Mwakyembe amfukuza mfanyakazi aliyestaafu 2013

Mwakyembe amfukuza mfanyakazi aliyestaafu 2013

Mwana Mpotevu

Platinum Member
Joined
Sep 7, 2011
Posts
3,295
Reaction score
2,505
Waziri Titus kamani amesema mmoja wa watu waliotangazwa na Mwakyembe juwa wamefukuzwa aiport jana alishastaafu tangu 2013 na sio mfanyakazi wa serikali tangu wakati huo.

Waziri Kamani amesema ameshangazwa kuona mstaafu anatangazwa kuwa alikuwa mfanyakazi wa wizara yake kama alivyotangaza Mwakyembe jana.

Hata hivyo waziri kamani amesema anasubiri taarifa zaidi toka kwa Dr Mwakyembe kuhusu hatua alizotangaza jana kufukuza wafanyakazi wa wizara yake waliokuwa wakifanya kazi JKNIA.

Source:Radio one Habari
 
Mwakyembe hana ubavu na vita hii...zaidi anazidi kupoteza reputation yake
 
Hawa mawaziri wa jk yani ni vichekesho tu
Sasa mtu kama mwakiembe ni mtu wa kukurupuka bila sababu sasa ona kamfukuza mstaafu kazi
Inamaana anafanya vitu bila tafiti za maana aibu!
 
Mwakyembe ni waziri mzigo, mkutupukaji, mbabaishaji.

Hana lolote kazi kuropoka tu, hana lolote alilolifanya kwenye hiyo wizara zaidi ya majungu na fitina.

Ukabila unamamaliza.

ATC mpaka sasa ndege moj ya kukodi, tren ya mabibo to posta.?

Eti mchapakazi?

Kakalia majungu bandari inakufa, ACT ipo ICU.

Hakuna anachojua zaidi ya kulia lia kwenye media kwa kutaka sifa za kijinga
 
Waziri Titus kamani amesema mmoja wa watu waliotangazwa na Mwakyembe juwa wamefukuzwa aiport jana alishastaafu tangu 2013 na sio mfanyakazi wa serikali tangu wakati huo.

Waziri Kamani amesema ameshangazwa kuona mstaafu anatangazwa kuwa alikuwa mfanyakazi wa wizara yake kama alivyotangaza Mwakyembe jana.

Hata hivyo waziri kamani amesema anasubiri taarifa zaidi toka kwa Dr Mwakyembe kuhusu hatua alizotangaza jana kufukuza wafanyakazi wa wizara yake waliokuwa wakifanya kazi JKNIA.

Source:Radio one Habari
Hii ndiyo tanzania!yaani hakuna serikali kabisa
 
Msomi yeyete akiwa kwa maccm anakuwa kama tahira hivi.

Hii ni aibu sana, ujuaji unamponza.

Kwanzia leo siwezi muita DR.
 
Waziri Titus kamani amesema mmoja wa watu waliotangazwa na Mwakyembe juwa wamefukuzwa aiport jana alishastaafu tangu 2013 na sio mfanyakazi wa serikali tangu wakati huo.

Waziri Kamani amesema ameshangazwa kuona mstaafu anatangazwa kuwa alikuwa mfanyakazi wa wizara yake kama alivyotangaza Mwakyembe jana.

Hata hivyo waziri kamani amesema anasubiri taarifa zaidi toka kwa Dr Mwakyembe kuhusu hatua alizotangaza jana kufukuza wafanyakazi wa wizara yake waliokuwa wakifanya kazi JKNIA.

Source:Radio one Habari
Sasa hapo waziri Kamani anataka kutueleza nini?

Ni kama vile, anapingana na uamuzi wa waziri mwenzie.

Inaelekea Kamani anataka uendelezwe mfumo ule ule, wa wafanyakazi wa serikali kuendelea kuboronga na kuendelea kulindwa, ukiona mfanyakazi wa serikali kawajibishwa sana, basi atahamishwa kituo cha kazi, ili akaendeleze hayo madudu katika kituo chake kipya.

Kama kweli mmoja wa wafanyakazi waliotimuliwa kazi na Mwakyembe, alishastaafu kazi, basi inawezekana wakubwa wa wizara ya kilimo, hawakutaka kumwondoa kwenye payroll, ili waendelee 'kufaidi' mishahara ya mstaafu huyo!!
 
Mwakyembe hana ubavu na vita hii...zaidi anazidi kupoteza reputation yake
Mkuu usilitazame suala hili juu juu, lazima kuwa analytical.

Inakuwaje mfanyakazi aliyestaafu anaendelea kufanya kazi na zaidi anajiongezea ulaji kwa rushwa.
Hii ni big scandal.

Maafisa utawala Uchukuzi na Wizara aliyotoka lazima wawajibike kwa hili.
Hapo airprt panaweza kuwa na mamluki, siye hatuna habari!

Heko Mwakyembe kwa kutibua maji.
 
hawa mawaziri mbona hawana umoja, au wanatoka mnchi mbili tofauti?
Siyo tu nchi mbili tofauti, kwa kuwa hata katika nchi 2 tofauti, kutokana na maendeleo ya teknolojia ya mawasiliano kwa sasa, ni rahisi mno watu kuwasiliana kutoka nchi moja kwenda nyingine.

Lakini kwa jinsi ninavyoona communication breakdown kati ya Mwakyembe na Titus Kamani, ni kama vile waziri mmoja yupo duniani na waziri mwingine, yupo sayari ya Mars!!
 
