Mwalimu agundulka kusambaza ukimwi kwa makusudi

MPAMBANAJI.COM

JF-Expert Member
Mar 2, 2011
712
331
Mwl mmja wa jns ya KE aliyeajriwa hivi karibuni amezua kizaza huko Kilimanjaro baada ya kuonekana kubadilisha wanaume wengi bla kujal huku akiacha gumzo kwa wengi kwa wakaz wengi kwa tabia yake ya kuwa na wanaume tofauti kila wkend huku akiwakarbisha Nyumbani kwake
Mambo yamegundulika pale Mama mwenye nyumba kumtonya moja ya kidume aliyekwenda kwa mwl huyo juu ya tabia yaa mwl. huyo
Bila kuonesha wasiwasi wowote kidume aliingia ndan na kufuatilia mwenendo na maeneo yote ya ndan ili kutafuta dawa zilizopo ndani.
Alifanikiwa kuona dawa mbalimbali ambazo alizipeleka kwa dokta hosp. ya jirani juu ya Marangu TCC na ndipo iligundulika ya kuwa n madawa ya kufubaza makali ya VVU/UKIMWI.Hata hivyo alishindikana kujulikana matumizi ya dawa mojawapo iitwayo ASTRIM FOR LIFE CARE. Hata hivyo wataalam watafahamu n kwa ajili ya nn.
Ilinichukua muda mfupi kufatila lililoendelea na je kidume huyo pamoja na wale walomng'ang'ania bila ya kujua histora ya kioo hiki cha jamii,hii ni kutokana na safari nlokua nayo
 
Sasa umeambia ili sisi tufanyaje? Acha utoto kuwa wewe! Unafikiri kila mtu ni mawazo mgando kama wewe? Najua niutoto unakusumbua paka shume we!Eti ndo umeona bonge la story.Kama uwezo wako wa kufikiria umeishia hapo basi wewe ni bora ungepewa utiwagongo kuliko UBONGO. Tuletee mambo ya kufundisha ambayo tuta jifunza coz hao wajinga walienda wenyewe walikuwa na uwezo wa kukataa.Hiz story za vilabuni hazitusaidii lolote.
 
Sasa umeambia ili sisi tufanyaje? Acha utoto kuwa wewe! Unafikiri kila mtu ni mawazo mgando kama wewe? Najua niutoto unakusumbua paka shume we!Eti ndo umeona bonge la story.Kama uwezo wako wa kufikiria umeishia hapo basi wewe ni bora ungepewa utiwagongo kuliko UBONGO. Tuletee mambo ya kufundisha ambayo tuta jifunza coz hao wajinga walienda wenyewe walikuwa na uwezo wa kukataa.Hiz story za vilabuni hazitusaidii lolote.
Duh!!!! wewe!!!
 
Sasa umeambia ili sisi tufanyaje? Acha utoto kuwa wewe! Unafikiri kila mtu ni mawazo mgando kama wewe? Najua niutoto unakusumbua paka shume we!Eti ndo umeona bonge la story.Kama uwezo wako wa kufikiria umeishia hapo basi wewe ni bora ungepewa utiwagongo kuliko UBONGO. Tuletee mambo ya kufundisha ambayo tuta jifunza coz hao wajinga walienda wenyewe walikuwa na uwezo wa kukataa.Hiz story za vilabuni hazitusaidii lolote.
Waathirika utawajua tu
 
Sasa umeambia ili sisi tufanyaje? Acha utoto kuwa wewe! Unafikiri kila mtu ni mawazo mgando kama wewe? Najua niutoto unakusumbua paka shume we!Eti ndo umeona bonge la story.Kama uwezo wako wa kufikiria umeishia hapo basi wewe ni bora ungepewa utiwagongo kuliko UBONGO. Tuletee mambo ya kufundisha ambayo tuta jifunza coz hao wajinga walienda wenyewe walikuwa na uwezo wa kukataa.Hiz story za vilabuni hazitusaidii lolote.

kapate ushauri wa dakitari
 
sasa umeambia ili sisi tufanyaje? Acha utoto kuwa wewe! Unafikiri kila mtu ni mawazo mgando kama wewe? Najua niutoto unakusumbua paka shume we!eti ndo umeona bonge la story.kama uwezo wako wa kufikiria umeishia hapo basi wewe ni bora ungepewa utiwagongo kuliko ubongo. Tuletee mambo ya kufundisha ambayo tuta jifunza coz hao wajinga walienda wenyewe walikuwa na uwezo wa kukataa.hiz story za vilabuni hazitusaidii lolote.

ili msitusambazazie mliopita tena airudie ttena mkome na tabia zenu chafu
 
sasa umeambia ili sisi tufanyaje? Acha utoto kuwa wewe! Unafikiri kila mtu ni mawazo mgando kama wewe? Najua niutoto unakusumbua paka shume we!eti ndo umeona bonge la story.kama uwezo wako wa kufikiria umeishia hapo basi wewe ni bora ungepewa utiwagongo kuliko ubongo. Tuletee mambo ya kufundisha ambayo tuta jifunza coz hao wajinga walienda wenyewe walikuwa na uwezo wa kukataa.hiz story za vilabuni hazitusaidii lolote.

samahani kwa hili kwa story yako
yaani wewe ni muhusika live na alietoa mada mnajuana fika pengine kashindwa kuwambia marafiki zako amefikisha ujumbe kupitia jf na mtalaaniwa maisha yenu yote zile dawa kama una tabia ya kusambaza kamuulize babu wa loliondo walioenda
 
ndio tujue wakati umeharibika tuache kurukaruka ovyo
dinnah watu ndio wanaaribika wakati auaribiki hata siku moja nenda hazina uone
kila siku wizi mtupu watu wanajaa umearibika wapi tunajiaribu wenyewe kwa tamaa zetu
 
Sasa umeambia ili sisi tufanyaje? Acha utoto kuwa wewe! Unafikiri kila mtu ni mawazo mgando kama wewe? Najua niutoto unakusumbua paka shume we!Eti ndo umeona bonge la story.Kama uwezo wako wa kufikiria umeishia hapo basi wewe ni bora ungepewa utiwagongo kuliko UBONGO. Tuletee mambo ya kufundisha ambayo tuta jifunza coz hao wajinga walienda wenyewe walikuwa na uwezo wa kukataa.Hiz story za vilabuni hazitusaidii lolote.

Nadhani wewe ni mmojawapo waliojihudhurisha kwa huyo mwalim, pole wee
 
Aine yaani usemi wake hata auitaji kudesa kama shule....swala na yeye asiusambaze ndio maana tunailaanihiyo roho
nikwelei hii hali inawakuta sababu ya kuchanginyikiwa lakini nasema si kweli kuna dada mumewe aligundulika akiwa
anajua hilo pale mtaani akawa agawa kama pipi yaani mpaka wattoto wa darasa la 13-14 anawabeba kwenye lift tumemzika jumamosi vile vilio sio sababu a mekufa ni idadi ya wanaomfwata niliumia sana nikasema pengine na mie ningekuwa na mdgoowangu angekuwa kwenye mtego
 
Back
Top Bottom