Mwalimu Nyerere hakuwahi kuvaa vazi la CCM 'kijani na njano'?

Ni sawa na kutafuta picha ya JJ Mnyika kavaa Suti na Tai! safi sana JJ, masuti waachie hao hao....
 
Hahaha sikupatii picha na miguo yako ya kijani...T/Shirt kwapa ipo magotini......Eewwww

Kwa kipindi kama cha mwaka mmoja nilitesa sana na miguo. Matokeo ya darasani yalipoanza kuporomoka, mzee aliingilia kati na kunipiga stop.
 
Kwa kipindi kama cha mwaka mmoja nilitesa sana na miguo. Matokeo ya darasani yalipoanza kuporomoka, mzee aliingilia kati na kunipiga stop.

Mzee katuharibia bure, pengine sasa ungekuwa ndo Mwigilu Nchemba wetu :whistle:
 
Mzee katuharibia bure, pengine sasa ungekuwa ndo Mwigilu Nchemba wetu :whistle:

Kuvaavaa magwanda kunakupa ujasiri wa kijinga wakati mwingine. Mkiwa pamoja na magwanda yenu, you think you are the strongest and smartest people in the world (Mob saikologi). Namshukuru mzee kwa kunipiga stop.
 
jamani fikiria japo kidogo tu, utaona kwamba hiyo picha imechakachuliwa, ni wapi hayati mwl, Mwinyi, Ben na Kikwete walikaa kwenye Kochi moja? mtazamo wa hiyo picha imanaanisha ilipigwa siko moja? sasa ebu julizi ni lini?

Fotoshop
 
habari wakuu?
Katika tizama yangu kwenye media na hata picha mbalimbali za baba wa taifa, sijawahi kubahatika kumuona katika nguo yenye rangi ya ccm, maarufu kama ''gunya''. Na pengine wachambuzi wa mambo mnaweza kutusaidia ni kwa nini ndugu mwl.nyerere hakupenda kupigilia vazi hili, ambalo naona wanafiki wamekuwa wakilitumia kama ni alama ya mapenzi ya chama chao.
tulijadii hili

alioteswa kwamba ipo siku magamba watalivaa hivyo ulimwengu utamsuta yeye!
 
Nimejiuliza sana nikashindwa kuelewa, ni kwanini nyerere hakuwah kuvaa nguo ya ccm au hakuwa mwana ccm?

Karibu kwa maoni
 
Nyerere2web.jpg
What more can I say? There you have it!
 
mmenistua! Hapo kuna kitu , mwl alikua einstein hakosei, kama kweli hajawahi kuvaa kuna siri nzito!




sasa haya majambazi yanajisifu nini kuwa mwalimu nyerere alikuwa mwasisi wa ccm?
Haya ni majambazi tu mafisadi, wazinifu mpaka shetani anawaogopa, wezi wa tembo na twiga wetu hawa wanafiki wanaenda vijijini badala ya kupelekea watu maendeleo wanaenda kuwahadaa kwa uongo wao na kanga, tshirt na vitambaa, wanashindwa kutatua matatizo ya wananchi wanaenda kuwapaka mafuta kwa mgongo wa chupa, ccccccmmmmmmmmmmm, aibu tupu hata mungu anawashangaa kabisa
 
Wanajamvini napenda kuuliza,kama kuna mtu ana picha ya Baba wa Taifa Mwl.Nyerere akiwa amevaa shati la KIJANI,yaani la CCM,nimebahatika kumuona mwalimu Nyerere toka miaka ya sabini,japokuwa nilikuwa mdogo,lakini sijawahi kumuona akiwa imevaa nguo za chama cha ccm "KIJANI",basi kama kuna mtu anayo picha anaweza kuiweka hapa jamvini...
 
Kama hajawahi kuvaa au amewahi kuvaa inasaidia kitu gani? wakati hizo uniform zinaanzishwa yeye ndiyo alikuwa mwenyekiti wa chama na kama angekuwa hazipendi sidhani kama zingekuwepo!
 
Nimepekua mitando yote,magazeti na vitabu sijaona JK nyerere na vazi la CCM kijani na jano( yebo yebo) Kwa aliye na picha tunaomba aitupie humu jamvini.na kama hakuna ni kwanini hakupendelea kuvaa?
 
Siku hizi mikutano ya ccm utakuta rangi ya kijani ndo fasheni kwa wana ccm, imefika mahali kama huna sare ya kijani basi waweza onekana mamluki.Je Mi mbona sikuwahi kumuona MWENYE CHAMA CHAKE MWL.Nyerere amevaa sare hiyo?Kama kuna mtu anayo picha ya Mwl. ktk sare ya kijani a post tafadhali! au style hii ya wana ccm wa sasa ndo majibu kwa makombati ya CDM au kujikomba kwa chama
 
mimi kwa heshima na taadhima namuomba Sikonge aniwekee ile picha ya yule 'THAMAKI' ,mwenye sare ya ccm! mwe! mwe! mwe!! KARUME is genius!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom