- Thread starter
- #61
Ni kweli tarehe imekosewa, maudhui ya barua je yako sahihi? Tujadili hoja zilizoko kwenye barua.
je na barua ya TPA ya kitoto imekosewa? PIA hiyo iliyokosewa mtu achonge ili apate nini?
Ni kweli tarehe imekosewa, maudhui ya barua je yako sahihi? Tujadili hoja zilizoko kwenye barua.
Ni kweli tarehe imekosewa, maudhui ya barua je yako sahihi? Tujadili hoja zilizoko kwenye barua.
Kukosewa kwa tarehe kumeua maudhui yote yaliomo ndani ya barua Mkuu.. Maana yake inaonyesha barua haijatoka hapo tunapotaka kuaminishwa itoke.. Hata kama kuna madai ya kweli kama hayo..
Napenda kusema vitu vitatu muhimu:1)Mwakyembe angeangalia watu wa kuwaweka kwenye Board of Directors kama wana experience ya port operations & technical details at the grass root level ya port management.Waliopita walitoka TAFFA,TASAA,TSC ila wasasa wanatoka eGov,Banks,Civil Society etc.What's the objective here?.2)Madeni Kipande hafai kwani hana good communication skills,techical skills za port & business receptivity which are critical when dealing with international HUGE companies.3)Achague haraka DG pamoja na other directors & managers kwani kwa sasa wanafanya kazi without uzalendo na kutojua fate yao baada ya report ya kamati.
Wenzetu wanaaangalia stock market eg backlays uk walimsimamisha ceo wake, wengine walihamisha pesa zao, so kuna -ve na +ve wateja wanaweza kuathiriwa ma maamuzi ma kauli.
kisiasa, kenya sasa mizigo imepungua kutokana na uchaguzi, tumejipanga vipi? Instead ya kujichafua na kupoteza wateja
Baadhi ya nchi zinafuatilia. Sisi tunajichafua
Kila taasisi ilitakiwa kuwa na Wajumbe at least wawili na mwenyekiti wa kamati alikuwa Katibu mkuu wa wizara ya Uchukuzi na wakati hayupo ni Mkurugenzi mkuu wa bandari. Kamati hii ilifanya kazi kubwa na msongamano ule ukapata jawabu na matatizo kupungua kwa kiasi kikubwa. Baada ya lile tatizo kubwa kupungua kamati iliona ni vema tukabadilisha jina badala ya kuwa port congestion committee tukaona iitwe PORT IMPROVEMENT COMMITTEE ili badala ya kushughulikia swala la congestion ya meli na mizigo peke yake iwe inaangalia maswala ya ufanisi katika bandari kwa kina na kitaalam zaidi.
Mkuu punguza jazba.. Kukosea tarehe kwenye barua ya muhimu kama hiyo imeondoa uhalali wa madai yalioletwa hapa Mkuu..
Hahahaha mwaka wenu huu,nampongeza sana Dr mwakyembe kwa hatua madhubuti aliyochukua
ya kuwafukuza wezi waliokithiri hapo bandarini,naona kila siku mnakuja kulalamika humu jf
na bado,moto unawachomaaa.Nina imani mambo yatanyooka very soon!!
wewe na wezi wenzako to hell...........!
Kwa hali inavyoonekana Mwakyembe ndiye mwenyekiti wa Bodi ya Tpa kwa kuwa bodi hii itafanya yale anayoyataka na si vinginevyo. Kuna mambo yamejificha ndani ya pazia hili .