Mwalimu wa hesabu na Mwanafunzi

Manager

JF-Expert Member
Apr 21, 2011
531
73
Mwalimu: Nane kugawanya kwa mbili ni ngapi?
Mwanafunzi: Ni sifuri. Maana nane (8) imeunganishwa na sifuri mbili.

Mwalimu: kaa chini
Mwanafuzi: ngoja nijaribu tena. Ni tatu (3) maana ukiweka msitari kati kati ya nane unapata 3

My take: mwanafunzi genius--he/she thought differently
 
Yes s/he is genious coz s/he was able to think outside the box.."thumb up"
 
Think beyond ordinary answers, that was it!
Hivi inakuwaje kama mwalimu hafikirii beyond the ordinary answers--matokeo yake unapigwa chini! Hapo ndipo wanafunzi wengine watasema 'unajifanya una akili!'
 
Ni genius hata mwalim hajawah kufkiria hivo vitu

Sent from my BlackBerry 9100 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom