uwakika ndio nini?una uwakika????
Weka source ya habari ,au wewe ni mmoja wa wale walotimliwa huko bandarini na ndo mana unaleta povu apa.
Correctly nakuunga mkono kuna wakati wajinga wana Raha sana maarifa wakati mwingine mzigo unaweza kufa kabla ya siku zako sababu ya stress na hasiraNalaumu sana wazazi kunipeleka shule, maana najitambua na kuumia sana ninapopata taarifa hizi, mbaya zaidi wenye bandari hawajielewi na hawajitambui.
Mwakyembe ni kanafiki sana kale kajamaa, anajifanya kuwa mtetezi wa wananchi kumbe anawaandaa kisaikolojia ili akipiga dili zake ba kugundulika wananchi wasio na upeo wasiamini.
Nikiwaambia mwakyembe mwizi mnasema wivu wa kisiasa. Huyu jamaa hafai! Michongo yote ya bandari ni hela zake za mfukoni na kaipanga safu nzuri sana ya upigaji. Toka aingie kashapiga zaidi ya bilioni 200 watu hawajui tu! Tushamchoka sie huku Bandarini
Vatican wanajua jamaa ni jembe.waliwahi kumpa nishan ya utumishi uliotukukaCol. Simbakalia ni kitu ingine, jamaa ni msafi saana huyu Mnyamwezi, upuuzi kwake hakuna.
Huu ----- ulishaletwa humu, hauna mshiko.
Kikao kimoja bilion 9. Na bado unamtetea mwakyembe!
Kati ya watu ambao tuliwaamini katika nchi hii na waziri makini ni dr. Mwakyembe. Kumbe wapi nae fisadi tu. Kaimu mkurugenzi wa bandari bw. Kipande alimweka yeye kumbe kwa faida yake,leo Mwakyembe na wenzake wanauza bandari kwa mkataba wa hovyo.
Moja ya masharti ya mkataba mwekezaji huyo asilipe kodi 30yrs na asiingiliwe na serikali kwa jambo lolote.
Watanzania tumshukuru mkuu wa mkoa wa Mtwara mh. Simbakaria kwa kuwa mzalendo kugomea mkataba huo,bila yeye bandari ilikuwa inauzwa.
Asante RC Mtwara, Mungu akupe uhai na tuwashukuru TAKUKURU kwa kuingia kazini. Mwakyembe ni mwizi tu.
Mwakyembe na hayo majambazi wenzake wa bandarini wachukuliwe hatua