VoiceOfReason
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,194
- 1,375
by nature binadamu ni watu huru
hakuna kitu kama too much freedom
huko iraq na libya ni lazima wapitie stages zote za freedom
kama wangekuwa na freedom japo kidogo yasingefika haya
mbona south africa walisema haitaweza kuishi kwa amani
na imewezekana so far
Have you finished with Geza Ulole?Nyerere was a super destroyer, he had what, in myths, they call the "midas touch" what he touched turned into stone. Nyerere was scared of everything big, may it be a big tribe or any other major ethnic. Similarly Islam, you can never talk about ethnic descrimination without touching major religious ethnics. Islam being a major religion at the time, nyerere never was ashamed of clipping its wings. By the way, why discuss about unions if you are discussing tribes?
kama alishindwa kufanya hivyo then hakuwa qualified ku-rule the country, kwanini basi, aliomba uhuru maana that means hakuweza ku-meet expectations alizoongelea katika kupigania uhuru! au kwanini asi-resign, he wasnt a hard worker basi kushindwa kujenga hata shule kuwezesha kila Mtanzania kusoma bali kutaifisha zilizopo maana nathani immediately baada ya kupata uhuru alitoa national deveolopment plan kama aliyotoa Kikwete hapo juzi! akisema anatarajia kufanya nini katika miaka kumi!
"Thread inazungumzia Nyerere na ukabila" Halafu kuna jamaa hapo juu asiye na matatizo ya uelewa ameandika hivi: "Nyerere alikuwa na mawazo finyu alizuia tv....!!" Naona kweli kwenye vipaumbele vyake angewawekea tv watu wa mijini wa wakati huo wafaidi maisha!!wewe una matatizo ya kuelewasasa ntajaribu tena kukuelewesha labda itasaidia....hakuna sehemu niliposema nyerere alikuwa hafai kuongozaau alikuwa mtu mbaya sanathread inazungumzia nyerere na ukabila na jinsi alivyopinga ukabilahuku akidhibiti makabila makubwanow je nyerere alikuwa na hotuba nzuri zenye manufaaa ?yes alikuwa nazo..je kutokuwepo kwa tv wakati ule kumesababisha hotuba hizo zipoteee,yes kabisa...je baadhi ya idea zake hazikuwa mbaya na finyu kwa maendeleo ya taifa?jibu ni ndio kwa herufi kubwa kabisa....tunapozungumzia matatizo ya utawala wake na mapungufu yake hatusemi hakuna mazuri aliyofanyatunachosema alikosea na kulikuwa na njia nyingine mbadala....kuhusu tv mbona cuba,zanzibar,china ya maona nchi nyingi tu za kisoshalisti zilikuwa na tv?????televisheni ni chombo chenye faida na hasara kwa mujibu ya mnavyotumia na kukidhibitihasara chache haziwezi futa faida zake?mbona internet ina porno kuliko chombo chochote?je ipigwe marufuku???????/angekuwepo nyerere hata jamiiforums isingekuwepo
Nilisikia kwamba na TV pia hakupenda watu binafsi wamiliki!Hicho kitabu kinaitwaje?!Ningefurahi kweli kukipata!!!
"Thread inazungumzia Nyerere na ukabila" Halafu kuna jamaa hapo juu asiye na matatizo ya uelewa ameandika hivi: "Nyerere alikuwa na mawazo finyu alizuia tv....!!" Naona kweli kwenye vipaumbele vyake angewawekea tv watu wa mijini wa wakati huo wafaidi maisha!!
Umenikumbusha enzi za Gibonsi Mwaikambo aliyekuwa bosi wa benki. Fuatilia habari yake...Alichoamini kama hakikua kizuri alifanya kwa faida ya nani?!?!Nani anaejua kwa uhakika kwamba angeruhusu hayo makabila kuongoza huo undugunization ungetawala?!
Hawa sitaki hata kumsikia Mwl Nyerere, alikuwa ana roho mbaya sana nimeuona utawala wake wa kidikiteta. Alimkamata Mzee wangu eti muhujumi uchumi duka lake likikuwa na dazeni kumi za kanga kutoka mwatex, na dola 500, miaka ya 80. Alikuwa mkabila pia alichaguwa waziri mkuu na, mkuu wa majeshi kutoka kwao mkoa wa MARA
Ukisoma historia ya ICT katika TZ, wanasema miaka ya 70 kulikuwa na uhamasishaji mkubwa kuhusiana na matumizi ya redio hadi mashuleni. Kwahiyo sioni kama ishu ilikuwa kuzuia habari. Pia tukumbuke TV zilikuwa banned pamoja na kompyuta kwa wakati mmoja kwa watumiaji binafsi.
Mie naweza kukuhakikishia Mwl Nyerere haku-meet expectations kama alizotarajia! sababu kuu ni kwamba kabla ya uhuru hakuwa na ideologies kama za Ujamaa na self reliance hata chembe maana nina uhakika hata huo uhuru wenyewe usingepatikana kuna sehemu kubwa ya wananchi waliom-support wangempinga! Ni baada ya kuona mambo yanaenda Mrama kila kitu hakiendi na at climax mutiny attempt nathani 1964 ndipo akaenda uchina akarudi na all the ideas za Ujamaa+plus dress code na pia akavunja na jeshi loote...na wafanyabiashara wakawa publicly anounced a great threat to his government alichofanya tofauti ni kuita African socialism ambayo unfortunately was never experimented anywhere ila we were made to be guinea pigs! ili kuwa a bit neutral to the cold war foes!Ni vizuri tukumbushane kwamba Nyerere hakuomba uhuru kama mtu binafsi bali alifanya hivyo kwa kushirikiana na watanganyika wenzake, na kwa kweli watanganyika wengi sana walitaka wawe huru, kuna vibaraka wachache waliokuwa kwenye utumishi wa serikali ya mkoloni hawakuona haraka ya kupata uhuru.
Hatahivyo ni vizuri kukumbuka kwamba watanganyika wenyewe ndio walimchagua Nyerere awaongoze, hakujichagua mwenyewe.
Kama utasema kwamba haumeet expectations alizoongelea wakati akipigania uhuru nitakwambia hapana, tena hapana kubwa. Kuna mambo mengi sana ya maana na ya kukumbukwa Nyerere kawafanyia watanganyika na watanzania, na hata hivyo alifika mahali akaamua kwa hiari yake kung'atuka, inawezekana ni baada ya kurealise kwamba anahitajika mtu mwingine aje na mawazo yake kwa ajili ya maendeleo ya watanzania, tofauti na viongozi wengine wa kiafrika walioziletea nchi zao uhuru na kugeuza ikulu kuwa mali binafsi ya familia zao, mifano hai ipo huitaji nikutajie.
yaani nyerere mawazo yake yalikuwa finyu mpaka na yeye yamem cost
kutokuwepo kwa tv matokeo yake hotuba zake za tv zipo mbili tu....
na zilichukuliwa akiwa sio rais...na ni itv na channel ten tu ndo wanazo....
zingine nzuri hazipo kwenye tv
kitabu ni historia ya edwin mtei kimezinduliwa hivi karibuni
waulize watu wa chadema watakupa
Mie naweza kukuhakikishia Mwl Nyerere haku-meet expectations kama alizotarajia! sababu kuu ni kwamba kabla ya uhuru hakuwa na ideologies kama za Ujamaa na self reliance hata chembe maana nina uhakika hata huo uhuru wenyewe usingepatikana kuna sehemu kubwa ya wananchi waliom-support wangempinga! Ni baada ya kuona mambo yanaenda Mrama kila kitu hakiendi na at climax pale baada ya mutiny attempt nathani 1964 ndipo akaenda uchina akarudi na all the ideas za Ujamaa+plus dress code na pia akavunja jeshi loote...alichofanya tofauti ni kuita African socialism ambayo unfortunately was never experimente anywhere ila we were made to be guinea pigs! ili kuwa a bit neutral compared to the cold war foes!
hizo redio zilikuwa zinashika masafa yapi? acha uzushi wewe....!ukisikia ugonjwa ndo huo
yaani tanzania ilikuwa juu kwa ict wakati computer na tv zilikuwa banned????????
so radio tanzania ndio ilitufanya tuwe juu sio???????/
kipindi cha mikingamo sio?????????
Hahahha....mi nilivyosikia ni kwamba hakutaka watuwawe na tv ili wasijue yanayoendelea nje ya sehemu walipo...sasa yeye kwasababu anayo anakuja kuwadanganya ana maono haya na yale kuhusu ulimwengu unapoelekea.Siku ya pili watu wakisikia zile habari kwenye redio au sijui kwenye magazeti basi wanazidi kumwamini maana anajua mambo!!!Ntakitafuta!!!
