Mwalimu Mwakasege: Hizi ni Siku za Mwisho msije kusema hatukuwaambia

kanisa ni watu waliokubali kutubu dhambi zao na kumwamini kumpokea Yesu sio jengo wala dhehebu
Why wakristo tu...na watu wanaamini dini zingine ambazo hawaamini wat u say? Mbona huogopi kuhusu wanachoamini. Au unachoamini ni sahihi coz mama Ako kakuambia and she's always right 😂
 
Sitasahau miaka ile ya 1999 kuelekea mwaka wa 2000 ambao tuliambiwa ndio mwisho wa dunia! Tulisalishwa, tulifaanyishwa kazi za kanisa , tulitoa sadaka , yote ni maandalizi ya mwisho wa dunia na ujio wa Yesu mwaka wa 2000 , mwisho wa siku miaka 20 mbele imepita.
 
Waislam wanasemaje juu ya hili!???
Hakuna kitu kama hicho mkuu.YESU atarudi dunia kuja kufa kwanza/kuonja mauti,halafu ndo mambo mengine yanafuata.

Mambo matano ambayo Mwenyezi Mungu pekee anayajua.

1.Kiyama

2.Kilichomo tumboni mwa mama mjazito(hapa ni zaidi ya Utrasound)

3.Mwenyezi ndo anayeleta Mvua(hapa ni zaidi ya watabiliwa hali ya hewa)

4.Mwenyezi Mungu ndo ajuaye kesho yako

5.Anajua utafia wapi.



Hivyo mwisho wa dunia ni vitu ambavyo vipo nje kabisa ya uwezekano wa akili za mwanadamu.
 
Kwenye unyakuo sio kila jicho litamuona ni wale watakaokuwa tayari kwa unyakuo kwenye hiyo dakika Yesu atakayotokea mawinguni ambapo parapanda italia na si kila mtu ataisikia. Baada ya unyakuo baada ya miaka 7 ya dhiki kuu ndipo atarudi na hapo ndo kila jicho litamuona. Kumbuka kwenye unyakuo kama mtu sio mtakatifu dakik hiyo anayotokea mawinguni ambapo hatokanyaga kwenye ardhi ya hawezi muona Yesu kamwe. So Mwl Mwakasege hajakosea rudi tena kuchunguza maandiko.
Uongo
 
Ni katika siku ya mwisho ya seminar kwenye Viwanja vya Gangilonga mkoani Iringa Somo Kuu likiwa Kesheni maana Hamjui Siku wala Saa

Mwalimu Mwakasege amesema tunaishi katika siku za mwisho za Ulimwengu Huu

Dalili zote zinaonyesha Unyakuo wa Kanisa u karibu, Yesu Kristo yu karibu kurudi na Ule mwisho wa Ulimwengu Huu umefika

Source: Upendo TV

Mlale Unono 😀
amekaribia sana, tujiandae.
 
Hakuna kitu kama hicho mkuu.YESU atarudi dunia kuja kufa kwanza/kuonja mauti,halafu ndo mambo mengine yanafuata.

Mambo matano ambayo Mwenyezi Mungu pekee anayajua.

1.Kiyama

2.Kilichomo tumboni mwa mama mjazito(hapa ni zaidi ya Utrasound)

3.Mwenyezi ndo anayeleta Mvua(hapa ni zaidi ya watabiliwa hali ya hewa)

4.Mwenyezi Mungu ndo ajuaye kesho yako

5.Anajua utafia wapi.



Hivyo mwisho wa dunia ni vitu ambavyo vipo nje kabisa ya uwezekano wa akili za mwanadamu.
Mbona vitu ulivyosema hapa ni either
1. Hamna mtu anajua au anaweza jua lakini umesema tu Mungu anajua ili ujikoshe
2. Mambo kama mjamzito cjui mvua Sayansi inajua labda useme Muhammad na yesu hawakujua coz hawakuwa na hio technology ila dunia ya saa hivi watu wanajua hata mtoto wa la Saba...
3. Kiama ni man made concept kutisha watu kufata dini fulani...Yesu alisema atarudi before wasikilizaji wake kufa na kizazi hicho kupita ila hajarudi Hadi saa hivi ndo ujue hizi ni mbwembwe tu....
 
Hivi kunatofauti kati ya unyakuo na kuja kwa Yesu mara ya pili ambayo anasema kila jicho litamuona?

Hawa walimu wa siku za mwisho ni wema ila ni vizuri tuhakiki neno kwa neno.
Kuna utofauti kati ya Yesu kurudi mara ya pili na unyakuo. Pia matukio ya kinabii bado yanaendelea, kwahiyo hata huo unyakuo bado. Mojawapo ya matukio ni kujengwa upya kwa hekalu la Mfalme Suleimani ambapo umejengwa msikiti wa Al Aqsa.

Utatangulia unyakuo (rapture) na kisha Yesu atarudi mara ya pili, makao yake makuu yatakuwa Yerusalemu. Atatawala kwa miaka elfu 1!
 
Kuna utofauti kati ya Yesu kurudi mara ya pili na unyakuo. Pia matukio ya kinabii bado yanaendelea, kwahiyo hata huo unyakuo bado. Mojawapo ya matukio ni kujengwa upya kwa hekalu la Mfalme Suleimani ambapo umejengwa msikiti wa Al Aqsa.

Utatangulia unyakuo (rapture) na kisha Yesu atarudi mara ya pili, makao yake makuu yatakuwa Yerusalemu. Atatawala kwa miaka elfu 1!
Unamafungu yake?
Rapture ni fundisho ambalo huwa naona ni uongo. Hilo fundisho ndio limepelekea wengi kuwa na ushabiki wa Israel hii ya wazungu. Yesu anakaa hapo ili iweje wakati hao jamaa wamemkataa makusudi wakati wenzao wakina paulo walimuelewa
 
Kanisa jengo, dhehebu au watu? Na ni jengo au kanisa lipi hilo au watu wapi hao?
Kwa usahihi kanisa si jengo la ibada au taasisi za kidini tunazoziita madhehebu.
Kanisa ni kusanyiko la watu wote waliomwamini au kumpokea Yesu mioyoni mwao na kuzaliwa mara ya pili. Huitwa wana wa Mungu (Yohana 1:12).

Aidha, kanisa hulinganishwa na viungo vya mwili (wamwaminio Yesu), na kichwa ni Yesu mwenyewe. Kwahiyo kanisa si jengo wala madhehebu. Ni watu!
 
Back
Top Bottom