Ntaliaaaaa ππππHao sasa wachawi au wanga walitaka kukuonyesha kuwa wewe ni mwepesi tu,,,, kama walimu wa vijijini wanavyijikuta wapo vibarazani asubuhi wkt walilala ndani
Una uhakika waliishia kuchukua pichu tu hawakuchukua hatua nyingine??ππππππ Hamna mimi nililala nayo lakini asububi sikuikuta mwilini
Hawajachukua kwa kukufanyia ubaya ila walitaka kukupa ujumbe tu, u take careNtaliaaaaa ππππ
Kwahiyo unataka kusemaje bro??
Sijui kama atasema hahahaUna uhakika waliishia kuchukua pichu tu hawakuchukua hatua nyingine??ππ
ππππ Acha basiUna uhakika waliishia kuchukua pichu tu hawakuchukua hatua nyingine??ππ
ππππ hatareee aiseee!!!Hawajachukua kwa kukufanyia ubaya ila walitaka kukupa ujumbe tu, u take care
Ahahahah..anyway, ukiona manyoya basi tena.πSijui kama atasema hahaha
Ndo maana yake chiefAhahahah..anyway, ukiona manyoya basi tena.π
Watu wabaya sana chief,,,, Mungu mkubwa ulikumbuka hilo tukioHaya mambo yapo na tumeshakutana na visa vingi kama familia.
Mwaka 2018 nimetoka kumchukua wife hospital baada ya kujifungua mtoto wetu wa 3 kuzaliwa, ile tumefika home tu (kipindi hicho bado nimepanga, ilikua myumba mzima lakin fence ya nyumba haikua na geti bado), mama mkwe akaomba nguo za yf kwa ajili ya kuzifua usiku huo huo.Bas akazianika nje .
Asubuh tuna amka tukakuta nguo zoote zipo kasoro nguo 1 tu ya wife ambayo ndio alivaa akiwa leba wakat wa kujifungua, haipoo.
MIaka kadhaa mbele mimba 2 ziliharibika kwa misacarriage mpaka siku nilipokumbushia tukio ya 2018 kupotea nguo ya wife, tukafanya ibada maalumu kama familia, hatimae yf akabeba mimba tena na 2022 Dec akajifungua our last born.
Uswahil upo sana
Hizo ndio password zako chief,, wakizipata kwisha habar yakoEx wangu demu wa kipare baada ya makubaliano ya pande mbili ya kuachana kwa amani ye alianza kutafuta jina la mama yangu kumbe hakuridhia makubaliano
Nikamshirikisha mzee mmoja akaniambia jina lako na la mama likipatikana huwa linatumika kishirikina
What I know is, good judgment comes from experience, and experience comes from bad judgment. So..... If you don't mind, it doesn't matter Mwa J takes whatever boxers...
Hii bado haijaisha emu malizia basi mboni unatupa vipande vipande akasema kwenye Gari anaelekea wapi?Kwa heshima ya mwamba stow away naleta mwendelezo inaelekea watu wana uraibu wa Itaendelea
Kesho yake tukaenda polisi kutoa taarifa kama raia wema wanavyofanyaga,,,, halafu tukajaribu kumvutia waya simu ikawa inaita then anapokea halafu haongei,kafanya hivyo kama mara tatu lkn unasikia kama mtu ambaye yupo kwenye gari anasafiri, tukampotezea.
Baada ya Wiki akatutafuta na kuomba radhi na kuleta viswahili ambavyo hata haviingii akilini,,, nikamuuliza mbona ulikuwa unapokea simu halafu huongei akasema alikuwa anaogopa kwamba watu ndani ya basi watajua kuwa ametoroka kutokana na maongezi yake.
Anyways staff happens na maisha lazima yaendelee.
Wanazitumia kichawi. Hatari sana
Dah hahaha we mwamba mbishi balaa,,,,,anyways akasema anaenda kwao geita eti aliondoka bila kuaga kwahiyo wazazi wake wamemmind ndio maana akaamua kutoroka.Hii bado haijaisha emu malizia basi mboni unatupa vipande vipande akasema kwenye Gari anaelekea wapi?