rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 15,197
- 20,173
huyu ndio alikuwa anafundisha wanasheria wetu, ndio maana alivuruga ripoti ya richmond kwa kudai kuna mambo walificha ili kulinda hadhi ya serikali nasubiri tamko la Tanganyika law society au wataendelea kukaa kimya wakati waziri mwenye dhamana akifanya upotoshaji