taffu69
JF-Expert Member
- Feb 26, 2007
- 2,094
- 541
Katika pitapita yangu maeneo ya katikati ya mji nilishtuka nilipokuta uzio uliokuwa umewekwa kwa ajili ya kuwezesha ujenzi wa jengo la Mfuko wa Mwalimu Nyerere ukiwa umeondolewa na eneo hilo likiwa limebaki na vichaka pamoja na lundo la kifusi.
Swali nililogubikwa nalo ni kama mradi huo umesitishwa ama ndiyo mwisho wa Mfuko wa Mwalimu Nyerere!!!
Swali nililogubikwa nalo ni kama mradi huo umesitishwa ama ndiyo mwisho wa Mfuko wa Mwalimu Nyerere!!!