Umejaliwa sana ndg yetu. Hii ni sawa na watu wetu kule vijijini hunywa maji yasiyochemchwa, maziwa mabichi, matunda hawayaoshi, wananawa wote ktk chombo kimoja nk, lakini hawapatwi na maradhi kama typhoid nk kwa miaka nenda rudi. Hudhani labda mwili hujijengea kinga.