Mwalimu Nyerere alikuwa akijiaminia nini?

KISIWAGA

JF-Expert Member
Oct 22, 2015
8,024
16,490
Huyu baba alikuwa akiwatukana wazungu mara kwa mara na kuwaita majina ya ajabu ajabu

Aliwavimbia wareno kule Angola mpaka wakasepa zao Ulaya

Akawa mwenyekiti wa nchi zilizo mstari wa mbele kupambana na kaburu kule SA

Akamvagaa mbabe Idd Amini na kumfurusha kutoka Uganda

Akastaafu akarudi kijijini akafa kifo cha kawaida kabisa

Alikuwa akilindwa na nini huyu baba,ama aliwahi kuwa komandoo
 
Huyu baba alikuwa akiwatukana wazungu mara kwa mara na kuwaita majina ya ajabu ajabu

Aliwavimbia wareno kule Angola mpaka wakasepa zao Ulaya

Akawa mwenyekiti wa nchi zilizo mstari wa mbele kupambana na kaburu kule SA

Akamvagaa mbabe Idd Amini na kumfurusha kutoka Uganda

Akastaafu akarudi kijijini akafa kifo cha kawaida kabisa

Alikuwa akilindwa na nini huyu baba,ama aliwahi kuwa komandoo
Ukiwa msafi unaishi maisha mazuri sana mkuu.Ila ukiwa na double standard,yale mambo ya hovyo huathiri mazuri yako.Ukiwa na msimamo wenye mantiki unapata heshima
 
Hayo uliyoyasema kuwa aliyafanya ndio maana Tanzania hadi sasa tuko poor sababu ni yeye.Magufuli alifanana sana Nyerere kwa kiburi kisichokuwa na maana ambacho kinatokana na mawazo binafsi.

Mfano,Nyerere aliona kabisa Sera za ujamaa zinafeli na dunia inabadikika kutoka ujamaa kwenda ubepari baada ya USA kushipa power lakini kwa makusudi kabisa yeye akashikilia msimamo wake wa kijinga na mwisho wake kuifanya Tanzania Nchi fukara.

Kingine,Vita ya Uganda ili tu amulinde rafiki take Obote-alitupa hasara sana.ugomvi wa Idd amin na Tz unatokana na Nyerere kumpa hifadhi Obote-hata ungekuwa wewe ndio Idd Amin nadhani unge react tu.
 
Hayo uliyoyasema kuwa aliyafanya ndio maana Tanzania hadi sasa tuko poor sababu ni yeye.Magufuli alifanana sana Nyerere kwa kiburi kisichokuwa na maana ambacho kinatokana na mawazo binafsi.

Mfano,Nyerere aliona kabisa Sera za ujamaa zinafeli na dunia inabadikika kutoka ujamaa kwenda ubepari baada ya USA kushipa power lakini kwa makusudi kabisa yeye akashikilia msimamo wake wa kijinga na mwisho wake kuifanya Tanzania Nchi fukara.

Kingine,Vita ya Uganda ili tu amulinde rafiki take Obote-alitupa hasara sana.ugomvi wa Idd amin na Tz unatokana na Nyerere kumpa hifadhi Obote-hata ungekuwa wewe ndio Idd Amin nadhani unge react tu.
Umepiga humo humo, hakuna cha maana alichofanya hapa Tanzania huwa sikioni
 
Nyerere alikuwa anaishi kwa kutegemea shiriki. Ndiyo maana alikuwa haiachi ile fimbo yake
Fimbo ilishatolewa maelezo. Ilimsaidia kugain vonfidence mbele za watu baada ya kuacha sigara. Usiwe mwepesi wa mambo hayo ndugu.
Nyerere alikuwa mkweli sana ndio maana alikuwa anajiamini kwani hakuwa na anachoficha.
 
Yeye alisema anayeweza kumuua ni mwendawazimu tu, kwa hiyo alikuwa anajichanganya hadi kwenye foleni za kununua sukari uswazi.......pia security system enzi za Nyerere ni kana kwamba kila raia alikuwa security officer linapokuja swala la kulinda maslahi ya nchi, kumlinda rais na kutoa taarifa za rushwa, wizi, ufisadi na matumizi mabaya ya mali ya umma na madaraka. Ndo maana kulikuwa na usemi kwamba unaweza kuteta jambo chumbani na mkeo usiku kesho yake tayari Nyerere ana taarifa hicho mlichokuwa mnateta......
 
Huyu baba alikuwa akiwatukana wazungu mara kwa mara na kuwaita majina ya ajabu ajabu

Aliwavimbia wareno kule Angola mpaka wakasepa zao Ulaya

Akawa mwenyekiti wa nchi zilizo mstari wa mbele kupambana na kaburu kule SA

Akamvagaa mbabe Idd Amini na kumfurusha kutoka Uganda

Akastaafu akarudi kijijini akafa kifo cha kawaida kabisa

Alikuwa akilindwa na nini huyu baba,ama aliwahi kuwa komandoo
alikuwa anauwezo wa kujenga hoja, ukiwa Kiongozi wa kitaifa na huna uwezo wa kujenga hoja ni tatizo kubwa, unakuwa hujiamini na kila mtu akikupa ushauri unafikiri kakudharau.
 
Hayo uliyoyasema kuwa aliyafanya ndio maana Tanzania hadi sasa tuko poor sababu ni yeye.Magufuli alifanana sana Nyerere kwa kiburi kisichokuwa na maana ambacho kinatokana na mawazo binafsi.

Mfano,Nyerere aliona kabisa Sera za ujamaa zinafeli na dunia inabadikika kutoka ujamaa kwenda ubepari baada ya USA kushipa power lakini kwa makusudi kabisa yeye akashikilia msimamo wake wa kijinga na mwisho wake kuifanya Tanzania Nchi fukara.

Kingine,Vita ya Uganda ili tu amulinde rafiki take Obote-alitupa hasara sana.ugomvi wa Idd amin na Tz unatokana na Nyerere kumpa hifadhi Obote-hata ungekuwa wewe ndio Idd Amin nadhani unge react tu.
Nitajie nchi za kiafrika (esp. Sub Saharan countries) ambazo zilipopata uhuru hazikufuata siasa ya ujamaa na kujitegemea na sasa hvi ni tajiri au imepiga hatua kubwa sana ya maendeleo kuliko tanzania. Wakati mwingine tuwe tunashirikisha ubongo wetu kufikiri usifirkiri kwa kutumia makalio yako. Kilichoathiri uchumi wa Tanzania in late70s ni Vita ya Kagera na wala si siasa ya ujamaa.
 
Back
Top Bottom