Mwalimu jiajili kwa kutumia TEHAMA...

Investaa

JF-Expert Member
Jul 3, 2015
794
656
Habari walimu!!

Nimetafakari kwa kima kuhusu swala la ajira kwa upande wa sekta ya elimu, nimeona ni changamoto sana serikali kutimiza swala la ajira kwa wahitimu wa sekta ya elimu kutokana na wingi wa walimu waliopo na wanaoendelea kumaliza kila mwaka. Kutokana na utafiti niliyofanya kuhusu TEHAMA kama mtaalamu wa TEHAMA nimeona kuna fursa ya walimu kujiajiri bila kutegemea serikali na kupunguza changamoto ya maisha kupitia TEHAMA.

Idadi ya kubwa ya watu wanatumia simu janja inaongezeka kwa kasi kila siku na matumizi ya mtandao kwa sasa yameshika kasi sana, kutokana na kasi ya mavumbuzi ya mifumo ya TEHAMA.

JINSI GANI MWALIMU ANAWEZA KUJIAJILI KUPITIA TEHAMA?

Kikubwa zaidi kinachohitajika mwalimu kujiajiri ni kuwa na simu janja/computer/laptop itakayomwezesha mwalimu kuandika NOTES na kupakia kwenye mfumo wa TEHAMA ambao atauza kazi zake uko na kulipwa kila mwezi kutokana na mauzo ya notes za masomo mbalimbali.


Kutokana na changamoto ya AJIRA nimesukumwa kutengeneza mfumo huu wa TEHAMA ambao utasaidia walimu wa sekondari kujiajiri kwa kuuza NOTES online...

Mfumo huu wa TEHAMA utajikita kwa walimu wa sekondari(A-LEVEL) na chuo kikuu, taalumu ambazo husika ni kama zifuatayo:

KWA SEKONDARI:

1. PCM
2. PCB
3. ECA
4. PMC

KWA CHUO KIKUU

1. PHARMACY
2. MEDICINE
3. ACCOUNTING
4. CPA MATERIAL & PAST PAPERS



BAADA YA NOTES, MWALIMU LAZIMA ANGAAE MASWALI 20 AU ZAIDI KUHUSU TOPIC HUSIKA. LENGO NI KURAHISISHA UPATIKANAJI WA NOTES ZA MASOMO HUSIKA NA KUONGEZA UFAULU WA MITIHANI YA MWISHO NA UWELEWA.


MWALIMU UNAANDIKA KWA TOPIC, ILI IWE RAHISI MWANAFUNZI KUSOMA TOPIC HUSIKA AMBAYO MWANAFUNZI ANATAKA KUSOMA, MFANO MWANAFUNZI ANATAKA KUSOMA ORAGNIC CHEMISTRY, AKIINGIA KWENYE MFUMO AKUTE KITABU CHA ORGANIC CHEMISTRY AMBACHO KIMEKUWA SUMMARY KWA NOTES NA MASWALI 20 AU ZAIDI.


NINA FORMAT YAKE KWAIYO NITATOA KWA WALIMU AMBAO WANATAKA KUJIAJIRI KUPITIA TEHAMA.


...........................................................................................................................................................................................................................................................................................................





NINGEOMBA NIKUTANE NA WALIMU WANAISHI DAR ILI NIWEKE KUWAELEZEA VIZURI NAMNA MFUMO UNAVYOFANYA KAZI PAMOJA YA NAMNA AMBAVYO WATAPOKEA MALIPO KILA MWEZI KULINGANA NA MAUZO YA KAZI ZAKE.






**************************************


HILI NDIO WAZO LANGU AMBALO NIMEPENDA KUSHARE NA NYINGI WALIMU AMBAO HAMNA KAZI NA WENYE KAZI AMBAO MTAKUWA MNAFANYA KAMA PART-TIME JOB.



KARIBU KWA MCHANGO, NINI KIFANYIKE, NINI KIONGEZWE N.K
 
notisi tunasamaraizi kwenye limu tu. then tunatema madini mbashara.


eleza hapa kitehama au record video uipandishe. omba ushirikiano kwa maxence na watu wake
 
Habari walimu!!

