Konda wa bodaboda
JF-Expert Member
- Jul 18, 2014
- 7,981
- 4,174
Wazili mkuu= waziri mkuu.
Cc😡faizafoxy.
Cc😡faizafoxy.
Kila mtu kwenu hafai anafaa nani sasa?Tanzania bwana kuna raha ktk siasa
poa tu lakini sindano ishakuingia kunako.Wazili mkuu= waziri mkuu.
Cc😡faizafoxy.
poa tu lakini sindano ishakuingia kunako.
Huyo ndio kiongozi wetu, Tunaimani nae.
poa tu lakini sindano ishakuingia kunako.
1.Mwasisi wa Chadema na Mwenyekiti wa kwanza EDWIN MTEI.
2.Akafuatia BOB MAKANI, Shemeji yake MTEI.
3. Akaja MBOWE alibebadilisha katiba ya Chama ili awe mfalme, naye ni MKWE Wake Na MTEI.
Unganisha picha hiyo nafikiri utajua ni kwanini watu kama akina ZITTO kutangaza nia ya kugombea uenyekiti kwanini wanapigwa mawe na wanazi wa hiki chama. Hata huu uzi umeandikwa kuwazungumzia hao wote ila mlengwa mkubwa ni Zitto Kabwe.
CHADEMA ni mpango wa MUngu mashetani yanapwepweta na kujuta kuijua.Utakufa wewe chadema itabaki pale pale