Waziri Titus kamani amesema mmoja wa watu waliotangazwa na Mwakyembe juwa wamefukuzwa aiport jana alishastaafu tangu 2013 na sio mfanyakazi wa serikali tangu wakati huo.

Waziri Kamani amesema ameshangazwa kuona mstaafu anatangazwa kuwa alikuwa mfanyakazi wa wizara yake kama alivyotangaza Mwakyembe jana.


Hata hivyo waziri kamani amesema anasubiri taarifa zaidi toka kwa Dr Mwakyembe kuhusu hatua alizotangaza jana kufukuza wafanyakazi wa wizara yake waliokuwa wakifanya kazi JKNIA.

Source:Radio one Habari

Duh! huku sasa kuumbuana.kwa nini waziri kamani asimtafute kwanzan Dr. Mwakyembe ili waweke sawa records zao kabla ya kuruka hewani?
 
Waziri Titus kamani amesema mmoja wa watu waliotangazwa na Mwakyembe juwa wamefukuzwa aiport jana alishastaafu tangu 2013 na sio mfanyakazi wa serikali tangu wakati huo.

Waziri Kamani amesema ameshangazwa kuona mstaafu anatangazwa kuwa alikuwa mfanyakazi wa wizara yake kama alivyotangaza Mwakyembe jana.

Hata hivyo waziri kamani amesema anasubiri taarifa zaidi toka kwa Dr Mwakyembe kuhusu hatua alizotangaza jana kufukuza wafanyakazi wa wizara yake waliokuwa wakifanya kazi JKNIA.

Source:Radio one Habari

Huyu waziri kamani anamaanisha nini?
 
Mkuu usilitazame suala hili juu juu, lazima kuwa analytical.

Inakuwaje mfanyakazi aliyestaafu anaendelea kufanya kazi na zaidi anajiongezea ulaji kwa rushwa.
Hii ni big scandal.

Maafisa utawala Uchukuzi na Wizara aliyotoka lazima wawajibike kwa hili.
Hapo airprt panaweza kuwa na mamluki, siye hatuna habari!

Heko Mwakyembe kwa kutibua maji.

Mkuu mwakyembe hajui hata aliyemfukuza kazi..ndiyo maana anafukuza wastaafu wa serikali..in short anakurupuka hafanyi utafiti kwanza...kumbuka hata utafiti wake wa PhD alikurupuka kuiwasilisha na baadae akaikana.
Kumbuka alifukuza kazi watu waliopitisha malighafi ya kutengeneza vitu flani akidai ni madawa ya kulevya baadae akaumbuka pale mahakama ya South ilipowaachia huru wenye mzigo.

Hii vita haiwezi..akae kimya.
 
Tanzania tuna mambo mengi sana yenye sifa za kuingia kwenye maajabu ya dunia,hili ni mojawapo
 
Waziri Titus kamani amesema mmoja wa watu waliotangazwa na Mwakyembe juwa wamefukuzwa aiport jana alishastaafu tangu 2013 na sio mfanyakazi wa serikali tangu wakati huo.

Waziri Kamani amesema ameshangazwa kuona mstaafu anatangazwa kuwa alikuwa mfanyakazi wa wizara yake kama alivyotangaza Mwakyembe jana.

Hata hivyo waziri kamani amesema anasubiri taarifa zaidi toka kwa Dr Mwakyembe kuhusu hatua alizotangaza jana kufukuza wafanyakazi wa wizara yake waliokuwa wakifanya kazi JKNIA.

Source:Radio one Habari
Nguruvi3 lile Baraza lako la mawaziri, tena! Waziri mmoja anamshangaa waziri mwenziwe kupitia vyombo vya habari! Teamwork!
 
Last edited by a moderator:
Sasa hapo waziri Kamani anataka kutueleza nini?

Ni kama vile, anapingana na uamuzi wa waziri mwenzie.

Inaelekea Kamani anataka uendelezwe mfumo ule ule, wa wafanyakazi wa serikali kuendelea kuboronga na kuendelea kulindwa, ukiona mfanyakazi wa serikali kawajibishwa sana, basi atahamishwa kituo cha kazi, ili akaendeleze hayo madudu katika kituo chake kipya.

Kama kweli mmoja wa wafanyakazi waliotimuliwa kazi na Mwakyembe, alishastaafu kazi, basi inawezekana wakubwa wa wizara ya kilimo, hawakutaka kumwondoa kwenye payroll, ili waendelee 'kufaidi' mishahara ya mstaafu huyo!!
Kamani anamshangaa waziri mwenzake kufukuzwa kazi mstaafu na kutangaza nchi nzima kuwakachukua wakati anafanya usanii........

kamani ni jembe la mara so no longolongo .....MWakyembe ni Msanii kuliko , ona sasa aibu ya mwaka ....
 
Waziri Titus kamani amesema mmoja wa watu waliotangazwa na Mwakyembe juwa wamefukuzwa aiport jana alishastaafu tangu 2013 na sio mfanyakazi wa serikali tangu wakati huo.

Waziri Kamani amesema ameshangazwa kuona mstaafu anatangazwa kuwa alikuwa mfanyakazi wa wizara yake kama alivyotangaza Mwakyembe jana.

Hata hivyo waziri kamani amesema anasubiri taarifa zaidi toka kwa Dr Mwakyembe kuhusu hatua alizotangaza jana kufukuza wafanyakazi wa wizara yake waliokuwa wakifanya kazi JKNIA.

Source:Radio one Habari

- Eti source ni Radio One? duh!! ile wanayoitumia UKAWA kila wakati!! ama kweli ukistaajabu ya musa utaona ya firauni

Le Mutuz
 
Back
Top Bottom