Mwalimu wa Sayansi bila Sayansi

balimar

JF-Expert Member
Sep 18, 2015
7,738
13,653
Ninapataga wakati mgumu sana kutofautisha kati ya Mwalimu wa sayansi na mwanasayansi.
Ingawa sasa najua kuwa mwalimu wa sayansi haimaanishi kuwa wwe ni mwanasayansi.
Kama unataka kuwa mwanasayansi lazima ujikite sana na discoveries and innovation and recently publications matters alot.
Walimu wanaofundisha masomo yanayoitwa ya "sayansi" huwa siwatofautishi sana na wale wa histori na kiswahili labda na kingereza.
Inawezekana vipi ukaitwa Mwalimu mwanasayansi kama tangu uanze kufundisha hujawahi kuleta hata ka-hypothesis kamoja watu wakaanza kukachallange. Nadhani serikali ni clever sana kutotofautisha mishahara ya hawa walimu wanaofundisha historia ya sayansi na wale wa historia ya arts.
Jaman kukariri principles, formulas, concepts, derivation of derivatives, locus, heritance principle does not guarantee your scientific wise.
Please publish, make discovaries and innovations, njooni na contravesial research findings then we will call you scientific teachers.
Nawasilisha
 
Na wewe ungekariri hizo principles kama una mapafu. Mwezako kaweza japo kukariri, wewe uliweza?
Ukiona unapunjwa sana, na wewe kariri tukuone kama utaweza. Kalaza wewe
 
Sina uhakika Kama ulikipost ndivyo kilivyo ama LA. Basi Kama ni hivyo sidhani Kama kwa mwalimu wa hapa tz na nchi nyingi za anaweza akaanza kufanya tafiti na kupublish na kuunda hypothesis sababu zifuatazo tafiti inahitaji kuwezeshwa in term of financial ili uweze kufanya practical tofauti tofauti sasa tatizo ni kipato cha mwalimu hakitoshelezi kuanzia mshahala mpaka vitu hii haiwezi mjenga mwalimu aanze kufanya tafiti kupublish izo papers. Ingekuwa kuna bajeti imetengwa na mazingira ya mwalimu yapo vizuri nadhani mada yako ingekuwa na mantiki maabara tu za wanafunzi hazipo ama hata Kama zipo hazina vifaa vya kutoshereza unafanya tafiti za kisayansi kwsnye mazingira ya hivi. Kuna mtanzania mmoja anaitwa mpemba huyu na maarufu kwa model yake ya the mpemba effect lkn hajapewa krediti kabisa na Tanzania. Unajua mwalimu anapofundisha anatakiwa awe na model ya mfano was kitu halisia I'll wanafunzi waweze kuelewa zaidi tatizo ni kwamba pesa ya kununua vifaa vya kutengenezea hizo model zinatoka wapi. Maprofesa wama wanafunzi was PhD wanapopublish tafiti zao wengi wanakuwa wako financed na taasisi.
 
Sina uhakika Kama ulikipost ndivyo kilivyo ama LA. Basi Kama ni hivyo sidhani Kama kwa mwalimu wa hapa tz na nchi nyingi za anaweza akaanza kufanya tafiti na kupublish na kuunda hypothesis sababu zifuatazo tafiti inahitaji kuwezeshwa in term of financial ili uweze kufanya practical tofauti tofauti sasa tatizo ni kipato cha mwalimu hakitoshelezi kuanzia mshahala mpaka vitu hii haiwezi mjenga mwalimu aanze kufanya tafiti kupublish izo papers. Ingekuwa kuna bajeti imetengwa na mazingira ya mwalimu yapo vizuri nadhani mada yako ingekuwa na mantiki maabara tu za wanafunzi hazipo ama hata Kama zipo hazina vifaa vya kutoshereza unafanya tafiti za kisayansi kwsnye mazingira ya hivi. Kuna mtanzania mmoja anaitwa mpemba huyu na maarufu kwa model yake ya the mpemba effect lkn hajapewa krediti kabisa na Tanzania. Unajua mwalimu anapofundisha anatakiwa awe na model ya mfano was kitu halisia I'll wanafunzi waweze kuelewa zaidi tatizo ni kwamba pesa ya kununua vifaa vya kutengenezea hizo model zinatoka wapi. Maprofesa wama wanafunzi was PhD wanapopublish tafiti zao wengi wanakuwa wako financed na taasisi.
Naweza ipata hiyo mpemba model kwenye internet? This is inter
 
Nimekuelewa ulipoongelea suala la walimu wa sayansi kutojiita wanasayansi na nadhani ndivo ilivo, maana ( kwa mfano) kuna wanaosoma bachelor of education in physics ( Huyu ni mwalimu wa physics) na wanaosoma bachelor of science in physics (Huyu ndio mwanafizikia, tunaeweza kumuita mwanasayansi)

Lakini kwa upande wa mishahara hawa walimu wa sayansi tunawaonea, kwanza ndio wanaoongoza kuwa na vipindi vingi mashuleni, na wanaongezewa majukumu mengine ambayo yalitakiwa kufanywa na lab technician (kufundisha na kuandaa practical)

Weak point* hawa jamaa waliteseka sana enzi za usomaji wao jamani, hakuna asiyejua mziki wa physics/chemistry/biology wa advance nadhani wangepewa favour kidgo kuwapa motisha.
 
Google

google tu the mpemba effect IPO details za kitosha tena web kibao
Nimemuona bhana na hypothesis yake ya warmer water freeze quicker than cold water. Nimegundua kumbe zile sentense za uongo tunazoambiwa usiweke Maji ya moto kwenye fridge is too weak kumbe ukitaka effect ya haraka weka maji ya moto ndio yatawahi kupoa and virce verse
 
Nimekuelewa ulipoongelea suala la walimu wa sayansi kutojiita wanasayansi na nadhani ndivo ilivo, maana ( kwa mfano) kuna wanaosoma bachelor of education in physics ( Huyu ni mwalimu wa physics) na wanaosoma bachelor of science in physics (Huyu ndio mwanafizikia, tunaeweza kumuita mwanasayansi)

Lakini kwa upande wa mishahara hawa walimu wa sayansi tunawaonea, kwanza ndio wanaoongoza kuwa na vipindi vingi mashuleni, na wanaongezewa majukumu mengine ambayo yalitakiwa kufanywa na lab technician (kufundisha na kuandaa practical)

Weak point* hawa jamaa waliteseka sana enzi za usomaji wao jamani, hakuna asiyejua mziki wa physics/chemistry/biology wa advance nadhani wangepewa favour kidgo kuwapa motisha.


kama issue ni vipindi serikali ikitaka kuwaongezea wa sayansi tu itasumbua sana kuna maeneo ya mengi pia waalimu wa arts wana vipindi vingi, kuna maeneo waalimu wa english ndo wana vipindi vingi hasa ya mjini, ni ngumu sana kutekeleza hili maana leo mwalimu ana vipindi vingi mwezi ujao katikati vimepungua utawekaje malipo?? kufundisha nikufundisha tu
 
Back
Top Bottom