Mwalimu wa udereva anahitajika

Mwalimu wa udereva anahitajika

MBONA MNANICHANGANYA JAMANI
VETA ni tofauti na Chuo cha Usafirishaji (NIT). kama hapo kwenu Dasilamu VETA iko Keko kama sikosei. Veta wanafundisha basic na hapo ni rahisi hata kupata leseni kuliko kujifunza kwa binafsi tu!
 
pale mbezi tang bovu kipo chuo cha udereva wa magari madogo (class D driivers), ikiwa unatokea tegeta vuka bara bara coz iko upande wa kutokea mwenge, nyuma ya kituo cha dala dala cha tangi bovu utaona jengo la ghorofa 1, utaliona bango lake ktk ilo ilo jengo au km htoliona basi ulizia watu kwa msaada zaid!
ungekua unaishi huku gongo la mboto au maeneo ya karibu na huku ningekufundisha sheria na alama za bara barani na pia kuendesha.
 
Katika kubana matumizi boss wangu kasema hawezi kuajiri dereva inabidi mimi secretary nimuendeshe hapa na pale maana yeye ni mzee hawezi kuendesha gari saa zote anachoka. Therefore natafuta mwalimu budget laki moja kwa week mbili kila siku one hour.

Njoo pm, nipo Dar es Saalam
Unataka ufundishwe auto au manual?
 
Katika kubana matumizi boss wangu kasema hawezi kuajiri dereva inabidi mimi secretary nimuendeshe hapa na pale maana yeye ni mzee hawezi kuendesha gari saa zote anachoka. Therefore natafuta mwalimu budget laki moja kwa week mbili kila siku one hour.

Njoo pm, nipo Dar es Saalam
Nichek inbox kama uko tayari... Nitahakikisha umekuwa dereva mahiri, hadi mkoani utakuwa unaenda...
 
Back
Top Bottom