Mwakyembe anasikitisha! Walaaniwe wanaohusika!

nafikiri kwa kuwa awa wakubwa wanatumia fedha nyingi wanapokuwa nje, wananchi tuna haki ya kujua gharama za matibabu ya mawaziri hao na zinatoka katika kifungu kipi maana inavoonyesha Mwakyembe anatakiwa kuendelea na matibabu kana dawa za kujipaka n.k na inaweza kuwa gharama kubwa sana kwa taifa!
 
Wanaugua wengi tu TANZANIA hii. Kuna Albino mmoja toka kule Songea saratani imetafuna shingo karibu inalikata kabisa. Ndio sasa wanakurupuka kumleta Muhimbili. Kuna mzee mmoja kule Dodoma ngozi ya uso imeshusha dude moja kama kende. Hana fedha za kuja Muhimbili afanyiwe uchunguzi zaidi na matibabu. Kuna yule binti Cesilia alionyeshwa C10. Akapelekwa India tumbo limevimba kabisa. Matibabu yameshindikana kwa kuwa amechelewa. Amerudishwa anasubiri kifo wakati wowote. Ninyi mnawaangalia akina Mwakyembe tu.
 
Kibinadam amechange...kihali ya kufikirika kama kuna mkono wa mtu..then huyu mtu ana mtandao mkubwa sana kiasi cha kuweza badili fikra za Watanzania....Mimi nadhani huyu jamaa aachane na siasa maana watamtoa Roho, iwapo anaumia kisiasa..Then akaongee na Mungu wake kwa imani yake amponye Zaidi...Is too much..i feel sorry for him...GOD WILL GUIDE YOU MWAKIEMBE..TAKE CARE
 
Mimi pia niliona kwenye tv amevaa gloves, nina wasiwasi na hiyo kofia, yawezekana kichwani pamenyonyoka pia! chezea magamba wewe
 
imeniuma kuona sura yake imekuwa yakizee mpaka nashindwa hata kuitazama raia wabaya sana. Nitarudi baadae kidogo

Yaani sasa tumekuwa walalamikaji bila hata kujua tunataka nini......wakati anaumwa tuliomba apone....dua zimekubalika sasa tunaaanza sura yake.

Aliokwambia yeye anataka kutazamwa na wewe nani..........au uchapakazi unategemea sura ya mtu????
Kuna kitu kinaitwa Facebook huko ndo mkatazamane kwa urembo wenu
 
attachment.php

Wahindi na techonogia yao wamejitahidi ndo wamefikia hapo sijui angebaki muhimbili ingekuwaje. Kweli hujafa hujaumbika Mungu tupe mwanga kujua aliyemtengeneza
 
Mmmh!!! Nakushukuru Mungu wa Mbinguni kumponya huyu Baba. Sijui ingekuwaje? Kwa kweli Wa TZ wa sasa wana Hasira sana ndio maana nasema Nashukuru.
 
Dr sema
ukimya wako hauna maana ktk aafya yako
sema watu wajue,kama ni sumu ama ni magonjwa ya kawaida

mimi naelewa kabisa kuwa wewe si mwoga na hakuna wa kukuzuia kusema sema tujue moja tu
 
Tulishasema Mwakyembe na Sitta ni wanafiki tukatukanwa humu.labda pitieni kwenye Kamusi maana ya neno Mnafiki ili tuelewane vizuri!

Mwakyembe anaumwa, unamwita mnafiki! Unataka aseme nini wakati wewe unaona wazi kuwa kachakachuliwa? Mnafiki ni wewe ambaye hata jina lako unaficha unajiita "Mtazamo"!
 
