Wakuu habari za kazi,
Leo Kata ya Ipinda wilayani Kyela kuna hali tete mpaka muda huu, kuna wagombea kumi nafasi ya ubunge kupitia CCM akiwemo Mwakyembe na Jana kampeni zilianza leo ikiwa ni mwendelezo Kata ya Ipinda.
SAA 7 wakianzia Kata ya Muungano pale asubuhi ambako Mh.Mwakyembe alizomewa na akasema wametumwa hao vijana.
Ilipofika zamu ya Kata ya Ipinda akagoma kufanyia hapo maana ndipo ngome ya CHADEMA ilipo hivyo akataka mkutano ufanyikie Lupaso ambako ni mbali kidogo. Ndipo wagombea wengine Tisa wakasusia mkutano huo mpaka muda huu hakuna kinachoendelea zaidi ya malumbano.
Tutapeana updates zaidi
Leo Kata ya Ipinda wilayani Kyela kuna hali tete mpaka muda huu, kuna wagombea kumi nafasi ya ubunge kupitia CCM akiwemo Mwakyembe na Jana kampeni zilianza leo ikiwa ni mwendelezo Kata ya Ipinda.
SAA 7 wakianzia Kata ya Muungano pale asubuhi ambako Mh.Mwakyembe alizomewa na akasema wametumwa hao vijana.
Ilipofika zamu ya Kata ya Ipinda akagoma kufanyia hapo maana ndipo ngome ya CHADEMA ilipo hivyo akataka mkutano ufanyikie Lupaso ambako ni mbali kidogo. Ndipo wagombea wengine Tisa wakasusia mkutano huo mpaka muda huu hakuna kinachoendelea zaidi ya malumbano.
Tutapeana updates zaidi