Nimetafakari kwa kima kuhusu swala la ajira kwa upande wa sekta ya elimu, nimeona ni changamoto sana serikali kutimiza swala la ajira kwa wahitimu wa sekta ya elimu kutokana na wingi wa walimu waliopo na wanaoendelea kumaliza kila mwaka. Kutokana na utafiti niliyofanya kuhusu TEHAMA kama mtaalamu wa TEHAMA nimeona kuna fursa ya walimu kujiajiri bila kutegemea serikali na kupunguza changamoto ya maisha kupitia TEHAMA.

Idadi ya kubwa ya watu wanatumia simu janja inaongezeka kwa kasi kila siku na matumizi ya mtandao kwa sasa yameshika kasi sana, kutokana na kasi ya mavumbuzi ya mifumo ya TEHAMA.

JINSI GANI MWALIMU ANAWEZA KUJIAJILI KUPITIA TEHAMA?

Kikubwa zaidi kinachohitajika mwalimu kujiajiri ni kuwa na simu janja/computer/laptop itakayomwezesha mwalimu kuandika NOTES na kupakia kwenye mfumo wa TEHAMA ambao atauza kazi zake uko na kulipwa kila mwezi kutokana na mauzo ya notes za masomo mbalimbali.


Kutokana na changamoto ya AJIRA nimesukumwa kutengeneza mfumo huu wa TEHAMA ambao utasaidia walimu wa sekondari kujiajiri kwa kuuza NOTES online...

Mfumo huu wa TEHAMA utajikita kwa walimu wa sekondari(A-LEVEL) na chuo kikuu, taalumu ambazo husika ni kama zifuatayo:

KWA SEKONDARI:

1. PCM
2. PCB
3. ECA
4. PMC

KWA CHUO KIKUU

1. PHARMACY
2. MEDICINE
3. ACCOUNTING
4. CPA MATERIAL & PAST PAPERS



BAADA YA NOTES, MWALIMU LAZIMA ANGAAE MASWALI 20 AU ZAIDI KUHUSU TOPIC HUSIKA. LENGO NI KURAHISISHA UPATIKANAJI WA NOTES ZA MASOMO HUSIKA NA KUONGEZA UFAULU WA MITIHANI YA MWISHO NA UWELEWA.


MWALIMU UNAANDIKA KWA TOPIC, ILI IWE RAHISI MWANAFUNZI KUSOMA TOPIC HUSIKA AMBAYO MWANAFUNZI ANATAKA KUSOMA, MFANO MWANAFUNZI ANATAKA KUSOMA ORAGNIC CHEMISTRY, AKIINGIA KWENYE MFUMO AKUTE KITABU CHA ORGANIC CHEMISTRY AMBACHO KIMEKUWA SUMMARY KWA NOTES NA MASWALI 20 AU ZAIDI.


NINA FORMAT YAKE KWAIYO NITATOA KWA WALIMU AMBAO WANATAKA KUJIAJIRI KUPITIA TEHAMA.


...........................................................................................................................................................................................................................................................................................................





NINGEOMBA NIKUTANE NA WALIMU WANAISHI DAR ILI NIWEKE KUWAELEZEA VIZURI NAMNA MFUMO UNAVYOFANYA KAZI PAMOJA YA NAMNA AMBAVYO WATAPOKEA MALIPO KILA MWEZI KULINGANA NA MAUZO YA KAZI ZAKE.






**************************************


HILI NDIO WAZO LANGU AMBALO NIMEPENDA KUSHARE NA NYINGI WALIMU AMBAO HAMNA KAZI NA WENYE KAZI AMBAO MTAKUWA MNAFANYA KAMA PART-TIME JOB.



KARIBU KWA MCHANGO, NINI KIFANYIKE, NINI KIONGEZWE N.K
Kwa kuongeza unaweza kutunga maswali na majibu mtu akijibu maswali 20 kwenye program za maswali anapata kufanya review ya kazi yake
 
Habari walimu!!

