Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 34,434
- 59,288
Huyu angekuwa nchi zinazojielewa, yaani wangemchunguza mpaka malezi ya watoto wake.
Kama kuna shida huko angenyang’anywa na wanae
Kama kuna shida huko angenyang’anywa na wanae
Mpeleke wako dada nae akatiwe chainYaani mwalimu anasaidia mmeshindwa kutunza na kulea mitoto yenu isije ikapotea kwenye makundi ya wavuta ngada na majambazi sahizi anaonekana wa ajabu
Huo mnyororo mtoto akifungwa siku Moja tu ashasaidiwa maisha yake yote
Malezi yangu top notch ; nyinyi ndio msaidiwe kabla watoto wenu hawajaanza kukaba watoto wetu 2035Mpeleke wako dada nae akatiwe chain
Ujinga wa ngozi ya tak,o huu halafu unajiona mjanja kumbe fal,a.Kaka zangu wawili walikuwa watoro wa shule wasipo enda shule walikuwa wanawekwa kwenye gunia lenye upupu siku nzima,leo hii wanashukuru kwa kufanyiwa hivyo.
Unaonekana unapenda sana kufanyiwa vitendo vya kikatili ikiwemo kifir,o ndiyo maana unaona mtoto kufungwa chain kama mbwa ni sahihi.Yaani mwalimu anasaidia mmeshindwa kutunza na kulea mitoto yenu isije ikapotea kwenye makundi ya wavuta ngada na majambazi sahizi anaonekana wa ajabu
Huo mnyororo mtoto akifungwa siku Moja tu ashasaidiwa maisha yake yote
Speaking from personal experience, Mimi binafsi isingekuwa Mzee wangu kunifunga kamba kwenye mti na kunicharaza mijeledi kama mbwa ningekua aidha nimekufa sahizi kwa ukibaka au hata teja barabaraniUnaonekana unapenda sana kufanyiwa vitendo vya kikatili ikiwemo kifir,o ndiyo maana unaona mtoto kufungwa chain kama mbwa ni sahihi.
Shwain mkubwa wewe usiye na haya wala utu ulipaswa uishi porini na wanyama wenzako.