Huyu baba alikuwa akiwatukana wazungu mara kwa mara na kuwaita majina ya ajabu ajabu
Aliwavimbia wareno kule Angola mpaka wakasepa zao Ulaya
Akawa mwenyekiti wa nchi zilizo mstari wa mbele kupambana na kaburu kule SA
Akamvagaa mbabe Idd Amini na kumfurusha kutoka Uganda
Akastaafu akarudi kijijini akafa kifo cha kawaida kabisa
Alikuwa akilindwa na nini huyu baba,ama aliwahi kuwa komandoo
Aliwavimbia wareno kule Angola mpaka wakasepa zao Ulaya
Akawa mwenyekiti wa nchi zilizo mstari wa mbele kupambana na kaburu kule SA
Akamvagaa mbabe Idd Amini na kumfurusha kutoka Uganda
Akastaafu akarudi kijijini akafa kifo cha kawaida kabisa
Alikuwa akilindwa na nini huyu baba,ama aliwahi kuwa komandoo