Nimetafakari kwa kima kuhusu swala la ajira kwa upande wa sekta ya elimu, nimeona ni changamoto sana serikali kutimiza swala la ajira kwa wahitimu wa sekta ya elimu kutokana na wingi wa walimu waliopo na wanaoendelea kumaliza kila mwaka. Kutokana na utafiti niliyofanya kuhusu TEHAMA kama mtaalamu wa TEHAMA nimeona kuna fursa ya walimu kujiajiri bila kutegemea serikali na kupunguza changamoto ya maisha kupitia TEHAMA.

Idadi ya kubwa ya watu wanatumia simu janja inaongezeka kwa kasi kila siku na matumizi ya mtandao kwa sasa yameshika kasi sana, kutokana na kasi ya mavumbuzi ya mifumo ya TEHAMA.

JINSI GANI MWALIMU ANAWEZA KUJIAJILI KUPITIA TEHAMA?

Kikubwa zaidi kinachohitajika mwalimu kujiajiri ni kuwa na simu janja/computer/laptop itakayomwezesha mwalimu kuandika NOTES na kupakia kwenye mfumo wa TEHAMA ambao atauza kazi zake uko na kulipwa kila mwezi kutokana na mauzo ya notes za masomo mbalimbali.


Kutokana na changamoto ya AJIRA nimesukumwa kutengeneza mfumo huu wa TEHAMA ambao utasaidia walimu wa sekondari kujiajiri kwa kuuza NOTES online...

Mfumo huu wa TEHAMA utajikita kwa walimu wa sekondari(A-LEVEL) na chuo kikuu, taalumu ambazo husika ni kama zifuatayo:

KWA SEKONDARI:

1. PCM
2. PCB
3. ECA
4. PMC

KWA CHUO KIKUU

1. PHARMACY
2. MEDICINE
3. ACCOUNTING
4. CPA MATERIAL & PAST PAPERS



BAADA YA NOTES, MWALIMU LAZIMA ANGAAE MASWALI 20 AU ZAIDI KUHUSU TOPIC HUSIKA. LENGO NI KURAHISISHA UPATIKANAJI WA NOTES ZA MASOMO HUSIKA NA KUONGEZA UFAULU WA MITIHANI YA MWISHO NA UWELEWA.


MWALIMU UNAANDIKA KWA TOPIC, ILI IWE RAHISI MWANAFUNZI KUSOMA TOPIC HUSIKA AMBAYO MWANAFUNZI ANATAKA KUSOMA, MFANO MWANAFUNZI ANATAKA KUSOMA ORAGNIC CHEMISTRY, AKIINGIA KWENYE MFUMO AKUTE KITABU CHA ORGANIC CHEMISTRY AMBACHO KIMEKUWA SUMMARY KWA NOTES NA MASWALI 20 AU ZAIDI.


NINA FORMAT YAKE KWAIYO NITATOA KWA WALIMU AMBAO WANATAKA KUJIAJIRI KUPITIA TEHAMA.


...........................................................................................................................................................................................................................................................................................................





NINGEOMBA NIKUTANE NA WALIMU WANAISHI DAR ILI NIWEKE KUWAELEZEA VIZURI NAMNA MFUMO UNAVYOFANYA KAZI PAMOJA YA NAMNA AMBAVYO WATAPOKEA MALIPO KILA MWEZI KULINGANA NA MAUZO YA KAZI ZAKE.






**************************************


HILI NDIO WAZO LANGU AMBALO NIMEPENDA KUSHARE NA NYINGI WALIMU AMBAO HAMNA KAZI NA WENYE KAZI AMBAO MTAKUWA MNAFANYA KAMA PART-TIME JOB.



KARIBU KWA MCHANGO, NINI KIFANYIKE, NINI KIONGEZWE N.K

Mbali na hilo pia tehama inasaidia sana kufanya network marketing ,hizi network marketing zimesaidia sana vijana kujiajiri na kuboresha maisha yao kama upo tayari njoo pm tuweke mikakati ili uweze kufanya network marketing na zinalipa sana
 
Habari walimu!!