I bet u would kill to just achieve 1% of what Nyerere did!
Sijawahi kuona mwenye akili finyu akipewa "standing ovation" na bunge la SA!
mere excuses, tume-fail kwa ville tumekuwa na watawala wanaoturudisha nyuma kwa maslahi yao binafsi ya kuendelea kuwa madarakani not visionary.
Katika Watanzania, wapo ambao walijitahidi kutumikia taifa hili kama wale waliojiweka kwenye ushirika na kulipa kodi na kuliletea taifa hili fedha za kigeni! Je Nyerere aliwasaidia vp? au aliwafanya nini?
Nathani unajua aliwaona threat na aliwakandamiza na kuwalazimisha through dictated economy kuwa kama wale waliolala badala ya kuwaamsha wale walio usingizini kuwa kama wale walio macho! fikra za kijamaa zili-police hata kile kilichokuwa na manufaa kwa jamii kiujumla na kuua hata that goose that lays egg!
nimegundua humu ndani
watu wa nyerere hawana cha kuzungumza
mbele ya geza ulole.
wacha we itikadi za ujamaa zilikuja baada ya mambo kubuma! ukiangalia vizuri hata harakati zetu za kupigania uhuru zilitu-exclude na any sort ya totally alignment towards the two cold war players! we were so fortunate unlike the rest of African nations at the time so huwezi kusema alikuwa Mjamaa hapo kabla u r practically misrepresenting facts!Nyerere alikuwa anaamini katika itikadi ya ujamaa, na kama ilivyo itikadi nyengine, itakadi ya ujamaa ilikuwa na misingi yake na mojawapo ni serikali ama dola kuwa muhimili mkuu wa kila shughuli kuanzia shughuli za kiuchumi, huduma za jamii hadi uzalishaji.
Sasa utaona hapo kwamba hao watu wa vyama vya ushirika hakuwakandamiza kwa sababu alikuwa na chuki nao, isipokuwa ni katika kutekeleza sera za ujamaa alizokuwa akiziamini, na kwa misingi ya itikadi hiyo serikali ililazimika kuhodhi nyanja zote.
Na kwakuwa itikadi ya ujamaa imeonekana kuwa ngumu kuitekeleza kutokana na nature ya binadamu pamoja mazingira yote kama alivyoeleza hapo kabla VOR basi utaona kwamba alikuwa akifanya hivyo kwa nia jjema na kwa kusimamia itikadi aliyoiaminina wala si kwa ubinafsi.
Mie naweza kukuhakikishia Mwl Nyerere haku-meet expectations kama alizotarajia! sababu kuu ni kwamba kabla ya uhuru hakuwa na ideologies kama za Ujamaa na self reliance hata chembe maana nina uhakika hata huo uhuru wenyewe usingepatikana kuna sehemu kubwa ya wananchi waliom-support wangempinga! Ni baada ya kuona mambo yanaenda Mrama kila kitu hakiendi na at climax mutiny attempt nathani 1964 ndipo akaenda uchina akarudi na all the ideas za Ujamaa+plus dress code na pia akavunja na jeshi loote...na wafanyabiashara wakawa publicly anounced a great threat to his government alichofanya tofauti ni kuita African socialism ambayo unfortunately was never experimented anywhere ila we were made to be guinea pigs! ili kuwa a bit neutral to the cold war foes!
Mwita Maranya said:Kwa kuzingatia kwamba nchi imepata uhuru huku ikiwa na wasomi wachache sana kiasi kwamba ilibidi kuagiza nguvukazi kutoka nje ya nchi ilikuwa ni jambo la busara mno kutaifisha shule za kidini zilizokuwepo ili kujenga taifa la watu wa aina moja. Vinginevyo watu wa aina fulani ndio wangeendelea kupata elimu wakati wenzao wakiangalia. Kwa kuzingatia kwamba pamoja na kutaifisha shule za dini na mashirika mbali walionufaika ni watanzania wote pasipo kujali rangi zao, dini zao, kabila zao na maeneo yao ya kuzaliwa basi jambo hilo haliwezi kutajwa kama kuliwarudisha nyuma kimaendeleo vinginevyo hata mimi huenda ningekuwa sasahivi niko mugumu huko ninachunga ng'ombe na kulima mtama na muhogo, usingenikuta hapa jf, kwa hili mwalimu anastahili pongezi kubwa.