Mwakyembe amechoka, apumzishwe!

Tangu apate ugonjwa wa kukoboka ngozi na akili ilikoboka by the way kama aliweza kukana chapisho lilompa PHD unadhani kuna mtu hapo? Mwakyembe ukiona alivyokuwa anajinyenyekesha pale ikulu kila akitajwa kasimama na kutoa ishara ya utiifu kwa kuinama kitu ambacho wenzake walikuwa hawafanyi ndio nilijua bado sumu iko mwilini
 
Baada ya kutenguliwa kwa aliyekuwa waziri wa sanaa, habari na michezo mbunge Nape Nauye,
Mh rais alimteua Dr Harison Mwakyembe kuchukua nafasi aliyokuwa anaitumikia Nape na sasa yeye ndio waziri mwenye dhamana ya sanaa, habari na michezo

Ukweli mchungu, rais aliteleza kwa uteuzi wa mwakyembe!
Mwakyembe huijui na huiwezi wizara hii
Kwa rasilimali watu waliobaki ndani ya CCM ni Ridhiwani Kikwete tu ndiye mwenye kuweza kufanya kazi kwa ufanisi zaidi akipewa wizara hii

Mh rais tengua uteuz huu tupe Ridhiwan hapa yeye ataifanikisha wizara hii

Ridhi ni kijana, mwanahabari, mwanamichezo na sanaa pia hayuko mbali nayo so itamfaa sana
Sijui ulitumia vigezo gani kumpa mwakyembe wizara hii ilihali kijana huyu ndio ofis inayomfaa kwa sasa
 
Yaani Mwakyembe kama sio unafiki na tamaa ya madaraka hii wizara angeomba tu apewe mwingine yaani kwa umri, hadhi na elimu yake hapo ni kama wamemdump mbaya yeye mwenyewe hajielewi.
 
Mwakyembe keshaanza gusa maslah ya watu hapa.

Mkuu shukuru alitolewa ile wizara inayohusu mambo ya sheria maana saiv kiki ingekua kubwa mno na kesi mahakamani. Kumfukuza waziri wa masuala ya sheria ndani ya chama cha wanasheria unadhan lingekua jambo dogo lile
 
Yaani Mwakyembe kama sio unafiki na tamaa ya madaraka hii wizara angeomba tu apewe mwingine yaani kwa umri, hadhi na elimu yake hapo ni kama wamemdump mbaya yeye mwenyewe hajielewi.
Hayo ni maoni yako baada ya kuona anafanya kazi kinyume na matamanio yako
Mwakyembe anafanya vizuri kuliko wengi tulivyofikiri,mpaka sasa ameweza kumudu majukumu yake kwenye michezo,sanaa na habari kwa 100%
 
jamii forum inabdi muongezi vitu kadhaa,kuwe na dislike (iwe dole la kati) na hata kuzomea ooohh ili watu kama waziri wawe wanakutana na hzi wanapo fanya mambo za kiboya kama haya..nimejikuta nikisoma mambo ya nchi yetu sasahvi natamani kutukana tu kwanzia bashite------->mkulu
 
Ahsante Mkuu, umesaidia Taifa.

MY TAKE:
Sina shaka na elimu ya Mwakyembe..... Nimekuwa nikiyatafakari matamko yake siku hizi nikilinganisha na elimu yake.. Haeleweki kabisa.

Nimeridhika, PASIPO SHAKA; He has absolutely reached the point of retardation...

Hakuna wa kuweza kuidhibiti hali hiyo, hata yeye mwenyewe hawezi.

Kwa hiyo ni wakati muafaka asaidiwe ili kuepusha jambo baya analoweza kulisababisha kutokana na hali aliyofikia.

Kumsaidia ni kumpumzisha..
 
Nimesikitika sana, vitisho anavyo wapa wasanii, eti hakuna msanii aliyefanikiwa kwa kuikosoa serikali.

Fine, Swali la kujiuliza ni nchi ngapi zimepata ukombozi kwa kupitia wasanii. Lugha unayotumia mwakyembe hata wakoloni walitumia lugha kama hiyo na unavyo sema wataishia pabaya sishangai kwani hata wasanii walitusaidia kupata Uhuru walikaa ndani.

Mfano mzuri ni wasanii wa Africa kusini , walivyo changia kupata Uhuru kamili kutoka kwa makaburu.

Wasanii hatutishwi, tunajua tupo kazini, tunajenga nchi yenye usawa na unayo fuata misingi ya haki na sheria.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…