Mwakyembe, Anna Kilango, Sitta, Zitto na Asumpta Mshana

Mwakyembe, Anna Kilango, Sitta, Zitto na Asumpta Mshana

mgt software

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
13,793
Reaction score
7,165
Wana Jamvi,

Miaka imebadilika sana waliokuwa wapambanaji wamebadilika kuwa wapiga dili, mwanzo mwa 2005 walikuwa watetezi wa wanyonge zidi ya ufisadi , leo hii tumeshuhudia wengine baada ya kupewa majukumu ya kuongoza umma wakaigeuka umma. Tukianza na Dr. Mwakyembe aliyemtoa manvi anatuhumiwa kuharibu utaratibu wa manunuzi na kuwapa wahuni wakaleta mabehewa feki, Pia CAG nayo imemkalia vibaya baada ya kutumia vyeo vyao kuhujumu serikali bil 250 za barabara na madaraja feki, yeye na Dr. Magufuri.

Tuje Anna kilango huyu amekuwa nyoka wa kuchora wala hakooi baada ya kupewa uwaziri wa Elimu baada ya kutuliza upepo uliotaka kumwondoa wazili mkuu aliyekuwa amekamiwa kuhukumiwa yeye na wana-Escrowa.

Sitta huyo ndio kabisa katuingiza majanga baada ya kukutana na nyoka mwenye makengeza aliyemzidi kete kwenye kuutaka tena Usipika huyu mpiganaji ndiye muasisi wa katiba feki ya Mafisadi.

Tuje na Zitto huyu ndiye yuda aliyetumwa na CCM kuumaliza upinzani , wapinzani wakawa makini wakammaliza yeye.

Hawa wote ukiwajumlisha unampata Asumpta Mshana ambaye yupo tayari kufa kutetea ulaji wake hata kwa kudhuru.
 
Sasa lakuvunda halina ubani ndiyo kama hivi.
 
Uharo

IMG_12403495116574.jpeg
 
Mmechelewa, ZITTO anaondoka hivyo kumrudisha hamuwezi.
 
Zitto ona sasa mambo yako ice cream umeweka mfuko!!!!!
 
Nani anashida na Zito CHADEMA? Ccm ndiyo waliokuwa wanalazimishwa aachwe CHADEMA na sasa ameondoka wanahangaika!. Kama ni mzuri, mchukueni ninyi CHADEMA walishamtema siku nyingi!.


Mmechelewa, ZITTO anaondoka hivyo kumrudisha hamuwezi.
 
Hivi CCM kwa nini wasimchukue Zitto? Wanapiga makelele tu kama bar maid aliyebakwa
 
Wachaga wa chadena ndiyo kwa MAANA TUNASEMA HAMNA AKILI HATA KIDOGO,

NA HIYO PEKEE KUONGOZWA NA MTU DULL & DUMB KAMA FREEMAN MBOWE YATOSHA KABISA KUONESHA JINS NYINYI MLIVYO MAZUZU,

SASA ZITO KACHANGIA VIPI KUDHOOFISHA UPINZANI??

KWANI YEYE NDIE ALIEASISI UDINI UKANDA NA UKABILA NDAN YA CHADEMA??
Wana Jamvi,

Miaka imebadilika sana waliokuwa wapambanaji wamebadilika kuwa wapiga dili, mwanzo mwa 2005 walikuwa watetezi wa wanyonge zidi ya ufisadi , leo hii tumeshuhudia wengine baada ya kupewa majukumu ya kuongoza umma wakaigeuka umma. Tukianza na Dr. Mwakyembe aliyemtoa manvi anatuhumiwa kuharibu utaratibu wa manunuzi na kuwapa wahuni wakaleta mabehewa feki, Pia CAG nayo imemkalia vibaya baada ya kutumia vyeo vyao kuhujumu serikali bil 250 za barabara na madaraja feki, yeye na Dr. Magufuri.

Tuje Anna kilango huyu amekuwa nyoka wa kuchora wala hakooi baada ya kupewa uwaziri wa Elimu baada ya kutuliza upepo uliotaka kumwondoa wazili mkuu aliyekuwa amekamiwa kuhukumiwa yeye na wana-Escrowa.

Sitta huyo ndio kabisa katuingiza majanga baada ya kukutana na nyoka mwenye makengeza aliyemzidi kete kwenye kuutaka tena Usipika huyu mpiganaji ndiye muasisi wa katiba feki ya Mafisadi.

Tuje na Zitto huyu ndiye yuda aliyetumwa na CCM kuumaliza upinzani , wapinzani wakawa makini wakammaliza yeye.

Hawa wote ukiwajumlisha unampata Asumpta Mshana ambaye yupo tayari kufa kutetea ulaji wake hata kwa kudhuru.
 
Wachaga wa chadena ndiyo kwa MAANA TUNASEMA HAMNA AKILI HATA KIDOGO,

NA HIYO PEKEE KUONGOZWA NA MTU DULL & DUMB KAMA FREEMAN MBOWE YATOSHA KABISA KUONESHA JINS NYINYI MLIVYO MAZUZU,

SASA ZITO KACHANGIA VIPI KUDHOOFISHA UPINZANI??

KWANI YEYE NDIE ALIEASISI UDINI UKANDA NA UKABILA NDAN YA CHADEMA??

Alitumwa Akaudhoofishe , akashindwa sasa anadhoofika yeye, badala yake upinzani ndio unakua zaidi yeye anaweweseka kila siku anasema atatoa maamuzi magumu. kwa kuwa bado kijana namshauri arudi shule aongeze elimu dunia afike kama Profesa Mkumbo. Angalau tutakuwa tumemsahau na kumsamehe kwa kuwa kaomba samahani.
 
Wachaga wa chadena ndiyo kwa MAANA TUNASEMA HAMNA AKILI HATA KIDOGO,

NA HIYO PEKEE KUONGOZWA NA MTU DULL & DUMB KAMA FREEMAN MBOWE YATOSHA KABISA KUONESHA JINS NYINYI MLIVYO MAZUZU,

SASA ZITO KACHANGIA VIPI KUDHOOFISHA UPINZANI??

KWANI YEYE NDIE ALIEASISI UDINI UKANDA NA UKABILA NDAN YA CHADEMA??

Huyo ndio kiongozi wetu, Tunaimani nae.
 
Back
Top Bottom