Mwakyembe kadhalilishwa?

Mwakyembe kadhalilishwa?

Serikali ya lugha gongana, kila mmoja anatafuta kiki kwa wakati wake.
 
Mwakyembe amekurupuka au alikua sahihi? Anaejua hili ni Mwakyembe mwenyewe, alipoamua kutamka hayo alikua ana mawazo gani?


Lakini nahisi bosi wake nae hakumtendea haki kwa kufuta agizo hilo kwa staili ile.

Hii serikali sielewi hata kidogo, naona wajenzi wa mnara wa Babeli wanaweza kutusaidia
 
Inawezekana Mh Mwakyembe alikosea kuhusu amri yake ya kutaka watu wafunge ndoa wakiwa na vyeti vya kuzaliwa, ila sijajua utendaji wa baraza la mawaziri na iwapo waziri husika anaweza kuweka katazo kubwa kama hilo bila kumwarifu bosi wake. Yamkini inawezekana ila kwa approach iliyotumika sasa kutengua katazo hilo hakika ilikuwa ya kumwaibisha sana Mwakyembe, kama ni kulinda heshima inatakiwa Mwakyembe ahachie ngazi. Ingefaha sana kumwita Mwakyembe na kumwambia aje kutengua katazo lake mwenyewe, kuliko ile njia iliyotumika kumwadhibu.

Kwanza imemshushia heshima kwa umma, pia wapinzani wake watapata mlango wa kumshambulia sana.

Njia iliyotumika haikuwa sahihi.
Tumekwisha sema kwamba kama Waziri husika anaona hakutendewa haki ni bora ajiuzulu. A learned person and a doctor at that should stand by his words. To keep his honor he should step down and the earlier the better. Kama alivyowahi kuwaambia wenzie "atafakari, ajipime na achukue hatua"
 
Inawezekana Mh Mwakyembe alikosea kuhusu amri yake ya kutaka watu wafunge ndoa wakiwa na vyeti vya kuzaliwa, ila sijajua utendaji wa baraza la mawaziri na iwapo waziri husika anaweza kuweka katazo kubwa kama hilo bila kumwarifu bosi wake. Yamkini inawezekana ila kwa approach iliyotumika sasa kutengua katazo hilo hakika ilikuwa ya kumwaibisha sana Mwakyembe, kama ni kulinda heshima inatakiwa Mwakyembe ahachie ngazi. Ingefaha sana kumwita Mwakyembe na kumwambia aje kutengua katazo lake mwenyewe, kuliko ile njia iliyotumika kumwadhibu.

Kwanza imemshushia heshima kwa umma, pia wapinzani wake watapata mlango wa kumshambulia sana.

Njia iliyotumika haikuwa sahihi.
Je, wasio na vyeti vya kuzaliwa, walidhalilishwa na waziri?
 
Je, wasio na vyeti vya kuzaliwa, walidhalilishwa na waziri?


Sijasema kwamba waziri hakukosea, je umesahau kanuni ya Biblia tusilipe baya kwa baya? kwani kuna dhambi gani Rais kumwita waziri na kuongea naye na kumwambia akatengue kauli yake? mbona kuna anayepigiwa kelele siku zote Rais haja react immediately kama ya Mwakyembe?
 
Back
Top Bottom