Kwani Kipaimara ni graduation ya kuhitimu mafunzo ya ulevi??
Mi nilidhani unampelekea dogo ma Biblia na vitabu vya kiroho, kumbe we unataka ukaweke upako wa kipepo mchafu
Bujibuji is a man of tooo many colours, usidhanie ni kijani tu kuna wakati mwingine anakuwa wa njano na wakati mwingine ni blueSiamini kama bujibuji anaweza kuwa na maneno ya kipako kiasi hiki.....
Siamini kama bujibuji anaweza kuwa na maneno ya kipako kiasi hiki.....
Ahsante; kazi ya kulea mtoto ni kwa kusaidiana na mama yake! Hongera hizi nitazifikisha kwa Mama watoto jioniiiiiiii wakati watoto wamelalaaaaa.
Umekuja vyema; bora umesema mapema utatumia nini; huku Mwanza tunapendelea bia inaitwa Senetor;
Vinywaji ni vya kutosha; karibuni sana!