Mwalimu alitangulia kuzaliwa na kusoma, ila dogo anatisha
tatizo tunakariri maswali na majibu watanzania, mtu anapotoa jibu lake mheshimu na mpe muda akufafanulie, u can loss world genius kwa kujiona we are all knower...kila kitu ili ukikubali lazima kitetewe kwa ufafanuzi wa kina
Nimeona sister, wasalimie Uamsho hapo Zenji! Hope wataanza kuwa critical thinkers