Waungwana kumhusu huyu mja wake mola yapo mengi.
Kwa ufupi haya ni maelezo bora kabisa kumhusu yeye kama binadamu na kama kiongozi.
Huyu hakuwa na ubinafsi. Hakuwa na ubaguzi. Huyu ni tofauti kabisa na wote tuliowahi kuwa nao.
Nani kama huyu?
Tuacheni kuwalazimisha watu kutapika nyongo, tunapomlilia mwuungwana huyu katika siku yake ya kumkumbuka.
Huyo ndiyo Nyerere in a nutshell.
Baba wa taifa hili.
Kwa ufupi haya ni maelezo bora kabisa kumhusu yeye kama binadamu na kama kiongozi.
Huyu hakuwa na ubinafsi. Hakuwa na ubaguzi. Huyu ni tofauti kabisa na wote tuliowahi kuwa nao.
Nani kama huyu?
Tuacheni kuwalazimisha watu kutapika nyongo, tunapomlilia mwuungwana huyu katika siku yake ya kumkumbuka.
Huyo ndiyo Nyerere in a nutshell.
Baba wa taifa hili.