
Vituo vya Radio,...na Mahala pa kwenda kuchukulia products zake.Hivi Mwamposa ana matawi mikoani??
Kwa nini unamtowa Mwakasege?Ukitoa mwl Mwakasege, wahubiri wengi wanyakyusa ni wachawi nguli 😎
Wanaouza madawa pharmacy mbona wanalipa kodi? Ninyi mnaouza mafuta kutibu kichwa na wao wanaouza aspirin mnatofauti gani???Hivi unajua ni watu wangapi wamefaidika na huduma?
Kipi bora, kufanyiwa operation India kwà 20m au kununua maji na Mafuta?