Napenda kuwafahamisha wanajamii forum kuwa nami nimo mtandaoni ili niweze nami kutoa maoni yangu, natumai mtanikaribisha kwa mikono miwili
 
nimeshangazwa sana na kitendo cha huyu kiongozi kuonyesha dalili zote za kuogopa kuwaeleza watanzania chanzo cha ugonjwa uliomsibu,
hii inatuonyesha dhairi huyu jamaa ni mpayukaji asiye na nguvu yoyote ile,inaonyesha jinsi anavyoendeleza tabia za kulindana na kuficha ukweli ndani ya chama chake cha majizi,
watanzania tuliokuwa tumehuzunishwa na kuugua kwake tunaanza kuona jinsi tulivyojipotezea wakati wetu kuwaza kuhusu huyu mnafiki mkubwa,nakumbuka nilimwombea na kuhuzunika sana juu yake,
kwani ukitamka ulipewa sumu au ulipuliziwa sumu kutakuwa na shida gani wee jamaa?utaondolewa huo unaibu uwaziri au utanyang'anywa ubunge?
mimi nina imani na wanyakyusa sio watu wa kuficha uovu na kuogopa baadhi ya watu,unafikiri utapewa Urais au??
kuanzia leo heshima yangu kwako ni kwisha!!!!huna maana kabisa we

Mkuu Dk. Mwakyembe kaenda shule, hivyo hawezi kukurupuka kama unavyofikiri. Tuliomsikia tulimwelewa: anasema taarifa kamili ya ugonjwa wake imepelekwa Wizara ya Afya. Serikali kwanza iitafakari ndipo yeye aiongelee! Tatizo liko wapi? Hapa tatizo ni shule!
 
ivi hiyo k*ma ilotaka muua huyu jamaa... yajisikiaje huko iliko... fff*****k em ol.. who attemped this... kama ni magamba .. kama ni mamvi,... salamu yangu ndo hii
 
nimeshangazwa sana na kitendo cha huyu kiongozi kuonyesha dalili zote za kuogopa kuwaeleza watanzania chanzo cha ugonjwa uliomsibu,
hii inatuonyesha dhairi huyu jamaa ni mpayukaji asiye na nguvu yoyote ile,inaonyesha jinsi anavyoendeleza tabia za kulindana na kuficha ukweli ndani ya chama chake cha majizi,
watanzania tuliokuwa tumehuzunishwa na kuugua kwake tunaanza kuona jinsi tulivyojipotezea wakati wetu kuwaza kuhusu huyu mnafiki mkubwa,nakumbuka nilimwombea na kuhuzunika sana juu yake,
kwani ukitamka ulipewa sumu au ulipuliziwa sumu kutakuwa na shida gani wee jamaa?utaondolewa huo unaibu uwaziri au utanyang'anywa ubunge?
mimi nina imani na wanyakyusa sio watu wa kuficha uovu na kuogopa baadhi ya watu,unafikiri utapewa Urais au??
kuanzia leo heshima yangu kwako ni kwisha!!!!huna maana kabisa we

Mkuu, rahisi kusema ukiwa umejikunyata nyuma ya jina feki la "director" kumzungumzia mtu ambaye kapitia misukomisuko mingi ambayo imechangia kupanua demokrasia nchini. Umdharau, usimdharau hayo yako na mkewe, lakini Watanzania makini tunamwelewa Mwakyemne anaposema Serikali itangulie kwanza kutoa tamko. Hili ni suala complex la kisheria, si la kijiweni. Pole sana Dk!
 
Mwenzake(mzee six) ameona mwenzake alivyonyolewa na yeye ametia maji. Kila siku hupandisha ofisini kwake (water front) akiwa na chupa yake ya maji ya kunywa toka nyumbani kwake. akitumia yakiisha anatoka mwenyewe kwenda kutafuta kwenye maduka tofauti kila siku. Hii ni hatari sana uhasama unapofikia hatua hii. ni vizuri vile vile serikali ikatuambia bayana kwamba majibu ya mabingwa wa india yanasemaje, alikuwa anaumwa nini, na ugonjwa huo amaupataje????
 
Back
Top Bottom