VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Hadi leo hii,tangu kuteuliwa kwake,Waziri wa Uchukuzi Dr. Harrison Mwakyembe hakuwahi kuwa na mkutano wa kiofisi na wafanyakazi wa Shirika la Bandari almaarufu kama Wazee wa Bandari.
Wachambuzi wa mambo wanadai kuwa huu ni udhaifu unajidhihirisha kwa Dr. Mwakyembe ambaye alianza vyema kwa ziara zake za kushtukiza kwenye Idara za Wizara yake.
Kubwa zaidi ni ile ya kusafiri kwa treni kutoka Dar hadi Dodoma-Bungeni.
Je, Dr.Mwakyembe hajajiandaa bado kuwakabili Wazee wa Bandari?
Wachambuzi wa mambo wanadai kuwa huu ni udhaifu unajidhihirisha kwa Dr. Mwakyembe ambaye alianza vyema kwa ziara zake za kushtukiza kwenye Idara za Wizara yake.
Kubwa zaidi ni ile ya kusafiri kwa treni kutoka Dar hadi Dodoma-Bungeni.
Je, Dr.Mwakyembe hajajiandaa bado kuwakabili Wazee wa Bandari?