Nimetafakari kwa kima kuhusu swala la ajira kwa upande wa sekta ya elimu, nimeona ni changamoto sana serikali kutimiza swala la ajira kwa wahitimu wa sekta ya elimu kutokana na wingi wa walimu waliopo na wanaoendelea kumaliza kila mwaka. Kutokana na utafiti niliyofanya kuhusu TEHAMA kama mtaalamu wa TEHAMA nimeona kuna fursa ya walimu kujiajiri bila kutegemea serikali na kupunguza changamoto ya maisha kupitia TEHAMA.

Idadi ya kubwa ya watu wanatumia simu janja inaongezeka kwa kasi kila siku na matumizi ya mtandao kwa sasa yameshika kasi sana, kutokana na kasi ya mavumbuzi ya mifumo ya TEHAMA.

JINSI GANI MWALIMU ANAWEZA KUJIAJILI KUPITIA TEHAMA?

Kikubwa zaidi kinachohitajika mwalimu kujiajiri ni kuwa na simu janja/computer/laptop itakayomwezesha mwalimu kuandika NOTES na kupakia kwenye mfumo wa TEHAMA ambao atauza kazi zake uko na kulipwa kila mwezi kutokana na mauzo ya notes za masomo mbalimbali.


Kutokana na changamoto ya AJIRA nimesukumwa kutengeneza mfumo huu wa TEHAMA ambao utasaidia walimu wa sekondari kujiajiri kwa kuuza NOTES online...

Mfumo huu wa TEHAMA utajikita kwa walimu wa sekondari(A-LEVEL) na chuo kikuu, taalumu ambazo husika ni kama zifuatayo:

KWA SEKONDARI:

1. PCM
2. PCB
3. ECA
4. PMC

KWA CHUO KIKUU

1. PHARMACY
2. MEDICINE
3. ACCOUNTING
4. CPA MATERIAL & PAST PAPERS



BAADA YA NOTES, MWALIMU LAZIMA ANGAAE MASWALI 20 AU ZAIDI KUHUSU TOPIC HUSIKA. LENGO NI KURAHISISHA UPATIKANAJI WA NOTES ZA MASOMO HUSIKA NA KUONGEZA UFAULU WA MITIHANI YA MWISHO NA UWELEWA.


MWALIMU UNAANDIKA KWA TOPIC, ILI IWE RAHISI MWANAFUNZI KUSOMA TOPIC HUSIKA AMBAYO MWANAFUNZI ANATAKA KUSOMA, MFANO MWANAFUNZI ANATAKA KUSOMA ORAGNIC CHEMISTRY, AKIINGIA KWENYE MFUMO AKUTE KITABU CHA ORGANIC CHEMISTRY AMBACHO KIMEKUWA SUMMARY KWA NOTES NA MASWALI 20 AU ZAIDI.


NINA FORMAT YAKE KWAIYO NITATOA KWA WALIMU AMBAO WANATAKA KUJIAJIRI KUPITIA TEHAMA.


...........................................................................................................................................................................................................................................................................................................





NINGEOMBA NIKUTANE NA WALIMU WANAISHI DAR ILI NIWEKE KUWAELEZEA VIZURI NAMNA MFUMO UNAVYOFANYA KAZI PAMOJA YA NAMNA AMBAVYO WATAPOKEA MALIPO KILA MWEZI KULINGANA NA MAUZO YA KAZI ZAKE.






**************************************


HILI NDIO WAZO LANGU AMBALO NIMEPENDA KUSHARE NA NYINGI WALIMU AMBAO HAMNA KAZI NA WENYE KAZI AMBAO MTAKUWA MNAFANYA KAMA PART-TIME JOB.



KARIBU KWA MCHANGO, NINI KIFANYIKE, NINI KIONGEZWE N.K

Pia kwa aliyeko dar njoo pm tuelekezane jinsi ya kutengeneza fursa kupitia e-commerce na atakayechukua hatua ndan ya miez minne kuna watu watakuja na ushuhuda hapa,hata kama ni watu 200 au zaid njoo pm tuelekezane,Tunapata Elimu ili ituwezeshe kupata fursa zilizopo ajira za serikali ni ngumu sana
 
Habari walimu!!

Nimetafakari kwa kima kuhusu swala la ajira kwa upande wa sekta ya elimu, nimeona ni changamoto sana serikali kutimiza swala la ajira kwa wahitimu wa sekta ya elimu kutokana na wingi wa walimu waliopo na wanaoendelea kumaliza kila mwaka. Kutokana na utafiti niliyofanya kuhusu TEHAMA kama mtaalamu wa TEHAMA nimeona kuna fursa ya walimu kujiajiri bila kutegemea serikali na kupunguza changamoto ya maisha kupitia TEHAMA.

Idadi ya kubwa ya watu wanatumia simu janja inaongezeka kwa kasi kila siku na matumizi ya mtandao kwa sasa yameshika kasi sana, kutokana na kasi ya mavumbuzi ya mifumo ya TEHAMA.

JINSI GANI MWALIMU ANAWEZA KUJIAJILI KUPITIA TEHAMA?

Kikubwa zaidi kinachohitajika mwalimu kujiajiri ni kuwa na simu janja/computer/laptop itakayomwezesha mwalimu kuandika NOTES na kupakia kwenye mfumo wa TEHAMA ambao atauza kazi zake uko na kulipwa kila mwezi kutokana na mauzo ya notes za masomo mbalimbali.


Kutokana na changamoto ya AJIRA nimesukumwa kutengeneza mfumo huu wa TEHAMA ambao utasaidia walimu wa sekondari kujiajiri kwa kuuza NOTES online...

Mfumo huu wa TEHAMA utajikita kwa walimu wa sekondari(A-LEVEL) na chuo kikuu, taalumu ambazo husika ni kama zifuatayo:

KWA SEKONDARI:

1. PCM
2. PCB
3. ECA
4. PMC

KWA CHUO KIKUU

1. PHARMACY
2. MEDICINE
3. ACCOUNTING
4. CPA MATERIAL & PAST PAPERS



BAADA YA NOTES, MWALIMU LAZIMA ANGAAE MASWALI 20 AU ZAIDI KUHUSU TOPIC HUSIKA. LENGO NI KURAHISISHA UPATIKANAJI WA NOTES ZA MASOMO HUSIKA NA KUONGEZA UFAULU WA MITIHANI YA MWISHO NA UWELEWA.


MWALIMU UNAANDIKA KWA TOPIC, ILI IWE RAHISI MWANAFUNZI KUSOMA TOPIC HUSIKA AMBAYO MWANAFUNZI ANATAKA KUSOMA, MFANO MWANAFUNZI ANATAKA KUSOMA ORAGNIC CHEMISTRY, AKIINGIA KWENYE MFUMO AKUTE KITABU CHA ORGANIC CHEMISTRY AMBACHO KIMEKUWA SUMMARY KWA NOTES NA MASWALI 20 AU ZAIDI.


NINA FORMAT YAKE KWAIYO NITATOA KWA WALIMU AMBAO WANATAKA KUJIAJIRI KUPITIA TEHAMA.


...........................................................................................................................................................................................................................................................................................................





NINGEOMBA NIKUTANE NA WALIMU WANAISHI DAR ILI NIWEKE KUWAELEZEA VIZURI NAMNA MFUMO UNAVYOFANYA KAZI PAMOJA YA NAMNA AMBAVYO WATAPOKEA MALIPO KILA MWEZI KULINGANA NA MAUZO YA KAZI ZAKE.






**************************************


HILI NDIO WAZO LANGU AMBALO NIMEPENDA KUSHARE NA NYINGI WALIMU AMBAO HAMNA KAZI NA WENYE KAZI AMBAO MTAKUWA MNAFANYA KAMA PART-TIME JOB.



KARIBU KWA MCHANGO, NINI KIFANYIKE, NINI KIONGEZWE N.K
Habari kaka . Nimeshawishika na bandiko lako na online marketing imekuwa ni hitaji langu la kitambo sana ckuwai pata pa kuanzia wengi walileta nyuzi na kuelekeza kujitafutia YouTube but I'm very interesting na hii kitu tafazari naomba watsap yako tuyajenge namba angu ni 0764161048
 
Back
Top Bottom