MWALIMU: Uliza kuhusu kituo ulichopangiwa

MWALIMU: Uliza kuhusu kituo ulichopangiwa

hopemama

Member
Joined
Oct 11, 2014
Posts
33
Reaction score
5
Waliopangiwa Geita, wilaya ya Bukombe, au mtu yeyote yule anayeifahamu vizuri hiyo wilaya aniisaidie
attachment.php


Kutokana na walimu wengi wapya kuuliza mazingira na taarifa za msingi za mahali walipopangiwa kama kituo cha kazi, ningependa uzi huu utumike maalumu kwa ajili ya maswali na majibu yote yanayohusu taarifa vituo vipya.


Vile vile mnaweza kutumia ukumbi huu kukutana na walimu wenzako ambao mmepangiwa kituo kimoja, mkoa mmoja au maeneo ya jirani.

Kwa wale ambao wanataka ubadilishana vituo vya kazi, rejea maelezo ya msingi katika uzi HUU HAPA!

Karibuni na kila la heri walimu wapya!
 
kwenu walimu wapya kama umepangwa wilaya hizo mbili usijione mpweke ask anything utasaidiwa
 
Kifupi, ni wilaya magumashi na mpaka sasa haina umeme wilaya nzima. Maisha ya shida but yako chini.
 
Samahani wapendwa anaeifahamu wilaya ya Tandahimba shule ya secondary NANDONDE
 
Tandahimba mkoa wa Gesi Zone(Mtwara/southern of Tanzania)
 
majanga kutype shiiiida
Mwalimu wewe wanafunzi kazi wanayo

NB:Badilisha neno WAKE andika neno WALE
 
Tandahimba ni wilaya inayopatikana Mkoa wa Mtwara, unapotaka kwenda waweza panda mabasi ya Dar-Tandahimba mfano wa basi ni TANDAHIMBA XPRESS (Bovubovu hivi) au upande basi linaloenda Masasi kutokea Dar then shuka Mtama (Kwa Bwana Mkubwa) hapo utapata mabasi ya huko, changamoto ya huko ni barabara mbovu tu ndo maana hata mabasi yanayokwenda huko ni yale ya tripu moja Dar Tripu gereji.
 
Tandahimba ni wilaya inayopatikana Mkoa wa Mtwara, unapotaka kwenda waweza panda mabasi ya Dar-Tandahimba mfano wa basi ni TANDAHIMBA XPRESS (Bovubovu hivi) au upande basi linaloenda Masasi kutokea Dar then shuka Mtama (Kwa Bwana Mkubwa) hapo utapata mabasi ya huko, changamoto ya huko ni barabara mbovu tu ndo maana hata mabasi yanayokwenda huko ni yale ya tripu moja Dar Tripu gereji.

anaweza akaenda hadi mtwara na akifika mtwara apande vicosta vya kwenda newala coz vinapita tandahimba nauli yake sidhani km itazidi elfu tano. Ila barabara ni ya vumbia kuanzia mtwara hadi unafika tandahimba. Wale jamaa ni wakorofi sn usipeleke dharau kule utaiona kazi chungu!
 
Kuna mabasi yanaanzia pale Mbagara 3rangi yanaenda mpaka huko, mojawapo ni Tandaimba express na lingine ni Tembo express kama sikosei.
 
Kuna mabasi yanaanzia pale Mbagara 3rangi yanaenda mpaka huko, mojawapo ni Tandaimba express na lingine ni Tembo express kama sikosei.
Tandahimba Express anaweza akalala njiani,sijui hilo lingine (TEMBO EXPRESS)
 
anaweza akaenda hadi mtwara na akifika mtwara apande vicosta vya kwenda newala coz vinapita tandahimba nauli yake sidhani km itazidi elfu tano. Ila barabara ni ya vumbia kuanzia mtwara hadi unafika tandahimba. Wale jamaa ni wakorofi sn usipeleke dharau kule utaiona kazi chungu!
Halafu,changamoto kubwa ya Tandahimba ni Barabara tu,ni wilaya Kongwe ila duuuuuh...................
 
Guys, plz nahitaji mtu wa kunipa details angalau kdg kuhusu SHULE YA MURANGI na eneo husika umbali wake kutoka town na vp kuhusu nyumba za kupanga na huduma za jamii.. Plz!!
 
Back
Top Bottom