Mzee wa Masaki
Member
- Sep 30, 2012
- 21
- 15
Mpaka sasa wafanyakazi wake hawajalipwa na Yeye kila mwezi ni lazima atumie pesa za Taasisi kwenda Ulaya. Wafanyakazi wamelalamika hadi kwa Waziri lakini Waziri kauchuna tu. Mtindo wa kulindwa na Waziri kunaifanya Mamlaka ya Hali ya Hewa kuwa wakiwa na ndiyo maana kuna wkt kazi za utabiri zinafanyika ktk hali duni na kuleta matokeo mabaya kwa sababu ya watendaji bogus kulindwa na wanasiasa