Swagger is alive
JF-Expert Member
- Jul 8, 2016
- 559
- 466
Kwa kifupi ni kwamba hamna utawala wa sheria ni mwendo wa matamko tu na kuswekana ndani. We Si unaona Sarakasi za Makonder na dar Mpya !?Kwahiyo Waziri anapingana na amri ya makahakama?
Hii nchi inaendeshwaje jamani?