Mwakalebela amkimbia Msigwa , aenda Yanga

Mwakalebela amkimbia Msigwa , aenda Yanga

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
141,453
Reaction score
283,788
Fredrick Mwakalebela aliyekuwa mgombea Ubunge wa ccm kwenye uchaguzi mkuu wa 2015 , ameamua kuachana na siasa na kuamua kurudi kwenye soka alikokuwa awali , safari hii si TFF tena bali sasa ameenda Yanga ( TASAF FC ) ambako anaomba Umakamu Mwenyekiti.

Nachukua nafasi hii kumpongeza ndugu Mwakalebela kwa uamuzi aliochukua baada ya kusoma alama za nyakati .
 
Fredrick Mwakalebela aliyekuwa mgombea Ubunge wa ccm kwenye uchaguzi mkuu wa 2015 , ameamua kuachana na siasa na kuamua kurudi kwenye soka alikokuwa awali , safari hii si TFF tena bali sasa ameenda Yanga ( TASAF FC ) ambako anaomba Umakamu Mwenyekiti.

Nachukua nafasi hii kumpongeza ndugu Mwakalebela kwa uamuzi aliochukua baada ya kusoma alama za nyakati .
Tutake radhi wana Yanga kwakutuita Tassaf fc
 
Fredrick Mwakalebela aliyekuwa mgombea Ubunge wa ccm kwenye uchaguzi mkuu wa 2015 , ameamua kuachana na siasa na kuamua kurudi kwenye soka alikokuwa awali , safari hii si TFF tena bali sasa ameenda Yanga ( TASAF FC ) ambako anaomba Umakamu Mwenyekiti.

Nachukua nafasi hii kumpongeza ndugu Mwakalebela kwa uamuzi aliochukua baada ya kusoma alama za nyakati .
Nafuu ya Yanga unayoiita TASAF FC kuliko Simba mlioolewa na Mwanaume mmoja tu Dewj leo hii akisema chochote lazima mkitii na hakuna mlichokuwa na mamlaka nacho ukiwemo na wewe mleta mada ipo siku atamtaka mkeo na hautakuwa na uthubutu wa kumkatalia.
 
Vipi matokeo ya uchaguzi ,?
Fredrick Mwakalebela aliyekuwa mgombea Ubunge wa ccm kwenye uchaguzi mkuu wa 2015 , ameamua kuachana na siasa na kuamua kurudi kwenye soka alikokuwa awali , safari hii si TFF tena bali sasa ameenda Yanga ( TASAF FC ) ambako anaomba Umakamu Mwenyekiti.

Nachukua nafasi hii kumpongeza ndugu Mwakalebela kwa uamuzi aliochukua baada ya kusoma alama za nyakati .
 
Nafuu ya Yanga unayoiita TASAF FC kuliko Simba mlioolewa na Mwanaume mmoja tu Dewj leo hii akisema chochote lazima mkitii na hakuna mlichokuwa na mamlaka nacho ukiwemo na wewe mleta mada ipo siku atamtaka mkeo na hautakuwa na uthubutu wa kumkatalia.
Dewji huyu aliyetekwa na wazungu wawili?!
 
Fredrick Mwakalebela aliyekuwa mgombea Ubunge wa ccm kwenye uchaguzi mkuu wa 2015 , ameamua kuachana na siasa na kuamua kurudi kwenye soka alikokuwa awali , safari hii si TFF tena bali sasa ameenda Yanga ( TASAF FC ) ambako anaomba Umakamu Mwenyekiti.

Nachukua nafasi hii kumpongeza ndugu Mwakalebela kwa uamuzi aliochukua baada ya kusoma alama za nyakati .
Naona Wanyakyusa safari hii mtaimiliki Yanga yaani Mwenyekiti Mwanjala, makamu Mwenyekiti Mwakalebela, wajumbe Suma Mwaitenda, Mwakasonda nk..........bila kumsahau Waziri wa michezo!
 
Kugombea umakamu mwenyekti Yanga haimaanishi ameacha siasa au amemkimbia Msigwa. Kumbuka Rage alikuwa mbunge na mwenyekiti wa Simba kwa wakati mmoja.

Labda ungesema amemkimbia Mahiga maana kwa siasa tulizonazo nchini kwa sasa hakuna mwanaCCM atakayemugopa mpinzani.
 
Kugombea umakamu mwenyekti Yanga haimaanishi ameacha siasa au amemkimbia Msigwa. Kumbuka Rage alikuwa mbunge na mwenyekiti wa Simba kwa wakati mmoja.

Labda ungesema amemkimbia Mahiga maana kwa siasa tulizonazo nchini kwa sasa hakuna mwanaCCM atakayemugopa mpinzani.
Well said broo..!! Umemsambaza Mbaya jamaa anaonekana hajielewianaushabiki maandazi
 
Naona Wanyakyusa safari hii mtaimiliki Yanga yaani Mwenyekiti Mwanjala, makamu Mwenyekiti Mwakalebela, wajumbe Suma Mwaitenda, Mwakasonda nk..........bila kumsahau Waziri wa michezo!
Yanga sasa hivi ni kama kokoro , japo mimi ni Simba lakini Elias Mwanjala kupewa Yanga itakuwa hasara kubwa sana ! I know him very much .
 
Kugombea umakamu mwenyekti Yanga haimaanishi ameacha siasa au amemkimbia Msigwa. Kumbuka Rage alikuwa mbunge na mwenyekiti wa Simba kwa wakati mmoja.

Labda ungesema amemkimbia Mahiga maana kwa siasa tulizonazo nchini kwa sasa hakuna mwanaCCM atakayemugopa mpinzani.
Taarifa hii imetoka kwa wapambe wake , hivi bado wana ccm mnaweza kuhitaji mbunge wa miaka 90 kama Mahiga kwa miaka ya sasa ?
 
Nafuu ya Yanga unayoiita TASAF FC kuliko Simba mlioolewa na Mwanaume mmoja tu Dewj leo hii akisema chochote lazima mkitii na hakuna mlichokuwa na mamlaka nacho ukiwemo na wewe mleta mada ipo siku atamtaka mkeo na hautakuwa na uthubutu wa kumkatalia.

Mmhhh,nyiye muna maneno
 
Nafuu ya Yanga unayoiita TASAF FC kuliko Simba mlioolewa na Mwanaume mmoja tu Dewj leo hii akisema chochote lazima mkitii na hakuna mlichokuwa na mamlaka nacho ukiwemo na wewe mleta mada ipo siku atamtaka mkeo na hautakuwa na uthubutu wa kumkatalia.
Kwi! Kwi! Kwi!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom