Mwalimu aliyekuwa anaishi ofisini apata makazi

Angalia halmashauri au kituo cha kazi uli ho watu wanafanya nn wasio waajiriwa simanishi ku bet hapana. Mfano kama upo makambako watu wanapanda miti na viazi. Tafuta watu wa kukuongozq chukua shamba panda viazi anzakuvitunza kwa kuiba muda wa mwajiri baada ya muda utavuna. Nunua chakula cha kutosha. Mshahara gawa nusu shamba nusu matumizi. Utakuwa unakua taratibu. Panda mazao ya kudumu huo ndiyo mtaji wako wa kustaafia. Kila ukichukua mkopo weka kwenye hilo zao la kudumu

Baada ya muda jenga vijumba vile vya matofali ya kuchoma kama upo wilayani hapo utaanza kupangisha watumishi wageni.
Kaa mbali na starehe na makundi sogozi mwisho wa siku kila mtu ataendq kwao alipotokea
Note usiache kazi inayokupa ugali utajuta. Ushauri siyo wote mzuri
Sikia mkuu,tatuzo waajiri hawa wakishakuona unaharakati za kimaendeleo wanakuhamishia sehemu tofauti naulipo nahata hawakulipi(hii imewahi kunitokea mm binafsi),nikakomaa wakanilipa kiasi kidogo tu nakunitishia kunifukuza kazi.wakanihamishia eneo tofauti na nilipokua ninafanya uwekezaji,kiufupi kuna changamoto ila asante kwa ushauri mkuu.
 
Sikia mkuu,tatuzo waajiri hawa wakishakuona unaharakati za kimaendeleo wanakuhamishia sehemu tofauti naulipo nahata hawakulipi(hii imewahi kunitokea mm binafsi),nikakomaa wakanilipa kiasi kidogo tu nakunitishia kunifukuza kazi.wakanihamishia eneo tofauti na nilipokua ninafanya uwekezaji,kiufupi kuna changamoto ila asante kwa ushauri mkuu.
Kamwe usimwambie mtu jambo bila sababu. Fanya mambo yako hata kwa kushare na watu waaminifu. Usimwamini rafiki hasa Co worker
Hata akikuhamisha kama ni nyumba itabaki
 
Imeniuma sana hii comment yako,nna mwaka watano TAMISEMI ila unachokisema nidhahiri shahiri sana,naona nazidi kujichukia with time,nawaza nakuwazua hivi maisha yangu ndio yatakua hivihivi hadi nastaafu au niamshe zangu tu.nikweli utumishi wa umma kama sio wizi na magendo ngumu sana kuishi maisha ya ndoto zako.
Ndoutoke, ualimu ni laana
 
Angalia halmashauri au kituo cha kazi uli ho watu wanafanya nn wasio waajiriwa simanishi ku bet hapana. Mfano kama upo makambako watu wanapanda miti na viazi. Tafuta watu wa kukuongozq chukua shamba panda viazi anzakuvitunza kwa kuiba muda wa mwajiri baada ya muda utavuna. Nunua chakula cha kutosha. Mshahara gawa nusu shamba nusu matumizi. Utakuwa unakua taratibu. Panda mazao ya kudumu huo ndiyo mtaji wako wa kustaafia. Kila ukichukua mkopo weka kwenye hilo zao la kudumu

Baada ya muda jenga vijumba vile vya matofali ya kuchoma kama upo wilayani hapo utaanza kupangisha watumishi wageni.
Kaa mbali na starehe na makundi sogozi mwisho wa siku kila mtu ataendq kwao alipotokea
Note usiache kazi inayokupa ugali utajuta. Ushauri siyo wote mzuri
Watu wapo kwenye Dunia ya mtandao na kazi za akili nyingi zenye network Duniani wewe unahangaika na jembe la mkoroni , walimu ndomana mnazalaulika badala umwambie aache hiyo kazi aje dar Es salaam afungue kampuni la usafirishaji bidhaa kutoka nje ya nchi, kuuza nguo kutoka China, kuuza simu na vifaa vya electronic wewe unamwambia akomae huko mashambani
 
Sikia mkuu,tatuzo waajiri hawa wakishakuona unaharakati za kimaendeleo wanakuhamishia sehemu tofauti naulipo nahata hawakulipi(hii imewahi kunitokea mm binafsi),nikakomaa wakanilipa kiasi kidogo tu nakunitishia kunifukuza kazi.wakanihamishia eneo tofauti na nilipokua ninafanya uwekezaji,kiufupi kuna changamoto ila asante kwa ushauri mkuu.
Nyie vichwa vyenu mafuvu matupu, unakubalije kisenge hivyo kuhama bila malipo? Akisema nitakufukuza mwambie afanye hivyo kama ana huo ubavu takataka huyo. Mwenye mamlaka ni TSC sio mkurugenzi, mkurugenzi ni nyani tu ukiona wanakubana mda wa kutafuta maendeleo waachie kazi lao Paka hao
 
Ila unakuaga na points basi tu watu hawakuelewi kutokana na uwasilishaji wako. Ukiendelea hivi Kuna siku utaleta mabadiliko makubwa Kwa hii sekta. Huu uwasilishaji ni UNIQUE maana ukiongea soft language hawatakuelewa
Hawa nyumbu tutaanza kuongea Kwa kuwapukuza makofi, migumu kuelewa inadhalilika kila siku ona Sasa ticha mpaka kajengewa banda na wananchi means uwezo wa kujenga hana, banda lenyewe ukiangalia hata million mbili haifiki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom