Rural Swagga
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 1,579
- 1,080
- Thread starter
- #21
Ameeenjamani sijakudoubt hata kiduchu, nimefurahishwa tu na hali yako. Mshukuru Mungu na ninafikiri ndiye unayetakiwa kumpa credit zote kama ni muumini ofcourse!
Ameeenjamani sijakudoubt hata kiduchu, nimefurahishwa tu na hali yako. Mshukuru Mungu na ninafikiri ndiye unayetakiwa kumpa credit zote kama ni muumini ofcourse!
Asante mkuu,Nitazingatia ushauri wako mzuriUsiwe na wasi wasi hakuna tatizo. Cha kuzingatia ni kujikinga na mbu, usijiachie tu wakung'ate wanavyotaka; si vibaya ukiwa na tabia ya kucheki ili siku ikiingia uwahi kuitibu.
Shemejii hahahahaha,Umetisha sana Mentor & ladyfurahia,mileleIts true mume wangu Mentor huu wapata mwaka wa 20 malaria hajaugua labda mafua kidogo na mimi ndo dawa yake Rural Swagga
Ndugu wa mume hatukutambui,Na tumeshaongea na babu kule migombani anasema libwata ulilompa kaka yetu mwaka huu linakwisha mbona utakoma.Mwanamke gani kila siku ugomvi na mashemeji/mawifi,Eti unadai tunamaliza mali za mumeo Mentor,wakati sisi ndio tulokua tunaokota maparachichi yaliyomsomesha kaka yetu kipenzi Mentor leo hii hautaki hata kutuona.Mentor huyu Mmachame hakufai anataka hiyo nyumba hapo kigamboni ati.sasa usimkandamize mume wangu Mentor kwa magonjwa wakati namfanyia maombi mazito na yenye upako wa nguvu sana USHINDWEE NA ULEGEE Rural Swagga unalo la nyongeza?
Mganga amenikataza kuongea na wewesasa usimkandamize mume wangu Mentor kwa magonjwa wakati namfanyia maombi mazito na yenye upako wa nguvu sana USHINDWEE NA ULEGEE Rural Swagga unalo la nyongeza?
wewe utakua na kinga kubwa sana.zamani hata mimi nilikua navuta hadi ten years.ila nimeshuka kidogo labda mbu wameongezewa payload ya vimelea.Ni miaka ishirini imepita tokea nimepata tiba ya Malaria.Na mbu kila siku wananingata....Je kuna tatizo lolote?Nahitaji mawazo yenu Madaktari
Hicho ndicho kilichobakia mkuuMrudishie muumba wako sifa na utukufu kwa kukujalia afya njema, kwa kuwa wengine wana malaria sugu.
Ubarikiwe kakaIwapo kuna miongozo ya kitabibu mimi sintoidhaharau hata hivyo kama hujaugua usijisifu BALI mshukuru MUNGU kwa ulinzi wake katika miaka hii yote.Ahsante
Kwamba iko vizuri kwenye kukinga magonjwa?Hayo ni matokeo ya blood group O+
sensu DCI?Ukipata Malaria inaweza kuwa ndio safari, uwe makini sana.