UmtwaAlumbwagwe
Member
- May 24, 2012
- 54
- 10
Nimetafakari sana na kujikuta nakosa majibu ya moja kwa moja, pale nilipoona katika taarifa ya habari ya ITV saa 2 usiku huu; mwalimu mmoja ameibuka mshindi katika shindano la wanywaji wa bia ya SERENGETI. Waandaaji wamempongeza na kuwataka watu kuendelea kunywa zaidi...
Nilichojiuliza mimi ni: 1.Hivi kwa mwalimu kuibuka mshindi wa unywaji wa pombe ni UMAARUFU?
2.Je! tukihusianisha na kiwango cha ufaulu wa watoto wetu tunagundua nini?
Nilichojiuliza mimi ni: 1.Hivi kwa mwalimu kuibuka mshindi wa unywaji wa pombe ni UMAARUFU?
2.Je! tukihusianisha na kiwango cha ufaulu wa watoto wetu tunagundua nini?