Mwalimu Nyerere's philosophy on leadership!

Genekai

R I P
Feb 9, 2010
12,517
4,987
Natumaini mnaendelea vizuri.

Nina shida ya kutaka kujua falsafa ya hayati baba wa taifa kuhusu uongozi. Katika darasa ninalosoma (MBA) yaani Master of business Administration tumepewa assignments kutoka kwenye Unit ya leadership and personal skills development na bahati mbaya au nzuri mi ndo mtanzania pekee darasani kwangu so nimeambiwa niandae presentation juu ya Mwalimu nyerere's philosophy on leadership.

Nimekuwa nikigoogle ninapata historia ya maisha yake na jinsi alivyokuwa mwadilifu katika uongozi wake, jinsi alivyohubiri na kuuishi ujamaa na jinsi alivyokuwa tayari kung'atuka bila shida lakini hasa msimamo wake kwa uongozi na mafundisho yake sijayapata hasa.

Naomba msaada wenu. Wengine darasani wamepewa other great leaders kama Mandera, Ghandhi na wengine. Natumaini nitasaidiwa ili niweze kuorganize mambo!
 
Natumaini mnaendelea vizuri.

Nina shida ya kutaka kujua falsafa ya hayati baba wa taifa kuhusu uongozi. Katika darasa ninalosoma (MBA) yaani Master of business Administration tumepewa assignments kutoka kwenye Unit ya leadership and personal skills development na bahati mbaya au nzuri mi ndo mtanzania pekee darasani kwangu so nimeambiwa niandae presentation juu ya Mwalimu nyerere's philosophy on leadership.

Nimekuwa nikigoogle ninapata historia ya maisha yake na jinsi alivyokuwa mwadilifu katika uongozi wake, jinsi alivyohubiri na kuuishi ujamaa na jinsi alivyokuwa tayari kung'atuka bila shida lakini hasa msimamo wake kwa uongozi na mafundisho yake sijayapata hasa.

Naomba msaada wenu. Wengine darasani wamepewa other great leaders kama Mandera, Ghandhi na wengine. Natumaini nitasaidiwa ili niweze kuorganize mambo!

Ndiyo maana unasoma. unagoogle ili upate paper? Masters degree is a scholary degree. hizo zote ulizo google ukapata historia yake. Develop something from there. after all unalo jibu tayari. Ikiwa it is real philosophy hiyo kwenye blue inaweza kudevelop hata pages zaidi ya sita.
 
Ndiyo maana unasoma. unagoogle ili upate paper? Masters degree is a scholary degree. hizo zote ulizo google ukapata historia yake. Develop something from there. after all unalo jibu tayari. Ikiwa it is real philosophy hiyo kwenye blue inaweza kudevelop hata pages zaidi ya sita.
Well said, unless ana matatizo ya kujieleza kwenye karatasi! Ameshapata majibu mengi sana juu ya swali lake hadi akashindwa kuelewa kama majibu tayari anayo!
 
nimeambiwa niandae presentation juu ya Mwalimu nyerere's philosophy on leadership.
Mbona simple sana ndugu, kwani wewe huna hata kitabu kimoja cha Hayati Mwalimu? Nway hata huko kugoogle kunaweza sana kukusaidia ukifanya analysis nzuri
 
Natumaini mnaendelea vizuri.

Nina shida ya kutaka kujua falsafa ya hayati baba wa taifa kuhusu uongozi. Katika darasa ninalosoma (MBA) yaani Master of business Administration tumepewa assignments kutoka kwenye Unit ya leadership and personal skills development na bahati mbaya au nzuri mi ndo mtanzania pekee darasani kwangu so nimeambiwa niandae presentation juu ya Mwalimu nyerere's philosophy on leadership.

Nimekuwa nikigoogle ninapata historia ya maisha yake na jinsi alivyokuwa mwadilifu katika uongozi wake, jinsi alivyohubiri na kuuishi ujamaa na jinsi alivyokuwa tayari kung'atuka bila shida lakini hasa msimamo wake kwa uongozi na mafundisho yake sijayapata hasa.

Naomba msaada wenu. Wengine darasani wamepewa other great leaders kama Mandera, Ghandhi na wengine. Natumaini nitasaidiwa ili niweze kuorganize mambo!

Soma kitabu chake cha Uongozi Wetu na Hatima Yetu, kiko hapa kwenye forum. Ukifanya analysis ya kitabu kile vizuri utapa filosofi nzima ya Nyerere tena kiundani zaidi. Au tafuta hotuba zake alizotoa wakati akimkampeinia Mkapa kuwa raisi mwaka 1995, alikuwa akiweka mtazamo wake bayana sana kipindi kile.

Good luck na MBA yako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom