Kama vile umesahau pale alipomchukua Mchungaji Mushendwa na kumpa nafasi ya juu katika TANU kwa ajili tu ya imani yake kubwa katika Ukristo?!
hili ni moja tu kati ya mengi.
Anasema: "..hiyo ndiyo Tanzania tuliyokuwa tukiijenga (isiyo ya kidini) sasa watu wanazungumzia udini"
Ina maana ameshindwa kujenga Tanzania isiyo na udini! (the dude is a failure) sasa hao wanaotuambia kuwa tumeachiwa Tanzania na nyerere isiyo na udini wameyatoa wapi maneno haya!
Kiufupi nyerere hafai kuwa ni rejea katika namna ya kuufuta ubaguzi wa kidini.
Halafu anasema serikali haijali dini ya mtu na ni jambo ambalo haliihusu serikali?...huyu alikuwa akiishi dunia gani?
kama vile umesahau pale alipomchukua mchungaji mushendwa na kumpa nafasi ya juu katika tanu kwa ajili tu ya imani yake kubwa katika ukristo?!
Hili ni moja tu kati ya mengi.
Hili limeripotiwa na Mkristo P.Bergen lakini wacha kwanza tutumie akili zetu:tumia akili zako... Si kucopy mambo ya uchochezi na yasiyo na ushahidi wowote kwenye cd ya kongamano lenu la katiba....
Hamna ushahidi ndo maana ponda wenu yupo lumande..alisemaje kwenye makongamano yenu... Na sasa hivi yupo wapi... Mwizi wa mali za watu
Hili limeripotiwa na Mkristo P.Bergen lakini wacha kwanza tutumie akili zetu:
Je kulikuwa hakuna Mchungaji aneitwa Mushendwa aliyeteuliwa kuongoza moja ya department za TANU?
*BTW nyerere anaonekana katika hii hotuba (na karibu zote) kama vile ni mtu ambaye yuko "high"
Department of Political Education.Kosa lipo wapi. Mbona CUF wote ni wanyenyekevu na hatusemi kitu. Wacha maskhara weye.
Kwanza hakukuwa na huyo Mchungaji, weye unaleta longa longa hapa.
Taja hiyo department.
Mngeachiwa na nyerere wenu lakini tatizo ni kuwa anawagharimu Watanzania mpaka leo hii:nyererephobia
mtuache na nyerere wetu