Root root AE
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 207
- 345
- Thread starter
- #41
oh now you are playing the good and humble guy in order to get sympathy from thread viewers, guess what still I dont care....all I know is that, you are so sick and desparate man....naona namna unavyoteseka na kutumia muda mwingi kuonekana mpole,mwenye hekima,mwenye akili ili jamii ikupende well I dont need that...ungekua mwenye hadhi kama unavyodai ungeshakaa kimya kitambo tu maana ungekua huna muda wa kupoteza ila kwasababu unazidi kunifatafata It proves that you are so sick and desparate vibayaaBado nitaheshimu sana utu wako pasipo kukudharau au kuingia mtego wako wa matusi. Naomba Mungu akupe moyo uliopondeka na kuheshimu wengine ndipo nawe utaheshimika zaidi. Kwanza nilikuwa naandika ili kuitangaza Mwakaleli maana wengi wanasoma humu. Si kukujibu wewe tu!
Pia najua sana kwamba bandiko lako si mara ya kwanza. Kwa aliye makini asingeuliza tena. Naamini kuna siku utakomaa kiutu na kiakili na kisha kuacha kukebehi au kumdharau mtu yeyote, hata wa chini yako. Pokea baraka na ufanikiwe katika unachotafuta kwa staha.