Mwakyembe kadhalilishwa?

VIVIANET

JF-Expert Member
Aug 30, 2015
2,129
2,918
Inawezekana Mh Mwakyembe alikosea kuhusu amri yake ya kutaka watu wafunge ndoa wakiwa na vyeti vya kuzaliwa, ila sijajua utendaji wa baraza la mawaziri na iwapo waziri husika anaweza kuweka katazo kubwa kama hilo bila kumwarifu bosi wake. Yamkini inawezekana ila kwa approach iliyotumika sasa kutengua katazo hilo hakika ilikuwa ya kumwaibisha sana Mwakyembe, kama ni kulinda heshima inatakiwa Mwakyembe ahachie ngazi. Ingefaha sana kumwita Mwakyembe na kumwambia aje kutengua katazo lake mwenyewe, kuliko ile njia iliyotumika kumwadhibu.

Kwanza imemshushia heshima kwa umma, pia wapinzani wake watapata mlango wa kumshambulia sana.

Njia iliyotumika haikuwa sahihi.
 
Inawezekana Mh Mwakyembe alikosea kuhusu amri yake ya kutaka watu wafunge ndoa wakiwa na vyeti vya kuzaliwa, ila sijajua utendaji wa baraza la mawaziri na iwapo waziri husika anaweza kuweka katazo kubwa kama hilo bila kumwarifu bosi wake. Yamkini inawezekana ila kwa approach iliyotumika sasa kutengua katazo hilo hakika ilikuwa ya kumwaibisha sana Mwakyembe, kama ni kulinda heshima inatakiwa Mwakyembe ahachie ngazi. Ingefaha sana kumwita Mwakyembe na kumwambia aje kutengua katazo lake mwenyewe, kuliko ile njia iliyotumika kumwadhibu.

Kwanza imemshushia heshima kwa umma, pia wapinzani wake watapata mlango wa kumshambulia sana.

Njia iliyotumika haikuwa sahihi.
Mwakyembe hakudhalilishwa kwa kuwa amri imetoka juu.
Ndio maana ya utawala bora,maelekezo yanatoka juu kwenda chini
Hata Mbowe aliwahi kutengua kauli ya Mbunge wa Arumeru Mashariki alietangaza mikoa ya Kilimanjaro na Arusha kujitenga
 
Mwakyembe hakudhalilishwa kwa kuwa amri imetoka juu.
Ndio maana ya utawala bora,maelekezo yanatoka juu kwenda chini
Hata Mbowe aliwahi kutengua kauli ya Mbunge wa Arumeru Mashariki alietangaza mikoa ya Kilimanjaro na Arusha kujitenga


Siyo kweli kaka, kama Mwakyembe alikosea bado kiongozi mkuu kama baba na mlezi alitakiwa amwite na kumwambia akafute mwenyewe kauli yake kuliko kutumia medias kumponda na kumuhoji kama yeye ana cheti cha kuzaliwa.
 
Ndiyo matatizo ya kukurupuka mtu, ukilala usiku ukapata wazo tu asubuhi unalitekeleza bila hata kuangalia faida na hasara, kumbe mawazo mengine ya usiku huwa kama ndoto tu...
 
Mwakyembe anapwaya, he should go!
Mahakama yake ya mafisadi haijaprosecute mtu hata mmoja halafu kutwa kucha wanatuambia nchi hii ilikuwa inaliwa na wapiga dili, mbona basi hamjamshitaki mpiga dili hata mmoja?
 
Siyo kweli kaka, kama Mwakyembe alikosea bado kiongozi mkuu kama baba na mlezi alitakiwa amwite na kumwambia akafute mwenyewe kauli yake kuliko kutumia medias kumonda na kumuhoji kama yeye ana cheti cha kuzaliwa.
Huu sio utawala wa kubembelezana na vificho.kwani Mwakyembe aliitoa hiyo kauli kwa siri?
 
Inawezekana Mh Mwakyembe alikosea kuhusu amri yake ya kutaka watu wafunge ndoa wakiwa na vyeti vya kuzaliwa, ila sijajua utendaji wa baraza la mawaziri na iwapo waziri husika anaweza kuweka katazo kubwa kama hilo bila kumwarifu bosi wake. Yamkini inawezekana ila kwa approach iliyotumika sasa kutengua katazo hilo hakika ilikuwa ya kumwaibisha sana Mwakyembe, kama ni kulinda heshima inatakiwa Mwakyembe ahachie ngazi. Ingefaha sana kumwita Mwakyembe na kumwambia aje kutengua katazo lake mwenyewe, kuliko ile njia iliyotumika kumwadhibu.

Kwanza imemshushia heshima kwa umma, pia wapinzani wake watapata mlango wa kumshambulia sana.

Njia iliyotumika haikuwa sahihi.
Kwa kweli kamdhalikisha na ni kawaida sana kwa sizo. Yaani ni kama sizo huwa anafurahia wengine wanapodhalilika. Kwa kweli ushauri wako ni mzuri lakini kwa sizo si lolote si chochote!
 
Bora umelisemea hili hii tabia ya kijinga sana kudhani kila anayeandika hapa ni Upinzani au CCM.......

Hivi jf hakuna members ambao siyo ccm au ukawa? kwa nini mtu akitoa mtazamo wake mnambatiza ufipa au lumumba? we should be fair guys, it is not right to judge someone because of his/her concepts
 
Back
Top Bottom