Kwa nini?mbona anglicana inaendelea?obama na david cameroon ni dhehebu lipi?Madrasa inatakiwa zivunjwe zote.
Mkuu huko ni Ulaya, ongelea Tz.Kwa nini?mbona anglicana inaendelea?obama na david cameroon ni dhehebu lipi?
Kosa la huyu unahukumu wote?, na yule padri aliyefungwa kwa kumlawiti kijana nae makanisa yote yangefutwa?...Madrasa inatakiwa zivunjwe zote.
Sijui kwanin hawa walimu wa madrasa wanakuwa na tabia za kulawiti watoto
Hawa walimu wa madrasa wamezidi kwa visa.Kosa la huyu unahukumu wote?, na yule padri aliyefungwa kwa kumlawiti kijana nae makanisa yote yangefutwa?...
Sunnah
Hakuna kitu sipendi kama hawa walimu wa madrasaVitoto vya KIKE vinachezewa MAZIWA.....vya KIUME vinalawitiwa.....sijuwi watoto wetu tuwapeleke wapi...
Kama ni kweli basi sawa kuadhibiwa.
Ila nilishawahi simuliwa na mtu mmoja ambaye alikua kiongozi wa dini wa upande wa pili na akasema. Hawapendezwi na mafunzo wanayopata watoto wa madrasa ambayo inapelekea kuwa na misimamo thabiti kwenye dini.
Wanachofanya sasa ni kwanza kumuandaa mzazi mmoja ambaye atakuwa tayari kwenda polisi kufungua kesi ya uzushi ya kubaka dhidi ya mwalim yoyote wa madrasa kisha anakwambia huko mbele anawaachia wao jukumu la kuweka mazingira favaourable upande wa mzazi aliyezusha mwanawe kalawatiwa.
Hivyo ndio dini ya kiislam anavyopigwa vita kwa njia mbali mbali kabisa tena kushirikiana na taasisi nyingi za uma tena nyeti.
TUESDAY, OCTOBER 3, 2017
Mwalimu wa madrasa jela miaka 30 kwa kulawiti
By Hadija Jumanne, Mwananchi hjumanne@mwananchi.co.tz
Dar es Salaam. Mwalimu wa madrasa, Abdillah Sharifu, amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela baada ya kutiwa hatiani kwa kumlawiti mtoto wa kiume wa miaka 11.
Sharifu (30), mkazi wa Gongo la Mboto eneo la Moshi Baa amehukumiwa kifungo leo Jumanne katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala.
Mshtakiwa anadaiwa kumlawiti mtoto huyo na pia kumtishia kuwa angemroga endapo angetoa taarifa kwa wazazi wake kuwa anamfanyia kitendo hicho.
Akisoma hukumu, Hakimu Mkazi Mwandamizi, Juma Hassan amesema ameridhishwa na ushahidi wa mashahidi wanne akiwemo daktari.
"Mshtakiwa nimekutia hatiani kama ulivyoshtakiwa, ninakuhukumu kifungo cha miaka 30 jela ili iwe fundisho kwako na watu wengine wenye tabia mbaya kama hii," amesema.
Hakimu Hassan amesema kitendo kilichofanywa na mshtakiwa ambaye ni mwalimu wa dini ni cha kikatili.
Akipitia ushahidi wa upande wa mashtaka, hakimu Hassan amesema shahidi wa kwanza ambaye ni mtoto huyo aliieleza Mahakama kuwa mshtakiwa Februari 25 alimtaka kwenda nyumbani kwake.
Baada ya kufika nyumbani kwa mshtakiwa ambaye mke wake ana tatizo la kutoona, shahidi huyo alieleza alitakiwa kuvua nguo kitendo ambacho pia kilifanywa na Sharifu.
Shahidi huyo aliieleza Mahakama kuwa mshtakiwa alimfanyia ukatili huo, huku akimtishia kuwa iwapo angethubutu kutoa siri hiyo angemroga.
“Mara kwa mara alikuwa akinifanyia mchezo huu hadi nilipomwambia mama na kisha kwenda kufungua kesi katika kituo cha polisi Mazizini,” alisema mtoto huyo katika ushahidi alioutoa mahakamani.
Katika ushahidi wa mama mzazi wa mtoto huyo, alidai baada ya kuripoti polisi walikwenda hospitali ambako kwa mujibu wa vipimo vya daktari licha ya kutokuwa na michubuko ilionekana aliingiliwa.
Mshtakiwa alidai ana mke kipofu na kwamba, hafanyi vitendo hivyo isipokuwa alikuwa na ugomvi na mama wa mtoto huyo na ndiyo sababu ya kumfungulia kesi.
Hata hivyo, mshtakiwa alishindwa kuifafanulia Mahakama chanzo cha ugomvi hivyo ilitupilia mbali utetezi wake na kumtia hatiani.
Awali, Wakili wa Serikali, Grace Mwanga aliiomba Mahakama kutoa adhabu kali kwa mshtakiwa ili iwe fundisho kwa watu wengine wenye tabia za kulawiti watoto na wanaotumia kimvuli cha nyumba za ibada kufanya ukatili.
Mshtakiwa alitenda kosa hilo, Februari 25 katika eneo la Moshi Baa, Gongo la Mboto.
Subir nimuite huyu faiza foxyMadrasa inatakiwa zivunjwe zote.
Umemtukania nini mtu huyu asie Na hatiaWewe ni mjinga na zuzu kuliko wote hapa jf..
Kaandika ujinga bila kufikiri..Umemtukania nini mtu huyu asie Na hatia