Mwakaleli (kijiji cha Kandete) bei za mashamba zipoje ili nisipigwe?

Bado nitaheshimu sana utu wako pasipo kukudharau au kuingia mtego wako wa matusi. Naomba Mungu akupe moyo uliopondeka na kuheshimu wengine ndipo nawe utaheshimika zaidi. Kwanza nilikuwa naandika ili kuitangaza Mwakaleli maana wengi wanasoma humu. Si kukujibu wewe tu!

Pia najua sana kwamba bandiko lako si mara ya kwanza. Kwa aliye makini asingeuliza tena. Naamini kuna siku utakomaa kiutu na kiakili na kisha kuacha kukebehi au kumdharau mtu yeyote, hata wa chini yako. Pokea baraka na ufanikiwe katika unachotafuta kwa staha.
oh now you are playing the good and humble guy in order to get sympathy from thread viewers, guess what still I dont care....all I know is that, you are so sick and desparate man....naona namna unavyoteseka na kutumia muda mwingi kuonekana mpole,mwenye hekima,mwenye akili ili jamii ikupende well I dont need that...ungekua mwenye hadhi kama unavyodai ungeshakaa kimya kitambo tu maana ungekua huna muda wa kupoteza ila kwasababu unazidi kunifatafata It proves that you are so sick and desparate vibayaa
 
Sawa mkuu nitakucheki ili tuyajenge kuhusu hilo eneo
Kila lakheri mkuu...huenda tukakutana Tukuyu maana napapenda sana japo sjawahi kufika...yani ni sawa na mtu anayempenda mwanamke facebook au Instagram
 
Nenda ukathibitishe. Kama wewe ni mwelewa, kwenye miji hakuna mashamba bali kuna viwanja! Kandete is now a town centre na lami ipo. Nimetoa mfano wa uchagani, uliza kama kuna kijiji cha kupata hata nusu ekari.

Kandete mjini hadi Lugombo ni takribani km 1. Kwa pikipiki ni dk 10-15, kwa mguu ni nusu saa ukipita mkato. Mwakaleli yote ni kwetu, hivi sasa sina ambapo ni kwangu japo ni asili yangu na nimeishi vijiji vyote 6 vya kata ya Kandete. Isange ni kata nyingine, kaulizie. Kwa sasa naishi mkoani Rukwa
Pikipiki gani inatumia Dakika 10-15 kwa KM 1??
 
Hahahaaa mkuu nina imani utapapenda sana na huenda tukakutana maana mimi nilipafahamu miaka mingi kidogo nyuma
Kama kweli unaenda kulima parachichi....mbona naskia huwa zinachukua mpaka miaka2 kuanza kuzaa
 
Pikipiki gani inatumia Dakika 10-15 kwa KM 1??
Naamini unajua kuna barabara za viwango tofauti, hasa vijijini: zipo za lami, za matope, za mashimo, za vumbi, nk. Kuna miinuko mikali na mabonde.

Yote hayo huathiri mwendo wa gari au pikipiki ikiwemo uendeshaji wa mtu. Ingawa pia ubora wa vyombo na aina ya vyombo hivyo hutofautiana. Ndio maana ni makadirio tu! Kwetu Mwakaleli kuna lami kidogo tu kwenye mji wa Kandete.
 
Back
Top Bottom