Tumekwisha sema kwamba kama Waziri husika anaona hakutendewa haki ni bora ajiuzulu. A learned person and a doctor at that should stand by his words. To keep his honor he should step down and the earlier the better. Kama alivyowahi kuwaambia wenzie "atafakari, ajipime na achukue hatua"Inawezekana Mh Mwakyembe alikosea kuhusu amri yake ya kutaka watu wafunge ndoa wakiwa na vyeti vya kuzaliwa, ila sijajua utendaji wa baraza la mawaziri na iwapo waziri husika anaweza kuweka katazo kubwa kama hilo bila kumwarifu bosi wake. Yamkini inawezekana ila kwa approach iliyotumika sasa kutengua katazo hilo hakika ilikuwa ya kumwaibisha sana Mwakyembe, kama ni kulinda heshima inatakiwa Mwakyembe ahachie ngazi. Ingefaha sana kumwita Mwakyembe na kumwambia aje kutengua katazo lake mwenyewe, kuliko ile njia iliyotumika kumwadhibu.
Kwanza imemshushia heshima kwa umma, pia wapinzani wake watapata mlango wa kumshambulia sana.
Njia iliyotumika haikuwa sahihi.
Ukiwa na akili za ufipa utasema hivyo
Ni yale mabehewa feki aliyotuletea, jamani malipo ni hapa hapa duniani. Mola tuepushe milele
Changamka unieleweMabewa ni tofauti na hii thread
Je, wasio na vyeti vya kuzaliwa, walidhalilishwa na waziri?Inawezekana Mh Mwakyembe alikosea kuhusu amri yake ya kutaka watu wafunge ndoa wakiwa na vyeti vya kuzaliwa, ila sijajua utendaji wa baraza la mawaziri na iwapo waziri husika anaweza kuweka katazo kubwa kama hilo bila kumwarifu bosi wake. Yamkini inawezekana ila kwa approach iliyotumika sasa kutengua katazo hilo hakika ilikuwa ya kumwaibisha sana Mwakyembe, kama ni kulinda heshima inatakiwa Mwakyembe ahachie ngazi. Ingefaha sana kumwita Mwakyembe na kumwambia aje kutengua katazo lake mwenyewe, kuliko ile njia iliyotumika kumwadhibu.
Kwanza imemshushia heshima kwa umma, pia wapinzani wake watapata mlango wa kumshambulia sana.
Njia iliyotumika haikuwa sahihi.
Je, wasio na vyeti vya kuzaliwa, walidhalilishwa na waziri?