Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 51,991
- 69,385
Duuuh so sad kwa kweli
Amezeeka
HahahahahaaaSunnah
Kumbe sio wa kwanza huyu!?Sijui kwanin hawa walimu wa madrasa wanakuwa na tabia za kulawiti watoto
Sio kweli unaenda kidini,Ustadh huyo sio uislamu.Ni binadamu wa kawaida.Muumin wa kweli anaweza kufanya kitu chochote ni binadamu.Sisemi ametenda jambo la kawaida la khasha,amekosea lakini usihukumu dini pliz unagusa imani za watu!Mkuu huko ni Ulaya, ongelea Tz.
Kumbuka haya mambo yamekuwa yakitokea mara kwa mara.Sio kweli unaenda kidini,Ustadh huyo sio uislamu.Ni binadamu wa kawaida.Muumin wa kweli anaweza kufanya kitu chochote ni binadamu.Sisemi ametenda jambo la kawaida la khasha,amekosea lakini usihukumu dini pliz unagusa imani za watu!
Shule zikichomwa na wanafunzi tufunge shule?mchungaji akichukua mke wa mtu kanisa lifungwe?Kumbuka haya mambo yamekuwa yakitokea mara kwa mara.
Mkuu naomba uelewe kuwa haya matatizo yamekuwa yakijirudia mara kwa mara.Shule zikichomwa na wanafunzi tufunge shule?mchungaji akichukua mke wa mtu kanisa lifungwe?
nadhani nimekuelewaWatu kama hawa wala tusipoteze rasilimali bure!
Watoto wa kike wanatiwa mimba mashuleni basi watoto wa kike wasipelekwe shule.Mkuu naomba uelewe kuwa haya matatizo yamekuwa yakijirudia mara kwa mara.
Ok mkuuWatoto wa kike wanatiwa mimba mashuleni basi watoto wa kike wasipelekwe shule.
HIYO HULKA NA TABIA YA MTU MBONA MAPADRI WANAFANYASijui kwanin hawa walimu wa madrasa wanakuwa na tabia za kulawiti watoto
HAKUNA KITABU KINASEMA HIVO SIO KWELI ACHA KUPOTOSHA WATUHizi madrasa Nazo ni tatizo. Labda ndo vitabu vinasema hivyo
Mzazi wa mtoto ambaye ni muislam ashawishiwe na viongozi wa dini isiyo ya kiislam kuhujumu uislam.Kama ni kweli basi sawa kuadhibiwa.
Ila nilishawahi simuliwa na mtu mmoja ambaye alikua kiongozi wa dini wa upande wa pili na akasema. Hawapendezwi na mafunzo wanayopata watoto wa madrasa ambayo inapelekea kuwa na misimamo thabiti kwenye dini.
Wanachofanya sasa ni kwanza kumuandaa mzazi mmoja ambaye atakuwa tayari kwenda polisi kufungua kesi ya uzushi ya kubaka dhidi ya mwalim yoyote wa madrasa kisha anakwambia huko mbele anawaachia wao jukumu la kuweka mazingira favaourable upande wa mzazi aliyezusha mwanawe kalawatiwa.
Hivyo ndio dini ya kiislam anavyopigwa vita kwa njia mbali mbali kabisa tena kushirikiana na taasisi nyingi za uma tena nyeti.
Nani kakudanganya kuwa vatican kuna watoto?Nikweli maana wale makasisi pale Vatcan waliharibu sana watoto pale.Ila mungu atawaadhibu pia